Dini inaleta matabaka kwenye mahusiano

Dini inaleta matabaka kwenye mahusiano

Hebu screen shot hiyo sheria tuzishuhudie isee ili next time niamini kuwa MTU ambaye natofautiana naye DINI nimuone kama Haramu!!

3. Mzinifu haolewi ila na mwanamume mzinifu au mshirikina. Na hayo ya. Mwanamume mzinifu hamwoi ila mwanamke mzinifu au mwanamke mshirikina. Na mwanamke meharimishwa kwa Waumini. (an Nuur : 3)
 
Ahaa kumbe, unaweza kumuoa mtu akabaki na dini yake au lazima ahamie?

Ndio lakini kwa masharti. Katika Uislamu kuna watu wanaitwa "Ahlul Kitaab" (Yaani waliopewa kitabu ambao ni Wayahudi na Manaswara). Hapa kuna masharti,masharti ambayo ni magumu kweli kweli,masharti ambayo au sifa ambazo huwezi kuzikuta kwa wanawake hao.

Nakuja kukutajia masharti/sifa hizo .....
 
Ndio lakini kwa masharti. Katika Uislamu kuna watu wanaitwa "Ahlul Kitaab" (Yaani waliopewa kitabu ambao ni Wayahudi na Manaswara). Hapa kuna masharti,masharti ambayo ni magumu kweli kweli,masharti ambayo au sifa ambazo huwezi kuzikuta kwa wanawake hao.

Nakuja kukutajia masharti/sifa hizo .....
You don't have to. Nimridhika na jibu lako
 
Unaweza kuniambia mwanadamu alijengaje dini ? Yaani historia ya dini kwa munasaba wa muanzilishi binadamu ilianza lini ?

Unaweza kulithibitisha hili ?

Kama ni kweli hili mbona rahisi tu,una muua mjengaji.

Dini kajenga mwanadamu!

And you know this well!

Kama unajifanya hujui wewe ni mnafiki kupita kiasi!

Religion is human own invention!
 
Waafrika ni jamii pekee duniani walioacha dini zao za asili na kukumbatia zile zilizoletwa na wakoloni. Wahindi walitawaliwa na waingereza lakini wakabaki na imani
Wachina walitawaliwa na wajapan lakini wakabaki na dini yao.

Waafrika tunakwama wapi kudumisha imani zetu za asili ?
 
Dini kajenga
Swali rahisi sana nimekuuliza na huwa najua kabisa hamna majibu ya swali hili,zaidi ya kusema tu na mkiombwa ithibati ndio inakuwa kama ulivyo andika.
And you know this well!
Hili jambo kwangu ni jipya na silijui na ndio maana nyote mnao sema hivi,pindi ninapo taka mnipe ushahidi huwa mnatokomea na ujinga wenu.
Kama unajifanya hujui wewe ni mnafiki kupita kiasi!
Hata nikupe miaka miaka na mikaka uthibitishe ya kuwa mimi mnafiki hutaweza kwani tamko "Mnafiki" lina vidhibiti vyake huko liliko toka.

Huujui unafiki ni nini wala mnafiki ni nani,unasema tu kama unavyosema "Dini imejengwa na binadamu" bila kuthibitisho,haya ni matumizi mabaya ya akili na unaihujumu elimu na watu wake.
Religion is human own invention!
Ndio ututhibitishie sasa,mbona rahisi sana kama wewe ni msema mkweli.

Nasubiri uthibitisho wa kuwa Mjenzi wa dini ni binadamu mwenyewe.

Nipo ......
 
Wewe ndio mavi. Yaani watu wote duniani tunaoamini katika dini unapata wapi upavu wa kutuambia tunaamini mavi, kama wewe siyo mavi? Au usikute najibishana na kichaa!!!

Scientifically duniani asimilia 85% ni wapumbavu!

Then 10% wanajua ukweli ila hawesemi,wanautumia kunyonya wale 85%!

Then finally inakuja 5% ambao tunajua ukweli then tunajitahidi kuwaelimisha wale 85% ambao ninakina nyie kua ile 10% inawayeyusha ila kwavile nyie ni mapumbavu sana,hua hamsikii na mnaendelea kufuata upumbavu wenu!

Kusema dini ni mavi naona nimekufanyia heshima sana!

Cha maana nakutukania huyo Mungu wenu kabisa ambae ndie boss wenu,yeye ni mpumbavu na jinga kabisa,kamwambie anifate kama anaweza!
 
Swali rahisi sana nimekuuliza na huwa najua kabisa hamna majibu ya swali hili,zaidi ya kusema tu na mkiombwa ithibati ndio inakuwa kama ulivyo andika.

Hili jambo kwangu ni jipya na silijui na ndio maana nyote mnao sema hivi,pindi ninapo taka mnipe ushahidi huwa mnatokomea na ujinga wenu.

Hata nikupe miaka miaka na mikaka uthibitishe ya kuwa mimi mnafiki hutaweza kwani tamko "Mnafiki" lina vidhibiti vyake huko liliko toka.

Huujui unafiki ni nini wala mnafiki ni nani,unasema tu kama unavyosema "Dini imejengwa na binadamu" bila kuthibitisho,haya ni matumizi mabaya ya akili na unaihujumu elimu na watu wake.

Ndio ututhibitishie sasa,mbona rahisi sana kama wewe ni msema mkweli.

Nasubiri uthibitisho wa kuwa Mjenzi wa dini ni binadamu mwenyewe.

Nipo ......

Mfano mfupi kabisa:

Uislamu kaujenga Mohamed SAW!

Ni mwanadamu kama mimi na wewe na alikua pumbavu na child molester maana alioa mtoto wa miaka 9!

Huo ni mfano mmoja!

Kuna dini zingine kama Budhism,Shiksm,Jainis,Ukristo,etc

Zote zina founders na ni vizuri uka-Google tu!

Tatizo you are so blind and I cant help you!
 
Back
Top Bottom