DODOMA: Bashe, Musukuma na Malima waachiwa

DODOMA: Bashe, Musukuma na Malima waachiwa

File la Bashe Uhamiaji lipitiwe Upya.

Hata Kundi lililomzomea Mwenkt 2015 liliratibiwa na Huyu Msomali.

Watanzania huwa sio Watovu wa nidhamu hasa mbele ya Mkuu wa dola.
Arudishwe kwao Mogadishu hao kina Msukuma na Malima wapewe tu karipio
huko mogadishu anakujua kama bibi na babu zao nao walizaliwa nzega na yeye nzega bado utamuita ni msomali au sababu ya origin yake, basi ukitaka hivyo hapa tz watabaki wahadzabe tu manake wao ndio watanzania, wengine wote ni wahamiaji, hakuna kabila ambalo asili yake tz isipokuwa hao wahadzabe, soma historia, fatilia wewe ulitokea wapi
 
kwa hali hii sidhani huko kwao kama anakubalika huyu sizonje, ndio maana kaanza kulimbikiza kule ili akubalike,
 
Polisi imechukua nafasi ya Green Brigade kuzuia watu wasiongee......

Kamata kamata kama vile tuko kwa Jammeh
Hujui kazi za polisi kwa hiyo

Kaa kimya kama hujui na ikiwezekana uliza usiwe mjinga. Nashukuru kama umenielewa acha siasa kwenye shughuli za polisi.
 
Acheni uongo wakubwa humu ndani, hakuna mwanachama yeyote aliyekamatwa na wala kupelekwa polisi huo ni uongo tena uliotukuka,hapa sasa ndo nimeamini kua mpo humu kwaajili ya kutufanya mazoba,
Unatumia mtandao lkn mawasiliano yako ya mwaka 1947 maana unaandika hujapata hata taarifa usikurupuke kama hujapata kuhabarishwa. Usiwe kama Bashite payukapayuka, anapigana vita hana hata uelewa wa vita yenyewe. Au ndiyo walewale wakuombewa kila wakati.
 
File la Bashe Uhamiaji lipitiwe Upya.

Hata Kundi lililomzomea Mwenkt 2015 liliratibiwa na Huyu Msomali.

Watanzania huwa sio Watovu wa nidhamu hasa mbele ya Mkuu wa dola.
Arudishwe kwao Mogadishu hao kina Msukuma na Malima wapewe tu karipio
Arudishwe Moqadishu.....peke yake au kuna wengine.Acha ukabila na ubaguzi.Hebu sema kweli.....
 
ccm wanaharibu sana hii nchi....Ni laana ya kuacha maadili aliyoacha Mwl Nyerere na kukataa katiba ya wananchi kwa maslahi yao binafsi
 
File la Bashe Uhamiaji lipitiwe Upya.

Hata Kundi lililomzomea Mwenkt 2015 liliratibiwa na Huyu Msomali.

Watanzania huwa sio Watovu wa nidhamu hasa mbele ya Mkuu wa dola.
Arudishwe kwao Mogadishu hao kina Msukuma na Malima wapewe tu karipio
Unamuona huyo tu eeeh.. Wengine huko huwaoni..? Hata mtukufu nae kuna tuhuma sio, katibu mkuu wenu nae ni jirani wa huyo uliomtaja kule kismayu, Somalia.. Acha dhambi ya ubaguzi.. Hamtaki kukosolewa wala kuwa challenged..

Enzi za zidumu fikra za Mwenyekiti zimeshapitwa na wakati..
 
Hiyo sentensi ya 'amejinye...' iliniuma sana, huwezi kumbeza mgonjwa hata siku moja na wewe ukiwa unaishi, narudia tena ugonjwa sio wa kuchekwa jamani!
hicho ni kiburi cha uzima kinaitwa..........
 
Arudishwe Moqadishu.....peke yake au kuna wengine.Acha ukabila na ubaguzi.Hebu sema kweli.....
Alipitishwa na vikao halali kugombea ubunge na ni mjumbe wa vikao halali vya chama sasa kwa kuwa ametofautiana nao kimtazamo sasa kageuka msomali!? Unafiki na giliba zitawatafuna soon ole wenu
 
Chadema walimtaja Lowasa kwenye list of shame na kumchafua miaka nane kuwa ni fisadi papa.

Lakini leo chadema hao hao ni wapangusa viatu vya Lowasa
hilo linaitwa kosa la karne walilo fanya cdm, mkuu unajuwa makosa huzidiana afadhali kidogo kutembea na mama mkwe kuliko kutembea na mama mzazi, kumsimamisha mzee lowasa kuwa mgombea ilikuwa kubwa kuliko!!!!.
 
Back
Top Bottom