DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 5,587
- 10,281
CCM IMEKUWA KM DINI AMBAPO JPM AMEKUWA KM MUNGU HASTAHILI KUPINGWA WALA KUHOJIWA.
Nauona ombwe la mpasuko mkubwa ukijongea kwa kasi huko ccmIkitokea nusu ya Wabunge wa Ccm wakahasi itakuwaje!
Kwani Nape alikuwa Pro Lowassa? Umesahau alivyokuwa akimtukana?Najiuliza.....
Nape ameponaje?
Naungana na weweFile la Bashe Uhamiaji lipitiwe Upya.
Hata Kundi lililomzomea Mwenkt 2015 liliratibiwa na Huyu Msomali.
Watanzania huwa sio Watovu wa nidhamu hasa mbele ya Mkuu wa dola.
Arudishwe kwao Mogadishu hao kina Msukuma na Malima wapewe tu karipio
Hizo green brigade, blue guard n.k zilipigwa marufuku. Ulinzi wa watu na mali zao ni jukumu la polisPolisi imechukua nafasi ya Green Brigade kuzuia watu wasiongee......
Kamata kamata kama vile tuko kwa Jammeh
Bashe na Msukuma wamefukuzwa uanachama na wameamuriwa kuondoka mara moja Dodoma!!
Msukuma hajitambui acha akipate freshSasa huyu musukuma akitimuliwa nambari moja ataenda wapi maana yule best wake wa zamani aliyekuwa anamrembea kwa helkopta kampeni za kusaka kuungwa mkono na baadaye kutimka kwenye chama si alimporomoshea maneno mabaya kule chato?
Walivo na njaa hawaweziIkitokea nusu ya Wabunge wa Ccm wakahasi itakuwaje!
Alisimamishwa sio kufukuzwaKwani Magdalina wa CUF si kafukuzwa uwanachama naye, mbona anaendelea kuwa mbunge?