BONGE BONGE
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 3,721
- 2,109
Walibebeshwa ndoo?
Nchi iko miguu juu kichwa chini
Nchi inanyooshwa!!
Walibebeshwa ndoo?
Nchi iko miguu juu kichwa chini
Kwa jinsi wanavyoisoma namba sidhani kama hili linawezekana.Ikitokea nusu ya Wabunge wa Ccm wakahasi itakuwaje!
Hiyo bado haijathibitishwa. Zilikuwa ni tetesi tu!Bashe na Msukuma wamefukuzwa uanachama na wameamuriwa kuondoka mara moja Dodoma!!
Ahaaaa....sasa leo 11 March 2017 imewakuta kina bashe, msukuma, Malima. Afu Wao kule sero waliwekewa na ka wimbo kama "wacha waisome namba enhee".....Dah hii ilinikuta Sokoine stadium miaka ileeeeee
Hizo ndoto za alinacha endeleeni kuota....Ikitokea nusu ya Wabunge wa Ccm wakahasi itakuwaje!
Itapendeza zaidi kama CCM hawataishia kufukuza wasaliti peke yao huku ikiwaacha wanachama vichaa wakiendelea kutamba. Kwa chama makini Msukuma si wa kukaa naye, huyu ni wa kufukuza, anazo sifa zote za ukichaa.bashe msukuma na malima msiogope kutetea ccm yenu.
Liko wapi? Tusiishi kwa vitisho na hofu sababu ya michuano ya wana siasa. Ukiangalia sana ni agenda binafsi n.a. madaraka ndio yanawasumbua. Wengine hawana pa kula wanapambana wapate pakutokeaKuna jambo kubwa sana litatokea tanzania
Kinachofanyika Dodoma ni kunyoosha chuma kilichopinda.....na zoezi hilo sio jepesi hata kidogo.
Chadema naona mnafatilia kwa karibu vikao vya CCM Dodoma....mkiambiwa CCM ni chama kikubwa sana hapa nchini mnakataa sasa inebainika mnafatilia kwa karibu vikao Dodoma na mnapopata kahabari kadogo tu mnakimbilia JF kufungua thread...
Musukuma ni mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita akiiwakilisha na Chato pia.. kwahiyo anawawakilisha kundi kubwa la wana Ccm mkoani humo.. haya turudi sasa kwenye topic ulikua unasema?!!...Itapendeza zaidi kama CCM hawataishia kufukuza wasaliti peke yao huku ikiwaacha wanachama vichaa wakiendelea kutamba. Kwa chama makini Msukuma si wa kukaa naye, huyu ni wa kufukuza, anazo sifa zote za ukichaa.




Hakuna kisichowezekana chini ya jua! Ukifikiria tu kwamba yanayowezekana ni ndoto ujue kuwa wewe ndo uko ndotoni na ukiamka utaufahamu ukweli!Hizo ndoto za alinacha endeleeni kuota....
Mkuu ni kweli kuhusu hili issue ya msukuma na Bashe wamefukuzwa.Bashe na Msukuma wamefukuzwa uanachama na wameamuriwa kuondoka mara moja Dodoma!!
Ikipita siku hujakamatwa shukuru mungu