Dkt. Mwaka aonyesha vyeti na vibali vyake

Dkt. Mwaka aonyesha vyeti na vibali vyake

uzi wako umejaa sifa nyngi bla hoja upuuzwe wewe ulikua una tatzo LA ugumba sasa ulvompeleka kwa mwaka mwaka akamcharanga na uyo mtoto ni wa mwaka sio wako we msifie mwaka wakat anamnanhii mke wako

Nazani hujui maana ya ugumba soma post vizuri ,si lazima uchangie kama hujui
 
Tatizo la Mr. Mwaka si kutibu bali ni kuchanganya taaluma yake ya utabibu wa tiba mbadala na ule wa kisasa wa kusomea zaidi ya miaka zaid ya minne na kupata shahada ya udaktari! Hakupaswa kujitangaza kama daktar mtaalam kwa kuchanganya na vipimo vya kihospitali. Alipaswa ajiite mtaalam wa Tiba za kisasa na asifanye huduma za vipimo za hospitali za kisasa kama ultra sound nk.

Hapo nimekuelewa umejibu kitaalam
 
Mwingine huyo hapo. "Dr"Mandai.

Wako wengi matapeli. Haya ni majipu makubwa kabisa kwenye sekta ya Afya.

Waziri na Naibu wake tafadhali chukueni hatua madhubuti taifa linaangamia
Mandai2.JPG
 
Pamoja na kwamba naendelea kusubiri kitakacho fuata kufuatia Dr. Mwaka's SAGA but sikubaliani na watu mnao toa comment za kwamba eti mleta uzi akae na mkewe amuulize vizuri alicho fanyiwa na Mwaka (Nadhani mna maana, mwaka alimla mkewe and hence mleta uzi hana uzazi). Mleta uzi anatwambia mkewe alikua anapata ujauzito but mimba zimekua zikitoka, labda atusaidie alipewa dawa gani iliyozuia mimba zisitoke hadi mkewe akaja kuzaa!
 
Habari wadau ! Mimi kama mmoja wa MTU ambaye mke wangu amepata Huduma ya dokta mwaka kuanzia January mwaka huu hadi mwezi wa kumi katika matatizo ya uzazi ,sijaona tatizo zaidi ya kumshukuru kwani nimeangaika Mara mbili kwenye hospitali zenye madokta lakini watoto Wang wawili walitoka kabla na kufariki lakini January nilifumba macho na kuenda kwake nilipewa dawa na ushauri niliambiwa mke Wang ana infection ,nashukuru alitumia kwa usahihi wiki iliyopita mke Wang kajifungua salama na afya tele, mwanzo watu walinitisha kuhusu dawa zake ikiwemo shoga Yake mke Wang kwamba si dawa wala chochote.Sasa wana forum nauliza kwa dokta mwaka tatizo ni nini?

Walioweka utaratibu wa kupitia ili mtu aaminiwe na kuwa tabibu wa kushughulika na afya za watu hawakuwa wajinga,kama mtu hakupitia taratibu hizo na vyombo vyenye mamlaka kujiridhisha kwamba kweli sasa huyu ni daktari uwezekano wa kusababisha matatizo yasiyo ya lazima kwa wagonjwa ni mkubwa,na matatizo siyo lazima yatokee immediately au kwa watu wote.Wewe unaweza kuona mkeo yuko salama leo kumbe ni bomu linalosubiri kulipuka,au mkeo akawa salama yes lakini kukawepo wengine wengi tu ambao wameshapata madhara,tambua kwamba kupitia shule tena kwa muda uliopangwa ni muhimu kabla mtu kupewa dhamana ya kuangalia afya za watu,issue sio kuweza kutibu tu kuna mambo mengine kama ethics za kazi husika,tukichukulia speciality ya gyn. kama mtu hajakwiva katika ethics anaweza kweli akamtibu mkeo huo ugumba lakini akampa tatizo jingine kubwa zaidi kama HIV,au hata cancer.Serikali inajua inachofanya tuendelee kuamini hatua anazochukua waziri kwamba ni kwa faida yetu watanzania,na kama kweli alikkuwa kwenye mstari ni kwanini akimbie?PIA TUJIFUNZE KWENYE ISSUE YA BABU WA LOLIONDO.
 
