DODOMA: Bashe, Musukuma na Malima waachiwa

DODOMA: Bashe, Musukuma na Malima waachiwa

Yaaani walichofanyiwa ni sawa na enzi zetu unaenda kuruka ukuta uingie kutazama mechi huku hauna hata mbuni, afu Bahati mbaya ukiingia tu ndani baada ya kuruka ukuta unakuta askari hawa hapa na mbwa zao,
walichokuwa wanafanya askari wale ni kukupa /kuwapa adhabu ya kukaa unaangalia ukutani au kulala chini huku mechi inaendelea kama kawaida, afu mchezo ukibakiza dk10 za mwisho ndo wanawaachieni mkaangalie game, hapo huwa wanafungulia hata mageti yote kipindi hicho .

Kuingia uwanjani muda huo wa lala salama tulipenda kuita kwa jina maalufu la " kipindi cha fungulia mbwa" . Ila pia ubaya wake ilikuwa ni kukasrika sana masela wakikutania kuwa uliingia fungulia dog time, kwani ilikuwa ni fedheha sana, na hivyo ilimlazumu muhusika kufanya jitihada za kujichanganya na walioingia toka mwanzo na pia kuleta leta ubishi ili tu apate dondoo za DK za mwanzo ili asije pata aibu ya kutoelewa game ilivyokuwa toka mwanzo.

Sasa hawa jamaa Nimeona wamefanyiwa hivyo hivyo ila tofauti yake tu wao ni kwenye siasa.
Kwani maamuzi yashafanyika na wenye kuvuliwa gamba tayari washavuliwa. Hivyo na wao ndo wanaibuliwa DK za lala Salama toka.machimbo.
Au mwasemaje wakuu..??

Dah hii ilinikuta Sokoine stadium miaka ileeeeee
 
Bashe na Msukuma wamefukuzwa uanachama na wameamuriwa kuondoka mara moja Dodoma!!
Sasa huyu musukuma akitimuliwa nambari moja ataenda wapi maana yule best wake wa zamani aliyekuwa anamrembea kwa helkopta kampeni za kusaka kuungwa mkono na baadaye kutimka kwenye chama si alimporomoshea maneno mabaya kule chato?
 
Musukuma ni mwenyekiti wa ccm wa mkoa wa GEITA na anawakilisha GEITA ikiwamo chato,ni wazi ana maoni ya wana GEITA na chato na anawawakilisha kupinga mabadiliko ya katiba ya ccm

Chato ni nyumbani kwao mkuu na wazazi wake na nduguze wanaishi huko
 
Yaaani walichofanyiwa ni sawa na enzi zetu unaenda kuruka ukuta uingie kutazama mechi huku hauna hata mbuni, afu Bahati mbaya ukiingia tu ndani baada ya kuruka ukuta unakuta askari hawa hapa na mbwa zao,
walichokuwa wanafanya askari wale ni kukupa /kuwapa adhabu ya kukaa unaangalia ukutani au kulala chini huku mechi inaendelea kama kawaida, afu mchezo ukibakiza dk10 za mwisho ndo wanawaachieni mkaangalie game, hapo huwa wanafungulia hata mageti yote kipindi hicho .

Kuingia uwanjani muda huo wa lala salama tulipenda kuita kwa jina maalufu la " kipindi cha fungulia mbwa" . Ila pia ubaya wake ilikuwa ni kukasrika sana masela wakikutania kuwa uliingia fungulia dog time, kwani ilikuwa ni fedheha sana, na hivyo ilimlazumu muhusika kufanya jitihada za kujichanganya na walioingia toka mwanzo na pia kuleta leta ubishi ili tu apate dondoo za DK za mwanzo ili asije pata aibu ya kutoelewa game ilivyokuwa toka mwanzo.

Sasa hawa jamaa Nimeona wamefanyiwa hivyo hivyo ila tofauti yake tu wao ni kwenye siasa.
Kwani maamuzi yashafanyika na wenye kuvuliwa gamba tayari washavuliwa. Hivyo na wao ndo wanaibuliwa DK za lala Salama toka.machimbo.
Au mwasemaje wakuu..??

Wameachiwa muda si mrefu usiku huu.

Nini wamehojiwa?

Kwanini wameachiwa?

Nini hatma yao?

Tutajua baadae. Ila wako huru sasa!
 
Sasa huyu musukuma akitimuliwa nambari moja ataenda wapi maana yule best wake wa zamani aliyekuwa anamrembea kwa helkopta kampeni za kusaka kuungwa mkono na baadaye kutimka kwenye chama si alimporomoshea maneno mabaya kule chato?
Nasubiri tamko la afisa habari na katibu wa propaganda na uenezi wa chama, siamini kama inawezekana kikao kimoja kuondoka na wabunge wote hao, ambao kimsingi watapoteza ubunge wao na kulazimika kurudi kwenye uchaguzi majimboni kwao, naamini hbr hii si ya kweli kwa sasa hadi pale itakapothibitishwa vinginevyo.
 
Back
Top Bottom