kuweni na akili timamu, hivi kwa kweli, mtu mwenye cheti kama hicho hapo anafaa kuitwa doctor somebody? mnajua maana ya doctor? hivi mtu kama huyu akienda kwenye nchi za watu wenye akili (ambao sio kama ninyi mnayemtetea) atajiita doctor? ....wanatakiwa wapigwe marufuku kujiita madoctor waitwe WAGANGA WA JADI. upuuzi mtupu huuu, na ni waongo kuliko hata shetani. wanachukua advantage matatizo ya watu.
Kwa mini serikali isiimarishe Huduma zake kwenye hospitari za uma,ili wananchi wasiende huko.
badala yake wanakimbizana na hawa watu wa Tiba mbadala?
Siwatetei lakini nafikiri kipaumbele cha kwanza ilitakiwa ahakikishe dawa na vifaa tiba vinamwagika vya kutosha kweye zahanati vituo vya afya.na hospitari zote za serikali.
Tena ahakikishe hakuna dawa inayoibiwa huko.
Wananchi tungempigia makofii mengi.
Ila hapo bado sana.