kongosho,umeona timbwili la NN vs king'asti hapo juu? sijaambulia kitu,maana huo ung'eng'e mmmmhhhh na mimi dikshenare yangu imeliwa na panya!
Mkuu mimi nimeuona halafu nikajifanya sijauona kabisa natruka tuu page
kongosho,umeona timbwili la NN vs king'asti hapo juu? sijaambulia kitu,maana huo ung'eng'e mmmmhhhh na mimi dikshenare yangu imeliwa na panya!
mtaje mkuu tusije tukagongana viwanja!
EMT you don't have to be obssesed bana, it's alright to check yourself out once in while. Besides, kama wewe ni mtu wa kushave asubuhi huwezi/hutakiwi kuavoid kioo.
Could you live a day without looking at yourself? To me, mara ya mwisho ilikuwa nilipoenda kwa kinyozi kunyoa as lazima ukae in front of the mirror. One woman swears off the mirrors for a year. Ukitaka kujua jinsi mwanamke anavyotukana mvizie akiwa mbele ya kioo. lol
Raia.... Brag kidogo bana... Mie nimeleta kial mmoja afurahie sifa zake....
kongosho,umeona timbwili la NN vs king'asti hapo juu? sijaambulia kitu,maana huo ung'eng'e mmmmhhhh na mimi dikshenare yangu imeliwa na panya!
Ina maana nyumbani kwako bafuni hakuna kioo?
kongosho,umeona timbwili la NN vs king'asti hapo juu? sijaambulia kitu,maana huo ung'eng'e mmmmhhhh na mimi dikshenare yangu imeliwa na panya!
Kwani wanaume hasa wanatoka wapi?
Nikimtaja si atatoroka mkuu
We subiri niandae kwanza mashairi na then nitakuja kamili hapa
hata tukigonggana sio mbaya tutaachiana tuu nafasi mkuu wewe ni mkubwa bana heshima lazima ittangulie mkuu
mtu mwenyewe una wivu ka nini,usije ukantilia cyanide! nitakula za valentine wangu,lol!
Ina maana nyumbani kwako bafuni hakuna kioo?
Yaani asali wa moyo wako
unamwachia fataki B?
Komaa hadi kieleweke
Yaani asali wa moyo wako
unamwachia fataki B?
Komaa hadi kieleweke
Hivi ile post-doctoral certificate ya conflict manufacturing ulisomea south sudan ama libya? Nataka niombe na mie, kha!
Nipe mkuu
Kongosho hata mimi ananipa utata nikitaka hata kumuaddress napata shida sana
Leta maneno mkuu
he he he,
ni-address
P.O Box Wanikondesha
Cha nini? Kujiangalia ninapooga au kujisaidia?
Hivi ile post-doctoral certificate ya conflict manufacturing ulisomea south sudan ama libya? Nataka niombe na mie, kha!