jumakidadi
New Member
- Mar 11, 2017
- 3
- 0
ThanksAsante kwa updates
ThanksAsante kwa updates
DudWameachiwa muda si mrefu usiku huu.
Nini wamehojiwa?
Kwanini wameachiwa?
Nini hatma yao?
Tutajua baadae. Ila wako huru sasa!
========
Kulingana na taarifa ya kamanda wa polisi mkoa wa Dododma, wahusika walikamatwa kwa kufanya vurugu katika vikao vya chama cha mapinduzi vinavyoendelea mjini Dodoma.
Huwezi kufanya kitu chochoteWatatuweza,? Hapo ndipo tutakapo Chukua maamuzi magumu ambayo haya kupata kutokea.
Wewe nani kwenye chamaFile la Bashe Uhamiaji lipitiwe Upya.
Hata Kundi lililomzomea Mwenkt 2015 liliratibiwa na Huyu Msomali.
Watanzania huwa sio Watovu wa nidhamu hasa mbele ya Mkuu wa dola.
Arudishwe kwao Mogadishu hao kina Msukuma na Malima wapewe tu karipio
Akishafukuzwa uanachama anaenda bunge lipimsukuma hasira zake zote ataenda kuzimalaizia bungeni kum Expose daudi bashite kipenzi cha sizonje
hahahaaPolisi imechukua nafasi ya Green Brigade kuzuia watu wasiongee......
Kamata kamata kama vile tuko kwa Jammeh
WaulizeHivi akina Bashe, Kasheku na Malima nao wamefutiwa UANACHAMA wa CCM?
Balaa ashara ni kitu gani? Kweli upo dodoma!Mimi nipo hapa hapa dodoma na nilikua nje ya jengo la ccm na balaa ashara zangu
Mkuu umenikumbusha fungulia mbwa. Ilikuwa kasheshe. Nakumbumbuka tukifu guliwa tunaenda kukaa ndani kabisa ya uwanja kusubiri mchezo uishe tukawaangalie akina Sunday Manara na GobosYaaani walichofanyiwa ni sawa na enzi zetu unaenda kuruka ukuta uingie kutazama mechi huku hauna hata mbuni, afu Bahati mbaya ukiingia tu ndani baada ya kuruka ukuta unakuta askari hawa hapa na mbwa zao,
walichokuwa wanafanya askari wale ni kuwarukisha kichura chura na kuwagonga virungu 2 -3 vya ugoko na kisha kukupa /kuwapa adhabu ya kukaa unaangalia ukutani au kulala chini huku mechi inaendelea kama kawaida, afu mchezo ukibakiza dk10 za mwisho ndo wanawaachieni mkaangalie game, hapo huwa wanafungulia hata mageti yote kipindi hicho .
Kuingia uwanjani muda huo wa lala salama tulipenda kuita kwa jina maalufu la " kipindi cha fungulia mbwa" . Ila pia ubaya wake ilikuwa ni kukasrika sana masela wakikutania kuwa uliingia fungulia dog time, kwani ilikuwa ni fedheha sana, na hivyo ilimlazumu muhusika kufanya jitihada za kujichanganya na walioingia toka mwanzo na pia kuleta leta ubishi ili tu apate dondoo za DK za mwanzo ili asije pata aibu ya kutoelewa game ilivyokuwa toka mwanzo.
Sasa hawa jamaa Nimeona wamefanyiwa hivyo hivyo ila tofauti yake tu wao ni kwenye siasa.
Kwani maamuzi yashafanyika na wenye kuvuliwa gamba tayari washavuliwa. Hivyo na wao ndo wanaibuliwa DK za lala Salama toka.machimbo.
Au mwasemaje wakuu..??
Umebaki peke yako huko. Wenzako saa hizi wanakimbiza matukio mapya kama kawaida yao. Nyani mpe tawi jipya tu, lazima arukie.sio kwamba wanataka kututoa ktk point za Bashitee??
Usipokamatwa na polisi unaweza kukamatwa na moderators wa JF kwa kukupiga banIkipita siku hujakamatwa shukuru mungu
Bado unauza viroba mpaka leoNilikua nafanya biashara zangu mzee nje ya jengo la ccm
Nenda kenya usikie moto wake..kwani si ni hapo tuMungu kwa nini ulinifanye nizaliwe Tanzania,bora ningezaliwa Kenya
kumbe hata azam tv waongo. daah nimeamini media zinadanganyaAcheni uongo wakubwa humu ndani, hakuna mwanachama yeyote aliyekamatwa na wala kupelekwa polisi huo ni uongo tena uliotukuka,hapa sasa ndo nimeamini kua mpo humu kwaajili ya kutufanya mazoba,