Dini inaleta matabaka kwenye mahusiano

Dini inaleta matabaka kwenye mahusiano

Sio wewe bwana
f058fcc58375c5a9ad10137b6312ccf0.jpeg

Vile nasubiri kumjua mchimba chumvi!
 
Kweli nimeamini kwenye maswala ya Dini watu wakianza kujadili hakuna atakayekubali mawazo ya mwingine na hii nikutokana na kuwa na mafundisho tofauti kutoka kwenye Dini moja kwenda nyingine kila mmoja atatetea upande wake kwakuwa ndo alivyofundishwa lakini siku zote naamini kuwa hizi Dini tumezikuta hapa Duniani na bado najiuliza hivi yule aliyeigiza mkanda wa YESU Kristo ni kweli YESU alikuwa na umbo kama Lile na Je kwann alikuwa mzungu badala ya mwaafrika na hata ukiangalia asilimia kubwa ya waliogiza ni wazungu!!
Bado kuna mambo yamejificha lakini kwasababu tuliaminishwa hivyo basi na vizazi vyetu tutaviaminisha hivyo hivyo kutoka uzao mmoja kwenda mwingine!!
 
Kweli nimeamini kwenye maswala ya Dini watu wakianza kujadili hakuna atakayekubali mawazo ya mwingine na hii nikutokana na kuwa na mafundisho tofauti kutoka kwenye Dini moja kwenda nyingine kila mmoja atatetea upande wake kwakuwa ndo alivyofundishwa lakini siku zote naamini kuwa hizi Dini tumezikuta hapa Duniani na bado najiuliza hivi yule aliyeigiza mkanda wa YESU Kristo ni kweli YESU alikuwa na umbo kama Lile na Je kwann alikuwa mzungu badala ya mwaafrika na hata ukiangalia asilimia kubwa ya waliogiza ni wazungu!!
Bado kuna mambo yamejificha lakini kwasababu tuliaminishwa hivyo basi na vizazi vyetu tutaviaminisha hivyo hivyo kutoka uzao mmoja kwenda mwingine!!
Hivi watu kama ninyi kwa nini huwa mnajitesa hata kwenda kanisani/msikitini? Si muwe mnalala tu
 
Swali ni je unajuaje neno lake bila dini ?

Huyo muasisi hizo mbinu huwa anazitoa wapi ? Ndio utueleze kwamba muasisi mbinu anazitoa wapi ?

Sipo hapa kwa lengo hili,lengo nataka ujue wewe uliposimamia kumegubikwa na ujinga na upotoshaji wa hali ya juu.

Inakuwaje hicho unachokiamini unashindwa kukitetea ? Hii ina maanisha umekariri ujinga.
Jipe muda uchunguze,utabaini tu mambo yapo wazi wazi.Majibu utayapata field
 
Hivi watu kama ninyi kwa nini huwa mnajitesa hata kwenda kanisani/msikitini? Si muwe mnalala tu
Hujakosea isee,, Nina mwaka wa 7 now sijui kanisa likoje maana wachungaji/waumini wote wamejaa na unafiki tu...Leo hii makanisani/ msikitini watu wanagombania vyeo tena wengine wanatoa hadi rushwa ili mwisho wa siku wasaidiane kutafuna sadaka za wananchi ni bora pesa yangu niwape maskini ambao napishana nao njiani wanaohitaji msaada wangu kuliko pesa yangu ikatafunwe na hao watu...

Halafu siku hizi watu wanaenda kwenye seehhemu za ibada kama fashion tu MTU anaenda ili aonekane na yy anaenda...
 
Hujakosea isee,, Nina mwaka wa 7 now sijui kanisa likoje maana wachungaji/waumini wote wamejaa na unafiki tu...Leo hii makanisani/ msikitini watu wanagombania vyeo tena wengine wanatoa hadi rushwa ili mwisho wa siku wasaidiane kutafuna sadaka za wananchi ni bora pesa yangu niwape maskini ambao napishana nao njiani wanaohitaji msaada wangu kuliko pesa yangu ikatafunwe na hao watu...

Halafu siku hizi watu wanaenda kwenye seehhemu za ibada kama fashion tu MTU anaenda ili aonekane na yy anaenda...
Kama ukristo kwako hauna maana si uende ujoin huko aliko mpenzi wako then ili umuoe? Kwa nini ukose kitu upendacho kwa jambo ambalo si la msingi kwako?
 
Hahahaha!! Tatizo sio mm Ila unakuta masharti mengine ya kuhamia dini Fulani ni magumu halafu ukute familia yako haikotayari na jambo hilo
Kama ukristo kwako hauna maana si uende ujoin huko aliko mpenzi wako then ili umuoe? Kwa nini ukose kitu upendacho kwa jambo ambalo si la msingi kwako?
 
Mkuu sio kila mwanamke utakayemfuata basi ujue atakuwa yupo tayar kuolewa na ww! We mwenyewe unaelewa madada zetu wa siku hizi unaweza ukakuta anasura ya kawaida, Ila kwakuwa anatako basi hapo maringo yake kinyonga haingii ndani!!
Wanawake wamejazana kila kona wanahitaji kuolewa,kwa nini uteseke na mtu ambaye hayuko tayari?
 
Mkuu sio kila mwanamke utakayemfuata basi ujue atakuwa yupo tayar kuolewa na ww! We mwenyewe unaelewa madada zetu wa siku hizi unaweza ukakuta anasura ya kawaida, Ila kwakuwa anatako basi hapo maringo yake kinyonga haingii ndani!!
ha ha ha mkuu oa mwenye tabia njema na ambaye anayekusikiliza;hawa wengine huwa ni kuwakutafuna tu na kuondoka
 
Jipe muda uchunguze,utabaini tu mambo yapo wazi wazi.Majibu utayapata field

Sasa kaka kama mambo yako wazi vipi ushindwe hata kuyajengea hoja ?

Haya unayo yadai si umeyafanyia uchunguzi kaka ? Sasa ndio utupe matokeo ya uchunguzi wako au hujafanya uchunguzi ? Kama hujafanya huu ujasiri wa kudai umeupata wapi ?

Kwangu mimi bila shaka kabisa ni kinyume na wewe. Ila muwe mnasoma msiwe mnaokoteza okoteza ujinga kisha mnakuja kupotezea watu muda,tukajua kwamba mna hoja na majibu ya maswali yetu kumbe ukweli ni kinyume.
 
Kwani Dini ni nini hasa? Dini ni mawazo tu ya mwanaadamu ya jinsi au namna ya kumuamudu Mungu.

Ukweli ni kwamba wote tunamuabudu Mungu uyo uyo mmoja ila kwa namna tofauti.

Mtu yeyote akiwa na hofu ya Mungu inatosha kuishi nae ni mtu mwema bila kujali ni dini gani.

Kama Mchumba wako ni mkatoliki na ana hofu ya Mungu ilihali ww ni muislamu tatizo lipo wapi? Fungeni ndoa ya kiserikali Muishi pamoja kila mtu abaki na imani yake.

Unaweza kuwa na mtu wa dini moja na ww lakini msielewane, anaweza kuwa zaidi ya shetani.

Muhimu ni upendo wa kweli kwanza mengine yafate.
 
Back
Top Bottom