T Tyetyetye JF-Expert Member Joined Dec 3, 2014 Posts 1,180 Reaction score 992 Mar 12, 2017 #241 Wakahasi au wakahasiwa? Labda wakiasi
Jaji Mfawidhi JF-Expert Member Joined Feb 20, 2016 Posts 16,101 Reaction score 24,353 Mar 12, 2017 #242 iparamasa said: Hahahaaa.....hivi na Uganda enzi za IDD ilikuwaje? Click to expand... Story za Idd Amin tumezikuza tu. Nenda Uganda utaambiwa wala hakuwa kama tunavyomsema. Alifukuza wahindi,kwani huku nako wale nanii wa kwa Yusu Manji si wamepelwkwa mahakamani? Linganisha matukio alafu utaniambia nani bora
iparamasa said: Hahahaaa.....hivi na Uganda enzi za IDD ilikuwaje? Click to expand... Story za Idd Amin tumezikuza tu. Nenda Uganda utaambiwa wala hakuwa kama tunavyomsema. Alifukuza wahindi,kwani huku nako wale nanii wa kwa Yusu Manji si wamepelwkwa mahakamani? Linganisha matukio alafu utaniambia nani bora
mkafrend JF-Expert Member Joined May 12, 2014 Posts 3,045 Reaction score 1,503 Mar 12, 2017 #243 Magufuli ajiandae kwa kupingwa ndani ya CCM, hakuna atakayekuwa tayari kuona katiba ya CCM ikichezewa
Magufuli ajiandae kwa kupingwa ndani ya CCM, hakuna atakayekuwa tayari kuona katiba ya CCM ikichezewa
Ibambasi JF-Expert Member Joined Jul 25, 2007 Posts 9,299 Reaction score 4,700 Mar 12, 2017 #245 iparamasa said: Polisi imechukua nafasi ya Green Brigade kuzuia watu wasiongee...... Kamata kamata kama vile tuko kwa Jammeh Click to expand... Wachukueni na hao pia. Msikomee kuwatetea tu.
iparamasa said: Polisi imechukua nafasi ya Green Brigade kuzuia watu wasiongee...... Kamata kamata kama vile tuko kwa Jammeh Click to expand... Wachukueni na hao pia. Msikomee kuwatetea tu.