DODOMA: Bashe, Musukuma na Malima waachiwa

DODOMA: Bashe, Musukuma na Malima waachiwa

Wewe uwezo wako wa kuelewa mambo ni mdogo sana. CCM ndiyo imealika waandishi wa habari na wao ndiyo wanatoa taarifa kwenye mitandao ya kijamii. CHADEMA tunafuatilia kwa nini mwenzetu aliyefoji cheti mpaka sasa hajafukuzwa uongozini?
Kwahio waandishi wa habari ndio wanakuja na habari feki humu JF kuwa Bashe kafukuzwa uanachama??? Acha kuwasingizia wana habari...nyie bavicha ndo mimasikio imesimama kuelekea Dodoma kana kwamba hamna chama chenu...
 
msukuma hasira zake zote ataenda kuzimalaizia bungeni kum Expose daudi bashite kipenzi cha sizonje
 
Bashe na Msukuma wamefukuzwa uanachama na wameamuriwa kuondoka mara moja Dodoma!!
Unamfukuzaje Mtanzania asionekane katika moja ya mikoa ya nchi? Kwanini waamriwe kuondoka wakati wana uhuru wa kwenda na kukaa popote wanapopenda kama raia? Huu ni zaidi ya ....Uchwara.
 
Ndugu yetu mbunge mheshimiwa msukuma nafikiri kuanzia sasa utajifunza kuwa na akiba ya maneno!! Siasa hubadirika haraka sana kuliko umri!! Adui yako wa leo ndio rafiki wa kesho. Ulijua haya yatakukuta ndani ya muda mfupi hivi.

Unakumbuka ulivyokua unamponda mzee wetu kwamba kajinyea! Kwetu kumsema kwa maradhi kama hayo kwa mzee kama yule ni kama kumdhihaki baba yako mzazi. Lakn ww ukajitoa ufaham kana kwamba utadumu milele katika siasa za ccm. Kwa yanayo endelea ccm utataman uende kwa yuleyule uliyemwita kajinyea. Ni kweli kwenye siasa kuna kusameheana lakn unajisikiaje mtu mzima kuanza kupiga magoti kuomba msamaha??

Na sisi tunaotaraji kuingia kwenye siasa tujifunze kutunza maneno. Tukumbuke hata yakiomkuta bashite. Alijua atadumu milele kwenye kiti cha kifalme!! Vijana tuchunge mdomo . Mdomo ulimponza kichwa!!
 
Ndugu yetu mbunge mheshimiwa msukuma nafikiri kuanzia sasa utajifunza kuwa na akiba ya maneno!! Siasa hubadirika haraka sana kuliko umri!! Adui yako wa leo ndio rafiki wa kesho. Ulijua haya yatakukuta ndani ya muda mfupi hivi.

Unakumbuka ulivyokua unamponda mzee wetu kwamba kajinyea! Kwetu kumsema kwa maradhi kama hayo kwa mzee kama yule ni kama kumdhihaki baba yako mzazi. Lakn ww ukajitoa ufaham kana kwamba utadumu milele katika siasa za ccm. Kwa yanayo endelea ccm utataman uende kwa yuleyule uliyemwita kajinyea. Ni kweli kwenye siasa kuna kusameheana lakn unajisikiaje mtu mzima kuanza kupiga magoti kuomba msamaha??

Na sisi tunaotaraji kuingia kwenye siasa tujifunze kutunza maneno. Tukumbuke hata yakiomkuta bashite. Alijua atadumu milele kwenye kiti cha kifalme!! Vijana tuchunge mdomo . Mdomo ulimponza kichwa!!
In the game of thrones its either you win or you die,there is no middle ground.

Kule aliko El, kabla ya hapo yalisemwa mengi sana,so katika siasa anything is legal.
 
Chadema walimtaja Lowasa kwenye list of shame na kumchafua miaka nane kuwa ni fisadi papa.

Lakini leo chadema hao hao ni wapangusa viatu vya Lowasa
 
Kwani huyo 'Bashite' kaishatolewa kwenye kiti cha enzi???? Bavicha mna vihoja balaa
 
Polepole alituambia "Kwa sauti moja............" sasa tumeelewa. Kule kwa Mengistu Haile Mariam (enzi hizo) baba yule alikuwa akienda kwenye mkutano anapark kifaru cha jeshi mlangoni. Sasa wewe nenda ukapinge msimamo wake ndo utamjua oh no ndo waliobaki watamjua (Peke yake ndiye aliyekuwa anaingia na mguu wa kuku kwenye kkikao. Baba yule...
 
Back
Top Bottom