Dkt. Mpango ni kweli ulishiriki kumtuma Sabaya kufanya mambo machafu?

Hakuna kikichopotoshwa hapa tunajadili kilichoripotiwa. Dr Mpango ni Makamu wa Rais wa Nchi. Hajadiliwi kama Mtu binafsi
Unaposema Dr mpango alikuwa anamtuma Sabaya unapotosha cos hakuna sehemu Sabaya kasema Dkt Mpango alimtuma sehemu zaidi kwakuwa shughuli aliyokuwa anaenda kuifanya ilikuwa inagusa wizara ya fedha ndiyo Dkt Mpango aliijua cos wote ao alikuwa ni mmoja.
 
Ni kweli amesema aliagizwa na mamlaka iliyomteua, that means presidency. Presidency ni taasisi, ila ilikuwa chini ya Magufuli at the time. Kwahiyo tunaweza kukubaliana kuwa alitumwa na Magufuli kwa maana ya kuwa Magufuli ndiyo alikuwa President wakati huo.

Hakuna sehemu Sabaya amesema aliagizwa na Dr. Philip Mpango na au Prof. Luoga. Hawa ametoa mfano kuwa wanajua alikuwa anatumiwa kufanya kazi maalum nje ya eneo lake la kazi kwa mfano kwenye operesheni ya kukamata mitambo iliyokuwa inafyatua fedha bandia huko Dar es Salaam.

Hapa ndipo mnapopotosha.
Sasa hivi ndio anatoa utetezi wake akiongozwa na Wakili wake.
Halafu atakujahojiwa pia na Wakili upande wa mashitaka, ambako ataweza kujikuta anatakiwa kutoa huo ufafanuzi, ushahidi na vielelezo kuhusiana na hayo maelezo ya utetezi wake.
Atakuwa na wakati wa kutosha KUJIMALIZA mwenyewe.
 
Unaposema Dr mpango alikuwa anamtuma Sabaya unapotosha cos hakuna sehemu Sabaya kasema Dkt Mpango alimtuma sehemu zaidi kwakuwa shughuli aliyokuwa anaenda kuifanya ilikuwa inagusa wizara ya fedha ndiyo Dkt Mpango aliijua cos wote ao alikuwa ni mmoja.
Kama Dr Mpango alijua huku Sabaya akifanya uhalifu ambao ndio umemfikisha mahabusu maana yake ni nini?
 
Akili yako bado haijaelewa nilichokiandika. Rudia kusoma.

ma.vi yako. unapoandika jifunze ku-proof read kisha jiulize mantiki ya ulichoandika na ujihoji ikiwa it makes sense. Ulichoandika ni udhibitisho kuwa akili yako ni nzito mno hata ni ngumu kuelewa uko upande upi. umekubali, umepinga uko neutral au la...
 
ma.vi yako. unapoandika jifunze ku-proof read kisha jiulize mantiki ya ulichoandika na ujihoji ikiwa it makes sense. Ulichoandika ni udhibitisho kuwa akili yako ni nzito mno hata ni ngumu kuelewa uko upande upi. umekubali, umepinga uko neutral au la...
Kama haujaielewa endelea na comments nyingine boss, mine isn't the only one.
 
Habari za midaa hii wa JamiiForums.

Leo tarehe 13 agosti kumetrendi katika mitandao ya kijamii kile kinachoitwa no utetezi mahakamani wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya DC Sabaya.

Imeelezwa kuwa amekiri kilichokuwa kikifanyika ama alichokuwa anatekeleza ktk kesi yake ya unyanganyi kwa kutumia siraha aliagizwa na Dr. Mpango, Hayati Dr. Magufuli na Gavana wa Fedha bwana Luoga.

Naamini Ndugu Sabaya amefika hatua hii baada ya kuona hakuna namna ya kuchomoka katika kesi hii au akaona akitupia majina haya Makubwa makubwa itakua ni njia ya nitoke vipi.

Licha ya kile kinachoendelea huko Mahakamani iwe ni kweli si kweli, kutajwa kwa Makamu wa Rais, Dr. Mpango kunatia doa juu ya uhalali katika utendaji wake kama kweli anaweza kushiriki katika vitendo vya kihalifu na baafaya akaonekana anafaa kushika nafasi nyeti katika Nchi yetu.

Sisi tunaomuunga mkono na kumwamini kama Kiongozi Safi mwenye weledi na maadili na msomi wa kiwango cha juu tumesikitishwa na kadhia hii ya kutajwa kwenye mambo maovu.

Watanzania tunaompenda tunapenda kutoa wito ajitokeze ama Mahakamani au kwenye jukwa la wazi ajisafishe na tuhuma hizi nzito.

View attachment 1891471
Muongo sabaya

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Habari za midaa hii wa JamiiForums.

Leo tarehe 13 agosti kumetrendi katika mitandao ya kijamii kile kinachoitwa no utetezi mahakamani wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya DC Sabaya.

Imeelezwa kuwa amekiri kilichokuwa kikifanyika ama alichokuwa anatekeleza ktk kesi yake ya unyanganyi kwa kutumia siraha aliagizwa na Dr. Mpango, Hayati Dr. Magufuli na Gavana wa Fedha bwana Luoga.

Naamini Ndugu Sabaya amefika hatua hii baada ya kuona hakuna namna ya kuchomoka katika kesi hii au akaona akitupia majina haya Makubwa makubwa itakua ni njia ya nitoke vipi.

Licha ya kile kinachoendelea huko Mahakamani iwe ni kweli si kweli, kutajwa kwa Makamu wa Rais, Dr. Mpango kunatia doa juu ya uhalali katika utendaji wake kama kweli anaweza kushiriki katika vitendo vya kihalifu na baafaya akaonekana anafaa kushika nafasi nyeti katika Nchi yetu.

Sisi tunaomuunga mkono na kumwamini kama Kiongozi Safi mwenye weledi na maadili na msomi wa kiwango cha juu tumesikitishwa na kadhia hii ya kutajwa kwenye mambo maovu.

Watanzania tunaompenda tunapenda kutoa wito ajitokeze ama Mahakamani au kwenye jukwa la wazi ajisafishe na tuhuma hizi nzito.

View attachment 1891471
walikuwa wanajua operation ipi? hiyo ya uporaji? hata mjinga hawezi kukubali
 
Hapo hisia zangu zinanionyesha ameshapoteza kabisa kwa kuwataja hao aliowataja.yeye angetulia tuu,hao aliowataja wangekuja kusaidia akishafika jera kutumikia kifungo chake
Yeah tena ukishafika jera inakuwa rahisi watu ku-intervene ukatoka
 

Similar Discussions

13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom