Dkt. Mwaka aonyesha vyeti na vibali vyake

Dkt. Mwaka aonyesha vyeti na vibali vyake

Pdidy

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,674
Reaction score
37,852
*Cc: Wizara ya Afya na wengineo...

attachment.php

attachment.php
 

Attachments

  • IMG_7787391501534.jpeg
    IMG_7787391501534.jpeg
    19.1 KB · Views: 7,677
  • IMG_7727160745457.jpeg
    IMG_7727160745457.jpeg
    23.2 KB · Views: 18,182
  • IMG_7787391501534.jpeg
    IMG_7787391501534.jpeg
    19.7 KB · Views: 16,200
MAKOSA YAKE NI HAYA:_
(i) Registration yake ni ya tiba asili ambayo imekwisha muda wake
(ii) Kumkimbia Muheshimiwa naibu waziri
(iii) amekiuka miiko kwani alikuwa hajitangazi kama mtoa tiba wa asili, HIVYO WENGI WALIOKWENDA KWAKE WALIAMINI NI MGANGA WA HOSPITALI-MEDICAL DOCTOR
 
MAKOSA YAKE NI HAYA:_
(i) Registration yake ni ya tiba asili ambayo imekwisha muda wake
(ii) Kumkimbia Muheshimiwa naibu waziri
(iii) amekiuka miiko kwani alikuwa hajitangazi kama mtoa tiba wa asili, HIVYO WENGI WALIOKWENDA KWAKE WALIAMINI NI MGANGA WA HOSPITALI-MEDICAL DOCTOR
Hmm...
 
Msilete siasa, huyu ni dokta wa kutumia mitishamba, iweje atumie baadhi vifaa na taratibu za mainstream medicine ilhali haruhusiwi kutumia sababu hajasomea? Hiyo ndo hoja! Nendeni klinik kwake!
Hivyo vyeti ulivyoweka hapo havijajibu hoja bali kuongeza maswali zaidi.
 
Sasa ni kipi hasa kilimkimbiza? Si angevuta subira akamvutia hizi nyaraka? Au hajiamini?
 
MAKOSA YAKE NI HAYA:_
(i) Registration yake ni ya tiba asili ambayo imekwisha muda wake
(ii) Kumkimbia Muheshimiwa naibu waziri
(iii) amekiuka miiko kwani alikuwa hajitangazi kama mtoa tiba wa asili, HIVYO WENGI WALIOKWENDA KWAKE WALIAMINI NI MGANGA WA HOSPITALI-MEDICAL DOCTOR

Alimkimbia vipi wakati alienda kwa makomeo style? Wewe unakwenda ofisini kwa mtu kwa kuvizia huo si uchimvi? Hata mimi ningeondoka zangu tena kwa kupishana nae mlangoni maana hakuna taarifa yoyote ya ujio wake! Wakashtukize muhimbili huko sio kwenye vitega uchumi vya watu.
 
MAKOSA YAKE NI HAYA:_
(i) Registration yake ni ya tiba asili ambayo imekwisha muda wake
(ii) Kumkimbia Muheshimiwa naibu waziri
(iii) amekiuka miiko kwani alikuwa hajitangazi kama mtoa tiba wa asili, HIVYO WENGI WALIOKWENDA KWAKE WALIAMINI NI MGANGA WA HOSPITALI-MEDICAL DOCTOR

(1).Muwe mnasoma vizuri registration yake inakoma 31 october 2016,(2).Dr.HKigwangalla alifanya ziara ya kushikiza hivyo kutomkuta Dr.Mwaka hamanishi alimkimbia.(3)wewe ulimskia alikuwa anajitangazaje??
 
CC. Dr.Kigwangala ( Naibu Waziri) vipi umesahau Mhe.ni member mwenzetu ebu jaribu kuzingatia protokali banah!


Hivi Babu wa Loliondo alikuwa na cheti kweli?

Ebu fanya kuwasiliana na hao jamaa kuweza kujua
 

Attachments

  • 1450271096640.jpg
    1450271096640.jpg
    12.2 KB · Views: 2,650
  • 1450271195754.jpg
    1450271195754.jpg
    19.7 KB · Views: 2,613
makosa yake ni haya:_
(i) registration yake ni ya tiba asili ambayo imekwisha muda wake
(ii) kumkimbia muheshimiwa naibu waziri
(iii) amekiuka miiko kwani alikuwa hajitangazi kama mtoa tiba wa asili, hivyo wengi waliokwenda kwake waliamini ni mganga wa hospitali-medical doctor
nawasiwasi na redio uliokuwa ukisikia akianza anajieleza naitwa dk....xxxxx natibu dawa zangu kwa mitishamba wengine husema mitiya asili..akimaliza hu do ze same....
 
Back
Top Bottom