Makamu wa Raisi ni mtumishi wetu tunamlipa Mishahara sisi maboss wake tunasema aniuziru kwa kushiriki au kuhusishwa kushiriki uhalifu,Hivi unafikiri makamu wa Rais ni meneja wa baa..Tafuta namba ya ofisi yake ,umwambie
historia inasema kaisari alimwacha mke wake kwa kusingiziwa uongo