Kuwa komboa wewe na familia yakoMagufuli ametumwa na Mungu kuja kutukomboa kama Musa alivyotumwa kwa wana wa Israel
Yaaani Mungu anatuonesha waziwazi na mchana kweupe kuwa huyu mtu hafai! Huwezi kuwa na Raisi asiyeheshimu sheria ndogo tu za uchaguzi sasa kwenye mambo makubwa tusiyoyajua huwa anafanyaje???Magufuli haheshimu sheria
NEC CCM hapo ipo likizo
Sasa mbona hanunui chakula kwa kaya masikini ambazo hazina uhakika wa kula?Umesema sahihi kabisa siongezi neno.
Nchi haijawahi kusimama, hata corona ilipokuja serikali ya Tanzania iliendelea kupiga kazi. Hii ndiyo sifa pekee ya JPM yeye ni kazi tu. 5 mingine kwake
Kumwondoa ndiyo inatakiwaYaaani Mungu anatuonesha waziwazi na mchana kweupe kuwa huyu mtu hafai! Huwezi kuwa na Raisi asiyeheshimu sheria ndogo tu za uchaguzi sasa kwenye mambo makubwa tusiyoyajua huwa anafanyaje???
Tuna sababu zaidi ya 1000 za kumpiga chini magufuli mwaka huu!!
Yah right. Kutoka Misri mpaka Israel ni kilometer kadhaa .... ni nchi jirani. Lakini jamaa alichukua miaka 40 kupatafuta akiwazungusha watu jangwani!! Miaka 60 ya CCM tayari inatosha.Magufuli ametumwa na Mungu kuja kutukomboa kama Musa alivyotumwa kwa wana wa Israel
Ben Saanane , Azory Gwanda ,Akwilina , Kanguye ,Luena wako wapi ? Wewe Bibi kipenyo .Una ushahidi?
Rungwe naye agawe ubwabwaHalafu Tume watasema ni Takrima ya Barabara?
Kwa hiyo Magufuli ni waziri? Au akili yako imesizi?
Safi bajeti ya mwaka huu hiyo inatekelezwa
Na kweli watu tuna njaaRungwe naye agawe ubwabwa
Kwa hiyo unataka kazi za uraisi zisimame hadi uchaguzi upite? Katiba inamruhusu kuendelea na majukumu yake ya kiraisi hadi mpya atakapoapishwaAlikuwa wapi kutoa maagizo kabla ya kampeni???
Daaah CCM kwisha Habari yenu 😂😂😂