Dkt. Mwaka aonyesha vyeti na vibali vyake

Dkt. Mwaka aonyesha vyeti na vibali vyake

Mie nadhani tiba ni imani jamani, watu wanakwenda hadi India, lakini kama ndio siku zimeisha basi tena, sasa hili la dr Mwaka kama lipo kisiasa zaidi
 
Hata kwa Mzee wa maji ya kwenye kikombe walikuwa wanatoa ushuhuda wakisema wamepona.

Huyu anayejiita Dk. Mwaka ni tapeli wa kiwango cha juu ambacho mpaka uwe na upeo wa juu unaosindikizwa na exposure ndiyo utafahamu kama ni tapeli. He's so clever to those who are foolish and desperate.

Huyu jamaa ametengeneza mazingira ya mwonekano wa modern doctor ili kuwaokota watu ambao wako desperate katika maisha ya kibinadamu ie kuwa na mtoto/watoto.

Mbaya zaidi, hata cheti chake cha kichina cha mafunzo ya miezi 11 amekipata wakati tayari ameishapata usajiri!

He's international conman!
 
uzi wako umejaa sifa nyngi bla hoja upuuzwe wewe ulikua una tatzo LA ugumba sasa ulvompeleka kwa mwaka mwaka akamcharanga na uyo mtoto ni wa mwaka sio wako we msifie mwaka wakat anamnanhii mke wako

hahahaah
 
Tiba za kwa Dkt Mwaka ni za kubahatisha tu...
Kuna binti mtoto wa cousin wangu ana tatizo la kupata period mfululizo hata kwa miezi sita, then anaweza kuja ku stop akakaa kama miezi 6 constantly tena bila ya kupata period, ameshaenda pale kwa Mwaka kwanza hajaonana nae, kila akimuulizia mara hayupo, mara weka appointment lakini wapi, huwa anaishia kwa vi Dkt vingine uchwara pale pale kwa Mwaka, ameshapewa madawa mpaka inatia huruma lakini wapi, na bado still wanampa hope kwamba atapona.
Alikuwa ananiambia amesha tumia zaid ya 1.2M. More worse muda mwingi Mwaka hakai pale hosp, yupo busy tu kwenye matelevision anajirekodi huko na mishe zake nyingine.
Matibabu pale kwa Mwaka ni bahati nasibu
 
Kwanza kabla ya kumulaumu DK mwaka tujiulize nani alimpa kibali??? Na je huyu DK Kaoneka Leo kwenye huuu utawala wa magufuri??? Je serikali iliyo pita hawakuwepo akina kigwangala au ndyo bifu je tz yupo mwaka tu ??? Au bifu ??? Nataka kuju kwanini tuaminiswe Leo wakati hata TBC ilikuwa inamtangaza??? Je kigwangala hakuwepo au hakuwa DK kipindi hicho ??? Udokta kaupata mwaka huuu naomba tusiaminishwe ujinga bana kigwangala anatakiwa aende huko mbagala hospital hakuna huduma na kama kuna DK basis uwe unajuana nae nawatakia Ijumaa nje
 
Habari wadau ! Mimi kama mmoja wa MTU ambaye mke wangu amepata Huduma ya dokta mwaka kuanzia January mwaka huu hadi mwezi wa kumi katika matatizo ya uzazi ,sijaona tatizo zaidi ya kumshukuru kwani nimeangaika Mara mbili kwenye hospitali zenye madokta lakini watoto Wang wawili walitoka kabla na kufariki lakini January nilifumba macho na kuenda kwake nilipewa dawa na ushauri niliambiwa mke Wang ana infection ,nashukuru alitumia kwa usahihi wiki iliyopita mke Wang kajifungua salama na afya tele, mwanzo watu walinitisha kuhusu dawa zake ikiwemo shoga Yake mke Wang kwamba si dawa wala chochote.Sasa wana forum nauliza kwa dokta mwaka tatizo ni nini?

