Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,103
- 124,655
Abeee..[emoji15][emoji15][emoji2817][emoji2817][emoji24][emoji24][emoji24]
Abeee..[emoji15][emoji15][emoji2817][emoji2817][emoji24][emoji24][emoji24]
Mafaili ya nyimbo moyoni 😆 kweliMafaili ya nyimbo tulikuwa tunapanga kutoa album
Sasa kumbe yanakaa wapi babeMafaili ya nyimbo moyoni [emoji38] kweli
Mi ni mrengo wa kushoto ndio 😂😂😂 ila never mind, nishapata ukumbi kwa ajili ya harusi yetu bebiKwani mpenzi wewe wa upande ule mwingine?
Kichwani,,,nshakwambia achana na wachimba chumvi hao. Shaur lako!Sasa kumbe yanakaa wapi babe
Dini haileti matabaka, sisi watu ndio tunaleta matabaka. Kwani si kila mtu achukue anaempenda kutoka upande wa dini yake! Sasa ya nini uchukue kutoka upande mwingine!?
Khaa[emoji15][emoji15][emoji15]Mafaili ya nyimbo tulikuwa tunapanga kutoa album
Umenishinda tabia, nakugawa bure!!Abeee..
Hata pombe pia hazichaguiMapenzi hayachagui
Hao wachimba chumvi mbona mimi sina biashara nao ni wewe tu una mashakaKichwani,,,nshakwambia achana na wachimba chumvi hao. Shaur lako!
Jamani tenaUmenishinda tabia, nakugawa bure!!
[emoji4][emoji4]Khaa[emoji15][emoji15][emoji15]
Unawezaje kuwa na Mungu bila ya Dini ?
Hapa naona umekuwa Muongo tena unajidanganya mwenyewe,labda nikupe udhuru ya kuwa hujui lolote ndio maana unasema haya.
Swali ni je unajuaje neno lake bila dini ?Mungu anajipambanua kwa Neno lake.Kama unadhani Neno lake linahitaji nyongeza basi unajidanganya sana.
Huyo muasisi hizo mbinu huwa anazitoa wapi ? Ndio utueleze kwamba muasisi mbinu anazitoa wapi ?In fact Kila Dini ina muasisi wake ambaye ameweka mbinu endelevu za kupata waumini wa kudumu.
Sipo hapa kwa lengo hili,lengo nataka ujue wewe uliposimamia kumegubikwa na ujinga na upotoshaji wa hali ya juu.Kuna tofauti kubwa sana hapo ndugu.Hayo matango pori, jilishe mwenyewe.
mzee wa upako ametengeneza jina kwa B3 eti heheheh yajayo yanafurahisha.Mungu anajipambanua kwa Neno lake.Kama unadhani Neno lake linahitaji nyongeza basi unajidanganya sana.In fact Kila Dini ina muasisi wake ambaye ameweka mbinu endelevu za kupata waumini wa kudumu.Na wengi wanajaa kingi wakijidanganya kwamba wanajikabidhi mikononi mwa Mungu kumbe wanajikabidhi mikononi mwa waasisi wa dini husika na kutimiza ndoto zao.Kuna tofauti kubwa sana hapo ndugu.Hayo matango pori, jilishe mwenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwendo wa Rakaa 5 deile..[emoji16]
kama upo Bongo unajipa msongo bure tu, DC wako yupo kwa ajili ya kuwasaidia makharusi watarajiwa kama nyieTanzania kuna Dini kuu mbili yaani kuna dini ya kikristo na uislamu...
Linapokuja kwenye maswala ya mahusiano huwa kuna matabaka au changamoto pale watu wawili wenye dini tofauti na wanapendana...
Watu wanaweza kuwa katika mahusiano ya kimapenzi lakini linapokuja kwenye swala la ndoa huwa ni changamoto kwani kuna upande unaweza ukapinga kabisa hilo swala.
Natamani Dini zote zingekuwa zinashirikiana katika kila jambo hasa kwenye mahusiano kusingekuwa na kipingamizi na ingewezekana iwekwe utaratibu ambao endapo watu wenye Dini tofauti wakiwa wanapendana na wanahitaji kuishi pamoja basi zifuatwe.
Leo hii unakuta mkristo anampenda mtu wakislamu au muislamu anampemda mkristu lakini unakuta MTU wakati mwingine anashindwa akiAnza kufikiria vikwazo vya hapo mbeleni!!
Natamani Kweli kusiwe na matabaka ambayo tunakutana nayo....I hope kuna watu walishakutana na hivi vikwazo na wanaendelea kuumia!!!
Yaani leo mimi nishakuwa mchimba chumvi? [emoji44][emoji44][emoji24][emoji24][emoji24]Hao wachimba chumvi mbona mimi sina biashara nao ni wewe tu una mashaka
AL:MAIDAH:5. Leo mmehalalishiwa kila vilivyo izuri na chakula cha wale waliopewa kitabu ni halali kweny na chakula chenu ni halali kwao na mmehalalishiwa kuwaoa wanawake wema wa kiislam na wanawake kwema katika wale waliopewa kitabu kabla yenu ni halali kwenu kuwaoa mtakapo wapa mahari yao mkafunga ndoa bila kufanya uzinzi........,Kwann iwe uasi mkuu wakati watu wanapendana?? Au kuna sheria kwamba watu wa Dini tofauti hawatakiwi kuwa na mahusiano??
Sio wewe bwanaYaani leo mimi nishakuwa mchimba chumvi? [emoji44][emoji44][emoji24][emoji24][emoji24]