Nasikia Bashite naye alitimuliwa Dar?Bashe na Msukuma wamefukuzwa uanachama na wameamuriwa kuondoka mara moja Dodoma!!
Bashite iko wapi?Kumekucha haswa
Hapana kazi tu.Kazi kweli kweli
nenda ata sasa ivMungu kwa nini ulinifanye nizaliwe Tanzania,bora ningezaliwa Kenya
Kwa kweli! Hapa kazi tu!Hapana kazi tu.
Maneno yako yawe hivyo kwake milele na akasote utumwani sisi tubaki na nchi yetu yenye mibaraka tele tena ya milele!nenda ata sasa iv
Jambo lenyewe ni reforms ndani ya CCM. That's allKuna jambo kubwa sana litatokea tanzania
Umekuwa Sheikh Yahaya?Kuna jambo kubwa sana litatokea tanzania
Itakua wakati sheikhe anakufa alimuhusia aiendeleze faniUmekuwa Sheikh Yahaya?
??..............
Bashe na Msukuma wamefukuzwa uanachama na wameamuriwa kuondoka mara moja Dodoma!!
Hapakua na mambo ya kijinga kama haya yanayo tokea sasa hapa kwetu.Hahahaaa.....hivi na Uganda enzi za IDD ilikuwaje?
Najiuliza.....Najua matatizo yote atakuwa amesababisha huyo msukuma-ku deal na watua aina ya bashite inahitaji busara sana