WABALLA Inc
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 2,711
- 1,018
Mie siku zote najua ni Dr professional
Tarehe ya barua kuchapwa ni 28th May 2014*cc wizara ya afya na wengineo...
labda shida kubwa kwa dk mwaka beizake ziko juu sana sio kumsaidia mtanzania wa chini kama waganga wa asili wa kawaida uwezitofautisha waloliondo 500/30"000 za mwaka hapo unalipa 10"000 za kadi dawa unaandikiwa tano bill zinatoka perdiem ya mbunge mmoja wa katiba ukijumlisha mns uwe na laki nne+ kwenda kwa mwaka m sishangai hilo gari kwa bei zake uwezo anao..waangalie tu hizo.sehemu zingine na wambane kwenye bei ..yuko kwa ajili ya wananchi wote..kama anaponya basi abanwe bei zishuke.aendelww..Ebu fanya kuwasiliana na hao jamaa kuweza kujua
Msilete siasa, huyu ni dokta wa kutumia mitishamba, iweje atumie baadhi vifaa na taratibu za mainstream medicine ilhali haruhusiwi kutumia sababu hajasomea? Hiyo ndo hoja! Nendeni klinik kwake!
Hivyo vyeti ulivyoweka hapo havijajibu hoja bali kuongeza maswali zaidi.
Tarehe ya barua kuchapwa ni 28th May 2014
Tarehe ya barua kusainiwa na aliyeiandika 28/04/2014
Wonders shall never end!!!!! Pdidy
Sasa ni kipi hasa kilimkimbiza? Si angevuta subira akamvutia hizi nyaraka? Au hajiamini?
Mibichwa tupu shida sana. Kwa hiyo ulitaka kwa kuwa ni dokta wa tiba asili basi thermometer isitumike kupima joto la mwili aku'nyoso' au?
Ukikosa cha kuongea kukaa kimya ndio uungwana.
Hah haa...bado nasubiri mkuu, kunywa juice ntakuita.Ukipata jibu naomba unistue...sijui hata alikimbia nini! Na wasaidizi wote mbio...!!
*cc wizara ya afya na wengineo...
MAKOSA YAKE NI HAYA:_
(i) Registration yake ni ya tiba asili ambayo imekwisha muda wake
(ii) Kumkimbia Muheshimiwa naibu waziri
(iii) amekiuka miiko kwani alikuwa hajitangazi kama mtoa tiba wa asili, HIVYO WENGI WALIOKWENDA KWAKE WALIAMINI NI MGANGA WA HOSPITALI-MEDICAL DOCTOR
labda shida kubwa kwa dk mwaka beizake ziko juu sana sio kumsaidia mtanzania wa chini kama waganga wa asili wa kawaida uwezitofautisha waloliondo 500/30"000 za mwaka hapo unalipa 10"000 za kadi dawa unaandikiwa tano bill zinatoka perdiem ya mbunge mmoja wa katiba ukijumlisha mns uwe na laki nne+ kwenda kwa mwaka m sishangai hilo gari kwa bei zake uwezo anao..waangalie tu hizo.sehemu zingine na wambane kwenye bei ..yuko kwa ajili ya wananchi wote..kama anaponya basi abanwe bei zishuke.aendelww..
Tarehe ya barua kuchapwa ni 28th May 2014
Tarehe ya barua kusainiwa na aliyeiandika 28/04/2014
Wonders shall never end!!!!! Pdidy
Umefikiria mpaka mwisho ukapata themometer tu? Na taratibu je?
Saluti kamanda.
MAKOSA YAKE NI HAYA:_
(i) Registration yake ni ya tiba asili ambayo imekwisha muda wake
(ii) Kumkimbia Muheshimiwa naibu waziri
(iii) amekiuka miiko kwani alikuwa hajitangazi kama mtoa tiba wa asili, HIVYO WENGI WALIOKWENDA KWAKE WALIAMINI NI MGANGA WA HOSPITALI-MEDICAL DOCTOR
*cc wizara ya afya na wengineo...
Kumbe jamaa ame specialise kwenye Miziziology
Dr.Mwaka nimemkubali.
Watu wanakurupuka kumbe mtu ana document zote.
kuweni na akili timamu, hivi kwa kweli, mtu mwenye cheti kama hicho hapo anafaa kuitwa doctor somebody? mnajua maana ya doctor? hivi mtu kama huyu akienda kwenye nchi za watu wenye akili (ambao sio kama ninyi mnayemtetea) atajiita doctor? ....wanatakiwa wapigwe marufuku kujiita madoctor waitwe WAGANGA WA JADI. upuuzi mtupu huuu, na ni waongo kuliko hata shetani. wanachukua advantage matatizo ya watu.(1).Muwe mnasoma vizuri registration yake inakoma 31 october 2016,(2).Dr.HKigwangalla alifanya ziara ya kushikiza hivyo kutomkuta Dr.Mwaka hamanishi alimkimbia.(3)wewe ulimskia alikuwa anajitangazaje??