Habari wadau ! Mimi kama mmoja wa MTU ambaye mke wangu amepata Huduma ya dokta mwaka kuanzia January mwaka huu hadi mwezi wa kumi katika matatizo ya uzazi ,sijaona tatizo zaidi ya kumshukuru kwani nimeangaika Mara mbili kwenye hospitali zenye madokta lakini watoto Wang wawili walitoka kabla na kufariki lakini January nilifumba macho na kuenda kwake nilipewa dawa na ushauri niliambiwa mke Wang ana infection ,nashukuru alitumia kwa usahihi wiki iliyopita mke Wang kajifungua salama na afya tele, mwanzo watu walinitisha kuhusu dawa zake ikiwemo shoga Yake mke Wang kwamba si dawa wala chochote.Sasa wana forum nauliza kwa dokta mwaka tatizo ni nini?