Dkt. Mpango ni kweli ulishiriki kumtuma Sabaya kufanya mambo machafu?

Hivi unafikiri makamu wa Rais ni meneja wa baa..Tafuta namba ya ofisi yake ,umwambie
Makamu wa Raisi ni mtumishi wetu tunamlipa Mishahara sisi maboss wake tunasema aniuziru kwa kushiriki au kuhusishwa kushiriki uhalifu,

historia inasema kaisari alimwacha mke wake kwa kusingiziwa uongo
 
inafikirisha sana. Tunamtaka ajisafishe mimi naamini Ole Sabaya anatafuta pa kutokea. Mambo yamemwia magumu sana.

..aende mahakamani akatoe ushahidi.

..ametajwa mahakamani, hivyo aende hukohuko akathibitishe au kukanusha.
 
Makamu wa Raisi ni mtumishi wetu tunamlipa Mishahara sisi maboss wake tunasema aniuziru kwa kushiriki au kuhusishwa kushiriki uhalifu,

historia inasema kaisari alimwacha mke wake kwa kusingiziwa uongo
Labda sio bongo
Kama hawajakwambia Huyo makamu Wa rais akikutana na waziri Wa fedha Wa kipindi cha mwendazake basi wataweza kutoana ngeu
Wanaamanisha ni watu wawili tofauti
 
Kifupi tu,utetezi wa Aliyekuwa DC Bwana Sabaya kumhusisha Mh.Makamu wa Rais bila woga wala kificho,moja kwa moja kumeshamuharibia sifa kiongozi huyu wa juu kabisa nchini.ILI KULINDA HESHIMA YAKE MBELE YA WATANZANIA NA ULIMWENGU NI BORA AKAJIUZULU.
Rais MSTAAFU Mzee Mwinyi ALIJIUZULU japo HAKUTAJWA ila Aliwajibika kwa Walioyatenda Wasaidizi Wake na Hakuchafuka Akawa Rais Wa Zanzibar na Tanzania
Namshauri Mpango kule KUTAJWA tu na Mtuhumiwa wa Kutesa Watu Angejiuzulu sio Busara kuwa Kiongozi ulitajwa kushiriki Kutesa Unaowaongoza

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
mbona unafundisha watu kufanya interpretation mamlaka ya uteuzi si JPM? Kazi ya Dc ni kufanya operation za kukamata watu? polisi wanafanya kazi gani?
Soma uelewe hoja yangu. Kwahiyo Prof. Luoga, Dr. Mpango na Kihongosi walimteua Sabaya?
 
Sang'udi umemuelewa vizuri mtuhumiwa.Inaonekana Sabaya alikuwa kwenye kikosi kazi maalum,ambacho kilikuwa kinapewa maagizo kutoka mamlaka ya uteuzi,lakini huyu mfanyabiashara Mohamed Saad yeye alikuwa na mitambo ya kufyatua Nini? au alikuwa anafanya biashara gani,ambayo mamlaka ya uteuzi ililazimika kutuma kikosi kazi kumfuatilia.Kwa kifupi ,pamoja na Sabaya kuwa alikuwa anapata maagizo kutoka juu,lakini alikosa weledi wakati wa kutekeleza majukumu yake
au alimtumia fursa hiyo kujinufaisha yeye binafsi ,kwa kupitia mgongo wa Mamlaka ya uteuzi.Hili ni funzo kwa Mamlaka za uteuzi kutumia mifumo iliyopo serikalini wakati wa kufanya shughuli zake,(tunalo jeshi la polisi,takukuru,na Usalama wa Taifa) ,ambao wamesomea na Wana weledi katika kutekeleza majukumu yao.
Sabaya amesema alipopokea maelekezo ya kwenda Arusha aliambiwa aungane na watu wengine wanne waliokuwa KIA. Hao watu hawajashitakiwa. Ni akina nani hao? Kwanini hawajashitakiwa? Kwani ni uongo kuwa watuhumiwa walipelekwa kituo cha polisi?
 
Habari za midaa hii wa JamiiForums.

Leo tarehe 13 agosti kumetrendi katika mitandao ya kijamii kile kinachoitwa no utetezi mahakamani wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya DC Sabaya.

Imeelezwa kuwa amekiri kilichokuwa kikifanyika ama alichokuwa anatekeleza ktk kesi yake ya unyanganyi kwa kutumia siraha aliagizwa na Dr. Mpango, Hayati Dr. Magufuli na Gavana wa Fedha bwana Luoga.

Naamini Ndugu Sabaya amefika hatua hii baada ya kuona hakuna namna ya kuchomoka katika kesi hii au akaona akitupia majina haya Makubwa makubwa itakua ni njia ya nitoke vipi.