Majini mahaba yanachangia mimba kutoka kwakuwa mwaka ni mganga ndio mana kaweza kumtibu huyo anatumia dawa za kisunnah hana tofauti na darasa anazotoa mzizimkavu kwikwi kwi
 
uzi wako umejaa sifa nyngi bla hoja upuuzwe wewe ulikua una tatzo LA ugumba sasa ulvompeleka kwa mwaka mwaka akamcharanga na uyo mtoto ni wa mwaka sio wako we msifie mwaka wakat anamnanhii mke wako

hahahha hiii yawezekana
 
au unataka nibadilishe kabisa, niite MGANGA WA JADI, YAANI TRADITIOAL HEALER.....ndilo jina wanalostahili kuitwa, na sio doctor. madoctor ni wale waliopigika kwenye vyuo kama muhimbili na vingine kwa miaka ya kutosha wakiusoma mwili wa mwanadamu, sio hao wanaosoma certificate ya mitishamba china mwaka mmoja, ndio unamwita doctor?

ni sawa mkuu ila jamaa anajiita tabibu ujue.
 
kuweni na akili timamu, hivi kwa kweli, mtu mwenye cheti kama hicho hapo anafaa kuitwa doctor somebody? mnajua maana ya doctor? hivi mtu kama huyu akienda kwenye nchi za watu wenye akili (ambao sio kama ninyi mnayemtetea) atajiita doctor? ....wanatakiwa wapigwe marufuku kujiita madoctor waitwe WAGANGA WA JADI. upuuzi mtupu huuu, na ni waongo kuliko hata shetani. wanachukua advantage matatizo ya watu.

Ni kweli kabisaaa. Anacheza na akil za watu. Hao ni waganga wa kienyej wanakuja na sura nyingne. Kwanza chet kimoja hakina muhuri hapo
 
Dr. mwaka hakukimbia bali hakuwepo hospital, juwezi kwenda kwa mtu binafsi bila taarifa umkose useme amekimbia, muhimbili ndiko anakopaswa kwenda kwa kushtukiza na ni lazima amkute DR. wa zamu, kuhusu tuhuma za kulala na wake za watu, si kweli mbona hata huko muhimbili nako ma dokta hujifungia na wanawake ndani? tuache kumchafua mtu bila kuwa na ushahidi, huduma ingekuwa mbovu kusingekuwa na foleni, mbona loliondo foleni imetoweka yenyewe? kwa sababu wengi hawakupona kama na mwaka hasaidii itakufa yenyewe kama kuna mtu alipata matatizo kwa kwenda kwa mwaka aende mahakamani, chuki binafsi si nzuri.
 
Mbona sion muhuri ktk signature?

*Cc: Wizara ya Afya na wengineo...

attachment.php

attachment.php

Na mbona havina muhuli hivyo vyeti?

Ni kweli kabisaaa. Anacheza na akil za watu. Hao ni waganga wa kienyej wanakuja na sura nyingne. Kwanza chet kimoja hakina muhuri hapo
sitoi dhihaka, lakini nasema ukweli, mimi ningekuwa na vyeti vyenye hadhi kama hiyo hapo ya mwaka, NISINGEVIONYESHA KABISA KWA WATU ati nao waseme nina vyeti. kuna watu wana maganda ya kufa mtu hawaonyeshi, yeye ana certificate za mwaka mmoja hizo analeta kwenye mtandao, haoni anajidhalilisha kwamba anayo elimu ya hali ya chini kupitiliza na bado anadili na afya za watu? kuleta hivyo vyeti amezidi kujichambua.
 
Huyu anayejiita Dk. Mwaka ni tapeli wa kiwango cha juu ambacho mpaka uwe na upeo wa juu unaosindikizwa na exposure ndiyo utafahamu kama ni tapeli. He's so clever to those who are foolish and desperate.

