Bepari
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 904
- 330
Heeeh!!Hiyo CCM na bora ife tuh
Heeeh!!Hiyo CCM na bora ife tuh
Muda ni mwalimuKuna jambo kubwa sana litatokea tanzania
Watatuweza,? Hapo ndipo tutakapo Chukua maamuzi magumu ambayo haya kupata kutokea.Kesho anaweza kukamatwa nani? Hii nchi sasa haitabiriki.....anaweza kuagiza watanzania wote tuwekwe rumande?
Ungemjua wapi SIZONJE?Mungu kwa nini ulinifanye nizaliwe Tanzania,bora ningezaliwa Kenya
Shukuru sana kuzaliwa Tanzania ungezaliwa kenya pengine ungekuwa futi 6 yale machafuko 2007 yasingekuachaMungu kwa nini ulinifanye nizaliwe Tanzania,bora ningezaliwa Kenya
the big show wacha roho mbaya dua la kuku hilo ccm itazidi kua imara.Hiyo CCM na bora ife tuh
Wewe uwezo wako wa kuelewa mambo ni mdogo sana. CCM ndiyo imealika waandishi wa habari na wao ndiyo wanatoa taarifa kwenye mitandao ya kijamii. CHADEMA tunafuatilia kwa nini mwenzetu aliyefoji cheti mpaka sasa hajafukuzwa uongozini?Kinachofanyika Dodoma ni kunyoosha chuma kilichopinda.....na zoezi hilo sio jepesi hata kidogo.
Chadema naona mnafatilia kwa karibu vikao vya CCM Dodoma....mkiambiwa CCM ni chama kikubwa sana hapa nchini mnakataa sasa inebainika mnafatilia kwa karibu vikao Dodoma na mnapopata kahabari kadogo tu mnakimbilia JF kufungua thread...
Anaweza kukamatwa mkwere Lisa kwa nini watu wanatumbuliwa yeye anacheka tuu badala ya kupongeza?Kesho anaweza kukamatwa nani? Hii nchi sasa haitabiriki.....anaweza kuagiza watanzania wote tuwekwe rumande?
Acha wehu kenya kuna al shababu ujue?Mungu kwa nini ulinifanye nizaliwe Tanzania,bora ningezaliwa Kenya
bashe msukuma na malima msiogope kutetea ccm yenu.
Kwani ccm hawafuatilii vikao vya chadema? Wewe zuzu kweliKinachofanyika Dodoma ni kunyoosha chuma kilichopinda.....na zoezi hilo sio jepesi hata kidogo.
Chadema naona mnafatilia kwa karibu vikao vya CCM Dodoma....mkiambiwa CCM ni chama kikubwa sana hapa nchini mnakataa sasa inebainika mnafatilia kwa karibu vikao Dodoma na mnapopata kahabari kadogo tu mnakimbilia JF kufungua thread...
Malalamiko hayo mmeyafikisha kwa nani akakataa kuchukua hatua dogo???Wewe uwezo wako wa kuelewa mambo ni mdogo sana. CCM ndiyo imealika waandishi wa habari na wao ndiyo wanatoa taarifa kwenye mitandao ya kijamii. CHADEMA tunafuatilia kwa nini mwenzetu aliyefoji cheti mpaka sasa hajafukuzwa uongozini?
Na hiyo ndo maana ya habari pamoja na matukio muhimu ya siasa mechi ya Simba na Yanga inaanzishiwa Uzi sembuse ilo jamboKinachofanyika Dodoma ni kunyoosha chuma kilichopinda.....na zoezi hilo sio jepesi hata kidogo.
Chadema naona mnafatilia kwa karibu vikao vya CCM Dodoma....mkiambiwa CCM ni chama kikubwa sana hapa nchini mnakataa sasa inebainika mnafatilia kwa karibu vikao Dodoma na mnapopata kahabari kadogo tu mnakimbilia JF kufungua thread...