Licha ya kile kinachoendelea huko Mahakamani iwe ni kweli si kweli, kutajwa kwa Makamu wa Rais, Dr. Mpango kunatia doa juu ya uhalali katika utendaji wake kama kweli anaweza kushiriki katika vitendo vya kihalifu na baafaya akaonekana anafaa kushika nafasi nyeti katika Nchi yetu.

Sisi tunaomuunga mkono na kumwamini kama Kiongozi Safi mwenye weledi na maadili na msomi wa kiwango cha juu tumesikitishwa na kadhia hii ya kutajwa kwenye mambo maovu.

Watanzania tunaompenda tunapenda kutoa wito ajitokeze ama Mahakamani au kwenye jukwa la wazi ajisafishe na tuhuma hizi nzito.

View attachment 1891471
Mpango hawezi kujibu KWA Sasa ,maana anapigiwa vingora, ila all in all Sayabaya kajibu kuboya Sana,

Kama sio kiboya, basi akaonyeshe maandishi wapi alitumwa, alafu alete Cheti Cha milembe Kama alitumwa akiwa kichaa , SABAYA MWANAHARAM
 
Habari za midaa hii wa JamiiForums.

Leo tarehe 13 agosti kumetrendi katika mitandao ya kijamii kile kinachoitwa no utetezi mahakamani wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya DC Sabaya.

Imeelezwa kuwa amekiri kilichokuwa kikifanyika ama alichokuwa anatekeleza ktk kesi yake ya unyanganyi kwa kutumia siraha aliagizwa na Dr. Mpango, Hayati Dr. Magufuli na Gavana wa Fedha bwana Luoga.

Naamini Ndugu Sabaya amefika hatua hii baada ya kuona hakuna namna ya kuchomoka katika kesi hii au akaona akitupia majina haya Makubwa makubwa itakua ni njia ya nitoke vipi.

Licha ya kile kinachoendelea huko Mahakamani iwe ni kweli si kweli, kutajwa kwa Makamu wa Rais, Dr. Mpango kunatia doa juu ya uhalali katika utendaji wake kama kweli anaweza kushiriki katika vitendo vya kihalifu na baafaya akaonekana anafaa kushika nafasi nyeti katika Nchi yetu.

Sisi tunaomuunga mkono na kumwamini kama Kiongozi Safi mwenye weledi na maadili na msomi wa kiwango cha juu tumesikitishwa na kadhia hii ya kutajwa kwenye mambo maovu.

Watanzania tunaompenda tunapenda kutoa wito ajitokeze ama Mahakamani au kwenye jukwa la wazi ajisafishe na tuhuma hizi nzito.

View attachment 1891471
WENDA alishiriki sipingi ila kwa ushahidi upi?
 
Habari za midaa hii wa JamiiForums.

Leo tarehe 13 agosti kumetrendi katika mitandao ya kijamii kile kinachoitwa no utetezi mahakamani wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya DC Sabaya.

Imeelezwa kuwa amekiri kilichokuwa kikifanyika ama alichokuwa anatekeleza ktk kesi yake ya unyanganyi kwa kutumia siraha aliagizwa na Dr. Mpango, Hayati Dr. Magufuli na Gavana wa Fedha bwana Luoga.

Naamini Ndugu Sabaya amefika hatua hii baada ya kuona hakuna namna ya kuchomoka katika kesi hii au akaona akitupia majina haya Makubwa makubwa itakua ni njia ya nitoke vipi.

Licha ya kile kinachoendelea huko Mahakamani iwe ni kweli si kweli, kutajwa kwa Makamu wa Rais, Dr. Mpango kunatia doa juu ya uhalali katika utendaji wake kama kweli anaweza kushiriki katika vitendo vya kihalifu na baafaya akaonekana anafaa kushika nafasi nyeti katika Nchi yetu.

Sisi tunaomuunga mkono na kumwamini kama Kiongozi Safi mwenye weledi na maadili na msomi wa kiwango cha juu tumesikitishwa na kadhia hii ya kutajwa kwenye mambo maovu.

Watanzania tunaompenda tunapenda kutoa wito ajitokeze ama Mahakamani au kwenye jukwa la wazi ajisafishe na tuhuma hizi nzito.

View attachment 1891471
Hiyo ni timu moja na walikuwa wanafanya kazi pamoja na Sabaya, kuna mkubwa wao hajatajwa hapo nafikiri ni kwa kuogopa tu...bi mkubwa.
 
Jambazi ameamua kuweka wazi kuwa huu ujambazi aliofanya Arusha alikua anashirikiana na Magufuli na Mpango full stop.
Ni kweli amesema aliagizwa na mamlaka iliyomteua, that means presidency. Presidency ni taasisi, ila ilikuwa chini ya Magufuli at the time. Kwahiyo tunaweza kukubaliana kuwa alitumwa na Magufuli kwa maana ya kuwa Magufuli ndiyo alikuwa President wakati huo.

