Mungu kwa nini ulinifanye nizaliwe Tanzania,bora ningezaliwa Kenya
Wameachiwa muda si mrefu usiku huu.
Nini wamehojiwa?
Kwanini wameachiwa?
Nini hatma yao?
Tutajua baadae. Ila wako huru sasa!
========
Kulingana na taarifa ya kamanda wa polisi mkoa wa Dododma, wahusika walikamatwa kwa kufanya vurugu katika vikao vya chama cha mapinduzi vinavyoendelea mjini Dodoma.
Kwani hao waliofukuzwa bado hawajahamia chawema manaake huko ndo jalala la taka .