mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,771
- 4,656
Wangeanza na babu wa loliondo ningewaona wa maana
Shida ya mtu yeyote limbukeni ni ubongo wake. Sasa wewe ulitaka kwa mwaka abadilishe mada kwani alikwambia yeye ni msanii na sasa unaomba atoe album mpya? Acheni wivu wa kike, tatizo analolizungumzia ni sugu, mkienda hospitali mnaambiwa majibu mepesi kuwa huwezi kuzaa, leo kapatikana mtu anawatibu mnaanza porojo kisa kanunua gari.
Unajitia kuwajua sana madokta eti?
kuweni na akili timamu, hivi kwa kweli, mtu mwenye cheti kama hicho hapo anafaa kuitwa doctor somebody? mnajua maana ya doctor? hivi mtu kama huyu akienda kwenye nchi za watu wenye akili (ambao sio kama ninyi mnayemtetea) atajiita doctor? ....wanatakiwa wapigwe marufuku kujiita madoctor waitwe WAGANGA WA JADI. upuuzi mtupu huuu, na ni waongo kuliko hata shetani. wanachukua advantage matatizo ya watu.
Kumbe jamaa ame specialise kwenye Miziziology
nawasiwasi na redio uliokuwa ukisikia akianza anajieleza naitwa dk....xxxxx natibu dawa zangu kwa mitishamba wengine husema mitiya asili..akimaliza hu do ze same....
Kwa hiyo barua ya wizara ni wazi kuna tatizo kubwa zaidi ya wengi wetu tulivyofikiria awali. Kama sheria inakataza 'promotions' lakini wizara inaruhusu tena pasipo kutoa ukomo wa muda wa kibali ni wazi tatizo ni kubwa na linaanzia kwa hao wasimamizi wa sheria.
kwani "mganga wa jadi" kiiengeleza anaitwaje
Tarehe ya barua kuchapwa ni 28th May 2014
Tarehe ya barua kusainiwa na aliyeiandika 28/04/2014
Wonders shall never end!!!!! Pdidy
*Cc: Wizara ya Afya na wengineo...
![]()
![]()
MAKOSA YAKE NI HAYA:_
(i) Registration yake ni ya tiba asili ambayo imekwisha muda wake
(ii) Kumkimbia Muheshimiwa naibu waziri
(iii) amekiuka miiko kwani alikuwa hajitangazi kama mtoa tiba wa asili, HIVYO WENGI WALIOKWENDA KWAKE WALIAMINI NI MGANGA WA HOSPITALI-MEDICAL DOCTOR
*Cc: Wizara ya Afya na wengineo...
![]()
![]()
Alimkimbia vipi wakati alienda kwa makomeo style? Wewe unakwenda ofisini kwa mtu kwa kuvizia huo si uchimvi? Hata mimi ningeondoka zangu tena kwa kupishana nae mlangoni maana hakuna taarifa yoyote ya ujio wake! Wakashtukize muhimbili huko sio kwenye vitega uchumi vya watu.
Mie siku zote najua ni Dr professional
Mkuu Pdidy, kwani kuna sehemu Dk.Mwaka alieleza kuwa anaanzisha Charity Organization mpaka tuhoji bei ya matibabu kwake? Mimi naona hilo ni jukumu la mhitaji kujipima kama anaweza matibabu ya huyu jamaa au lah. Tusassume kuwa huwa anazunguka nyuma ya nyumba yake na kuchimba mizizi akamuamuru mke wake atwangwe tunywe, bila shaka ana gharama za kazi yake.
Watanzania tuwe fair for the love of God. Kuna yule specialist wa watoto pale Morocco, kumuona tu ni 20,000. Hospitali kama Aga Khan, Hindu Mandal na Burhani bei zake kweli ni sawa na Amana? Mbona huko hatuwasongi?
Imekuwa kama fashion sasa mtu akifanikiwa kwa kazi ya mikono yake basi lazimwa asakamwe. Mimi nashauri kama unaona Dk. Mwaka anapata sana, tuige uthubutu wake na sio kumuundia tume.
Kuna kitu Dk. Mwaka amemzidi Dk. Kigwangala.....'Millionare mindset'. Waziri naye si daktari yule jamani? Mbona kaaza zana chini kakimbilia kwenye siasa? Kuwa daktari jina si sawa na kuwa daktari mjasiriamali. Dk.Mwaka anao uthubutu na unamlipa kop kwem!