Hakuna sehemu Sabaya amesema aliagizwa na Dr. Philip Mpango na au Prof. Luoga. Hawa ametoa mfano kuwa wanajua alikuwa anatumiwa kufanya kazi maalum nje ya eneo lake la kazi kwa mfano kwenye operesheni ya kukamata mitambo iliyokuwa inafyatua fedha bandia huko Dar es Salaam.

Hapa ndipo mnapopotosha.
 
Wana Lumumba wanasemaje,,, Legasi inaharibiwa hvo wao wanaangalia tu...

Mpango wa sanamu vip?
 
Afadhali yako ww unajua kusoma na kusikiliza neno kwa neno, siyo kama huyu mbumbumbu asiyeweza hata kuwa makini kusikiliza au kusoma, na anakurupuka kueneza umbumbumbu wake!
Umeshamuona Dr. Mpango ni kizuizi kwa agenda yenu nini ndio mmeanza kumsakama! Mnayo gundu maana position aliyonayo siyo ya kuchafuka kirahisi 😜!
Watanzania wagumu kweli kuelewa. Kuna upotoshaji mkubwa sana unaendelea. Sabaya amesema alienda Arusha kwa maagizo ya mamlaka iliyomteua.

Prof. Lunga (Gavana) na Dr. Mpango (aliyekuwa Waziri wa fedha) wametajwa kama watu wanaojua moja ya kazi maalum aliyowahi kuifanya huko Dar es Salaam baada ya kukamata machine ya kutengezea fedha bandia.

Na amesema hivyo ili kuonesha kuwa kuna kazi nyingi tu aliwahi kuzifanya nje ya eneo lake la kawaida la kazi. Hiyo ya kwenda Arusha haikuwa ya kwanza.

Pamoja na hayo, amekanusha kuiba fedha wala kutumia silaha. Kila alichokuwa anakifanya alipata ushirikiano wa vyombo vya dola. Hata aliyekuwa mkuu wa wilaya wa eneo husika alikuwa na taarifa juu ya uwepo wao.

Kwa maneno mengine alikuwa kwenye kazi maalum aliyotumwa na mamlaka ya uteuzi wake: siyo Dr. Mpango, Prof. Luoga au hao wengine aliowataja.
 
Afadhali yako ww unajua kusoma na kusikiliza neno kwa neno, siyo kama huyu mbumbumbu asiyeweza hata kuwa makini kusikiliza au kusoma, na anakurupuka kueneza umbumbumbu wake!
Umeshamuona Dr. Mpango ni kizuizi kwa agenda yenu nini ndio mmeanza kumsakama! Mnayo gundu maana position aliyonayo siyo ya kuchafuka kirahisi 😜!
Watanzania wagumu kweli kuelewa. Kuna upotoshaji mkubwa sana unaendelea. Sabaya amesema alienda Arusha kwa maagizo ya mamlaka iliyomteua.

Prof. Lunga (Gavana) na Dr. Mpango (aliyekuwa Waziri wa fedha) wametajwa kama watu wanaojua moja ya kazi maalum aliyowahi kuifanya huko Dar es Salaam baada ya kukamata machine ya kutengezea fedha bandia.

Na amesema hivyo ili kuonesha kuwa kuna kazi nyingi tu aliwahi kuzifanya nje ya eneo lake la kawaida la kazi. Hiyo ya kwenda Arusha haikuwa ya kwanza.

Pamoja na hayo, amekanusha kuiba fedha wala kutumia silaha. Kila alichokuwa anakifanya alipata ushirikiano wa vyombo vya dola. Hata aliyekuwa mkuu wa wilaya wa eneo husika alikuwa na taarifa juu ya uwepo wao.

Kwa maneno mengine alikuwa kwenye kazi maalum aliyotumwa na mamlaka ya uteuzi wake: siyo Dr. Mpango, Prof. Luoga au hao wengine aliowataja.
 
Mbona mnachanganya Habari, sabaya hamusema kutumwa kupora pesa Bali aliwakamata watuhumiwa na kuwakabidhi polisi.
Nyinyi mmekaa kupotosha tu,pia alipokwenda kukamata wale WA noti fake pia alitoa taarifa kwa mamlaka ha uteuzi saba u mama mkuu WA wilaya hawezi kutoka kituo chake cha kazi Vila idhini ha mkuu wake WA kazi.

Miami nawashangaa wale mnaotaka kulipiza kisasi Misa tu mbowe alipigwa chini ubunge.
 
Mpango ajiuzulu haraka sana , ukiona kiongozi anajifanya Mcha Mungu huku kazungukwa na matunguli muogope sana
Mlokole principally ni mwenye dhambi alie kubuhu, vilio vyao makanisani ni kujuta madhambi yao na kusikitika juu ya hukumu wakifa. Magufuli alikuwa m - RC, kuomba aombewe mara kwa mara nyuma ya maombi hayo kulikuwa na tanuru la moto.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom