Do you have guts??? Basi "Brag" a bit....

Do you have guts??? Basi "Brag" a bit....

Kwa sura naweza kusema hapana
ila matendo yanaweza kuwa yanafanana fanana na huyo mdudu
Si unajua tena
ila sijakuoffend lakini mkuu

Duh! Matendo yangu yanafanana na nzi?! Ngoja nianze kujifanyia utafiti!!

Husijali mzee...I see no offence!
 
Duh! Matendo yangu yanafanana na nzi?! Ngoja nianze kujifanyia utafiti!!

Husijali mzee...I see no offence!

Hahahahah mkuu hebu jichunguze uangalie kama hayafanani
Maana unaweza kuta ni copyright kabisa na huyo mdudu
Hata kusafiri unasafiri bure kwenye daladala eti madai yako umesahaulika na konda
Au unaingia popote bila hata kubisha hodi au kuulizwa
 
Binti una vituko wewe....lol... Haya ukimaliza come brag a bit!

Haya sasa nimerudi! Dah.......mie umbo langu tu hili namba moja na hichi kiurefu cha wastani nilichonacho ndo mpango mzima aisee!! Otherwise......I can brag of being kichwa maji plus huu ukorofi wangu wa msimu, vinanifanya nistand on what I believe!!!
 
Hahahahah mkuu hebu jichunguze uangalie kama hayafanani
Maana unaweza kuta ni copyright kabisa na huyo mdudu
Hata kusafiri unasafiri bure kwenye daladala eti madai yako umesahaulika na konda
Au unaingia popote bila hata kubisha hodi au kuulizwa

"Nzi anapenda kukaa mahala pachafu na mahala penye utamu".
Nadhani huo ndio uwe msingi wa tathmini yangu.
 
Oooppss. Did I violate any JF rule?
Por favor, discúlpeme

You violated my umm. . I don't know. .TRUST?!!

Nwy Usted está justificada, aunque con una condición. . .uniambie ukimsoma MissSun unakua vipi!!
 
AMEN dearest, you help me with my problems and i will be the best....that i promise.....you are a great lady too and thats why i gave you the job to do....God Bless you more dear....pamoja saaaaaaaaaaaaaana mpaka kieleweke....!

Michelle,
Mtoto mzuri hujambo?
 
hahahaha! hivi wifi si unge-brag tu about ur being overprotective (au ni possessive?). hahaha, kana mambo makubwa, kanaweza kutufunda haka katoto, mweh! you dont get to choose family, but maybe i will keep a small distance ili heshima ya familia isishuke,lol

Kwa maelezo haya you are right dear...lol.... Impressive kwa kweli, impressive kabisa! Haka kabinti kalitaka kawe kadogo kangu, in the sense amwite Sweetie shem, nikaona kua na such kind of mdogo, hapana ni bora awe niece ili nibanane nae kwa fimbo! lol
 
Back
Top Bottom