Wewe tatizo hulioni, mkeo kapona kwa imani yake sio tiba,babu loliondo aliwafanyaje wa tz yeye babu aliwalisha watu imani watu wakajawa na matumaini wanapona kisukari,wajinga ndo waliwao
 
Eti mke wangu alikua na infection khaaa 😂😂😂😂 infection ni ugonjwa Mdogo sana kutibika hospital labda mlikua mnaenda vichocheo ronni
 
Tatizo la Mr. Mwaka si kutibu bali ni kuchanganya taaluma yake ya utabibu wa tiba mbadala na ule wa kisasa wa kusomea zaidi ya miaka zaid ya minne na kupata shahada ya udaktari! Hakupaswa kujitangaza kama daktar mtaalam kwa kuchanganya na vipimo vya kihospitali. Alipaswa ajiite mtaalam wa Tiba za kisasa na asifanye huduma za vipimo za hospitali za kisasa kama ultra sound nk.
 
MAKOSA YAKE NI HAYA:_
(i) Registration yake ni ya tiba asili ambayo imekwisha muda wake
(ii) Kumkimbia Muheshimiwa naibu waziri
(iii) amekiuka miiko kwani alikuwa hajitangazi kama mtoa tiba wa asili, HIVYO WENGI WALIOKWENDA KWAKE WALIAMINI NI MGANGA WA HOSPITALI-MEDICAL DOCTOR

Hivi, ukiambiwa nenda FOREPLAN HERBAL CLINIC, unadhani hiyo ni tiba ni ya aina gani? Lugha ni tatizo?
 
Habari wadau ! Mimi kama mmoja wa MTU ambaye mke wangu amepata Huduma ya dokta mwaka kuanzia January mwaka huu hadi mwezi wa kumi katika matatizo ya uzazi ,sijaona tatizo zaidi ya kumshukuru kwani nimeangaika Mara mbili kwenye hospitali zenye madokta lakini watoto Wang wawili walitoka kabla na kufariki lakini January nilifumba macho na kuenda kwake nilipewa dawa na ushauri niliambiwa mke Wang ana infection ,nashukuru alitumia kwa usahihi wiki iliyopita mke Wang kajifungua salama na afya tele, mwanzo watu walinitisha kuhusu dawa zake ikiwemo shoga Yake mke Wang kwamba si dawa wala chochote.Sasa wana forum nauliza kwa dokta mwaka tatizo ni nini?

mkuu kabla ya kwenda kwa mwaka, mlisha fanyiwa vipimo gani, hospitali zipi.....naamini kwa mwaka ni bei gali sana kwahiyo sidhani kama mngeweza kushindwa kulipia vipimo sahihi vya uzazi, kwako wewe na mke....kama hukuwahi fanyiwa uchunguzi wewe na wife hii stori itakua ni siasa zaidi
 
Umshukuru Mungu amekunusuru na hadaa za Dr.Mwaka.Ila ukiendelea na tiba zake yatakukuta tu.

Dr.Mwaka hana elimu ya kutambua kama mkeo ana infection au la.Infection ni maneno ya kidaktari wa hospitali na si ya kiuganga wa kienyeji.Elimu ya Mwaka ni cheti cha kompyuta na kisha cheti cha uganga wa kienjeji.Hana shahada ya udaktari.
 
Hivi kwanini watu wanaenda kwa JJ MWAKA badala Ya kwenda Hospital zenye madokta profesheno. Kama ni gharama Hata kwa mwaka ni gharama.
 
Lipo somo tunalipata hapa.
Sanaa si njia bora kiutendaji.
Mwisho wa siku kuna maisha ya kawaida.
Makinika, Media zitumike ipasavyo!
 
Wewe tatizo hulioni, mkeo kapona kwa imani yake sio tiba,babu loliondo aliwafanyaje wa tz yeye babu aliwalisha watu imani watu wakajawa na matumaini wanapona kisukari,wajinga ndo waliwao

Ujinga wangu upo wapi hapo soma post uielewe vizuri usikurupuke
 
mkuu kabla ya kwenda kwa mwaka, mlisha fanyiwa vipimo gani, hospitali zipi.....naamini kwa mwaka ni bei gali sana kwahiyo sidhani kama mngeweza kushindwa kulipia vipimo sahihi vya uzazi, kwako wewe na mke....kama hukuwahi fanyiwa uchunguzi wewe na wife hii stori itakua ni siasa zaidi

Uzazi wa kwanza mke wangu alifanyiwa matibabu amana ,uzazi wa pili tulienda agakhan walisema hana tatizo kipimo chao kilitugharimu kama laki 2, hizo zote tulipoteza viumbe ,tatizo halikuwa fedha ni Huduma
 
Back
Top Bottom