Unaposema Dr mpango alikuwa anamtuma Sabaya unapotosha cos hakuna sehemu Sabaya kasema Dkt Mpango alimtuma sehemu zaidi kwakuwa shughuli aliyokuwa anaenda kuifanya ilikuwa inagusa wizara ya fedha ndiyo Dkt Mpango aliijua cos wote ao alikuwa ni mmoja.Hakuna kikichopotoshwa hapa tunajadili kilichoripotiwa. Dr Mpango ni Makamu wa Rais wa Nchi. Hajadiliwi kama Mtu binafsi
Heshima kwakoTunamfahamu Mpango kuliko unavyojua
Sasa hivi ndio anatoa utetezi wake akiongozwa na Wakili wake.Ni kweli amesema aliagizwa na mamlaka iliyomteua, that means presidency. Presidency ni taasisi, ila ilikuwa chini ya Magufuli at the time. Kwahiyo tunaweza kukubaliana kuwa alitumwa na Magufuli kwa maana ya kuwa Magufuli ndiyo alikuwa President wakati huo.
Hakuna sehemu Sabaya amesema aliagizwa na Dr. Philip Mpango na au Prof. Luoga. Hawa ametoa mfano kuwa wanajua alikuwa anatumiwa kufanya kazi maalum nje ya eneo lake la kazi kwa mfano kwenye operesheni ya kukamata mitambo iliyokuwa inafyatua fedha bandia huko Dar es Salaam.
Hapa ndipo mnapopotosha.
Wwe ulikuwepo wakati anawakata hayo masikio!? Au ndiyo mambo ya hear say!?Kwamba DC ana jukumu la kuwasaka na kuwakamata wahujumu uchumi, teh kisha??? Ndio vile anawakata masikio au akiwadaka anafanyaje....
Kama Dr Mpango alijua huku Sabaya akifanya uhalifu ambao ndio umemfikisha mahabusu maana yake ni nini?Unaposema Dr mpango alikuwa anamtuma Sabaya unapotosha cos hakuna sehemu Sabaya kasema Dkt Mpango alimtuma sehemu zaidi kwakuwa shughuli aliyokuwa anaenda kuifanya ilikuwa inagusa wizara ya fedha ndiyo Dkt Mpango aliijua cos wote ao alikuwa ni mmoja.
Sabaya kafanya uovu mwingi. Hawatakaa wapate amani. Umesikia mwingine huko ajaliWwe ulikuwepo wakati anawakata hayo masikio!? Au ndiyo mambo ya hear say!?
Akili yako bado haijaelewa nilichokiandika. Rudia kusoma.
Kukamata wahujumu uchumi sio kazi yake, kuna vyombo husika....👋Wwe ulikuwepo wakati anawakata hayo masikio!? Au ndiyo mambo ya hear say!?
Kama haujaielewa endelea na comments nyingine boss, mine isn't the only one.ma.vi yako. unapoandika jifunze ku-proof read kisha jiulize mantiki ya ulichoandika na ujihoji ikiwa it makes sense. Ulichoandika ni udhibitisho kuwa akili yako ni nzito mno hata ni ngumu kuelewa uko upande upi. umekubali, umepinga uko neutral au la...
post yako ni ya hovyo sanaKama haujaielewa endelea na comments nyingine boss, mine isn't the only one.
Andika ya kwako nzuri.post yako ni ya hovyo sana
futa utumbo wako kwanzaAndika ya kwako nzuri.
Muongo sabayaHabari za midaa hii wa JamiiForums.
Leo tarehe 13 agosti kumetrendi katika mitandao ya kijamii kile kinachoitwa no utetezi mahakamani wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya DC Sabaya.
Imeelezwa kuwa amekiri kilichokuwa kikifanyika ama alichokuwa anatekeleza ktk kesi yake ya unyanganyi kwa kutumia siraha aliagizwa na Dr. Mpango, Hayati Dr. Magufuli na Gavana wa Fedha bwana Luoga.
Naamini Ndugu Sabaya amefika hatua hii baada ya kuona hakuna namna ya kuchomoka katika kesi hii au akaona akitupia majina haya Makubwa makubwa itakua ni njia ya nitoke vipi.
Licha ya kile kinachoendelea huko Mahakamani iwe ni kweli si kweli, kutajwa kwa Makamu wa Rais, Dr. Mpango kunatia doa juu ya uhalali katika utendaji wake kama kweli anaweza kushiriki katika vitendo vya kihalifu na baafaya akaonekana anafaa kushika nafasi nyeti katika Nchi yetu.
Sisi tunaomuunga mkono na kumwamini kama Kiongozi Safi mwenye weledi na maadili na msomi wa kiwango cha juu tumesikitishwa na kadhia hii ya kutajwa kwenye mambo maovu.
Watanzania tunaompenda tunapenda kutoa wito ajitokeze ama Mahakamani au kwenye jukwa la wazi ajisafishe na tuhuma hizi nzito.
View attachment 1891471
walikuwa wanajua operation ipi? hiyo ya uporaji? hata mjinga hawezi kukubaliHabari za midaa hii wa JamiiForums.
Leo tarehe 13 agosti kumetrendi katika mitandao ya kijamii kile kinachoitwa no utetezi mahakamani wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya DC Sabaya.
Imeelezwa kuwa amekiri kilichokuwa kikifanyika ama alichokuwa anatekeleza ktk kesi yake ya unyanganyi kwa kutumia siraha aliagizwa na Dr. Mpango, Hayati Dr. Magufuli na Gavana wa Fedha bwana Luoga.
Naamini Ndugu Sabaya amefika hatua hii baada ya kuona hakuna namna ya kuchomoka katika kesi hii au akaona akitupia majina haya Makubwa makubwa itakua ni njia ya nitoke vipi.
Licha ya kile kinachoendelea huko Mahakamani iwe ni kweli si kweli, kutajwa kwa Makamu wa Rais, Dr. Mpango kunatia doa juu ya uhalali katika utendaji wake kama kweli anaweza kushiriki katika vitendo vya kihalifu na baafaya akaonekana anafaa kushika nafasi nyeti katika Nchi yetu.
Sisi tunaomuunga mkono na kumwamini kama Kiongozi Safi mwenye weledi na maadili na msomi wa kiwango cha juu tumesikitishwa na kadhia hii ya kutajwa kwenye mambo maovu.
Watanzania tunaompenda tunapenda kutoa wito ajitokeze ama Mahakamani au kwenye jukwa la wazi ajisafishe na tuhuma hizi nzito.
View attachment 1891471
Ndio watajibu kama wakijichanganyawalikuwa wanajua operation ipi? hiyo ya uporaji? hata mjinga hawezi kukubali
Akaona liwalo na liwe. Asiaibike peke yakeWamemwaga ugali nae anamwaga mboga...
Hapo hisia zangu zinanionyesha ameshapoteza kabisa kwa kuwataja hao aliowataja.yeye angetulia tuu,hao aliowataja wangekuja kusaidia akishafika jera kutumikia kifungo chakeNdio watajibu kama wakijichanganya
Yeah tena ukishafika jera inakuwa rahisi watu ku-intervene ukatokaHapo hisia zangu zinanionyesha ameshapoteza kabisa kwa kuwataja hao aliowataja.yeye angetulia tuu,hao aliowataja wangekuja kusaidia akishafika jera kutumikia kifungo chake