Dini inaleta matabaka kwenye mahusiano

Dini inaleta matabaka kwenye mahusiano

Nakupenda hadi naumwa! Ila sio kwa kukuoa maana kwa utashi tulionao kila mmoja wetu atataka afuate upande wake kwa kuona ndio yuko sahihi zaidi, balaa litaanzia pale tutakapopata watoto, kila mmoja atapenda watoto wafuate upande wake, hii haiwi?! dhahiri bali kwa siri. Balaa zaidi ni pale tutakapoachana kila mmoja atang'ang'ania watoto ni wake na kutaka wafate upande wake kwa kuona ndio yuko sahihi, bado kwenye maswala ya mirathi na mambo mengine. Kwanini tu nisimpende mtu wa upande wangu, kiasi kwamba hata kama tukiachana watoto bado wako upande wetu, mirathi pia itafanyika kwa mujibu wa upande wetu pamoja na mambo mengine yote yatafanywa kwa mujibu wa imani yetu??
Jamani [emoji134][emoji134]
 
Aah wapi wakati umeshasema hapa inaonekana utauza simenti kabla hata ya kuanza msingi
[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]nakupenda sana, ila namuogopa yule jamaa wa kuwahi wahi kama cha mwanzo![emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]nakupenda sana, ila namuogopa yule jamaa wa kuwahi wahi kama cha mwanzo![emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Yupi huyo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dini haileti matabaka, sisi watu ndio tunaleta matabaka. Kwani si kila mtu achukue anaempenda kutoka upande wa dini yake! Sasa ya nini uchukue kutoka upande mwingine!?
mkuu hapo haujasolve tatizo kupenda hakunaga formula
 
Back
Top Bottom