Huyu jamaa ametengeneza mazingira ya mwonekano wa modern doctor ili kuwaokota watu ambao wako desperate katika maisha ya kibinadamu ie kuwa na mtoto/watoto.

Mbaya zaidi, hata cheti chake cha kichina cha mafunzo ya miezi 11 amekipata wakati tayari ameishapata usajiri!

He's international conman!
Mkuu, lets be fair, kuna tiba inaitwa 'hypinotisim' haimuhitaji tabibu kuwa na cheti chochote zaidi ya 'convincing power!', hivyo Mwaka is very right na anasaidia wengi!.

Nionavyo mimi Mwaka na Kigwa wanafanana kwa mengi.

  1. Wote ni madaktari, tofauti ni Kigwa kasomea, Mwaka hajasomea!, hivyo hapa kuna ka wivu ka mmoja kujisikia zaidi kuliko mwingine!, sasa kitendo cha anayejisikia kupewa rungu, kazi ya kwanza ni kumtwangia mshindani wake!.
  2. Aliyesemea hana practicing certificate kwa sababu hakufanya intenship, hivyo amebaki daktari jina!, asiyesomea, ana pactice and make money!. Hapa ni wivu tuu wa maendeleo!.
  3. Wote wanamiliki majumba ya ghorofa, mmoja kigorofa chake ni kimoja, anakimalizia kwa kujinyima sana!, mwingine anazo ghorofa tatu za haja!.
  4. Wote wanatumia Rangerover sport, mmoja ya kwake ni ya zamani 2006 na CC zake 2.7, mwingine ni ya 2012 cc zake 4.3!, hivyo hapa ni husuda tuu!.
  5. Wote they are good looking and smart, wanapenda kuvaa vizuri, tatizo ni mmoja ana uwezo wa kuvaa suti za Mwasu, AK's au zile za lile duka pale, JM Mall, Mlimani City, Msasani Mall, na mwingine yeye ni zile suti za yale maduka pale Kinondoni, au Sinza kama Roby One, Hasani Pamba Kali!, hivyo hapa ni wivu tuu wa kipato!.
  6. Wote wanapenda kutokea kwenye TV, mmoja analipia kutokea kwenye vipindi vyake, mwingine ili kutokea ni mpaka wakati wa vikao vya bunge!, hivyo lengo ni kumzima asitokee sana ndio maana anaulizwa kwa nini anajitangaza!, watu wa tiba asili wote wanaojitangaza hajawaona!, kuna mtu anajitangaza zaidi ya mzee wa DFP?!.
  7. Wote wanapenda totoz, mmoja kisirisiri, mwenzake kiwazi wazi, hivyo hapa ni husda tuu ya kwa nini apendwe?!.
  8. Wote wanapenda pesa, mmoja anazo nyingi za kutosha!, mwingine anasubiri za mshahara mwisho wa` mwezi au posho za vikao!. Hivyo hapa ni wivu wa kipato!.
  9. Wote wanapenda mafanikio na biashara, mmoja biashara yake ni ya kudumu, anapiga pesa mwanzo mwisho!, mwingine biashara yake ni ya msimu, hivyo hana uhakika sasa, kutegemeana na upepo wa kisiasa, hivyo hapa ni wasiwasi tuu wa maisha!.
  10. Wote wawili wanampenda sana mwanamuziki Diamond Platnumz, kosa ni mmoja kaimbwa na diamond, mwingine hata kutajwa hatatajwa!.
Kama ni waganga wa tiba asili kujitangaza wanajitangaza wengi why mwaka tuu?!. Hivi Babu wa Loliondo alikuwa na vyeti?, alisomea wapi zaidi ya kuoteshwa kwenye ndoto?!, alipata wapi vibali?!.

Watanzania lazima tufike mahali tuache wivu wa kike kwa kila mwenye nacho, kila mtu a fight very hard to get rich or just die trying!.

Pasco
 
Basi sheria msumeno wakina prof j wakina phd hemed rais wA manzese madee wakamatwe twi twi twi kwi kwi
 
Back
Top Bottom