Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,399
- 191,510
Ungepiga mimba tu.Mimi nilikutana nayo, kwa kweli inaumiza yule msichana mwenye asili ya kiarabu amekataa kuolewa mpaka hii leo. Tujitafakari !!
Ungepiga mimba tu.Mimi nilikutana nayo, kwa kweli inaumiza yule msichana mwenye asili ya kiarabu amekataa kuolewa mpaka hii leo. Tujitafakari !!
Hahahah mzee baba bana😆😆😆 but you do have a point. Maana imeswihi kisheria. Hamna haja ya kupoteza muda.Ukishaishi na mwanamke zaidi ya miezi 6 kisheria ni mke wako. Weka imani pembeni zaeni watoto wakiwa watu wazima watachagua imani yao.
Assalam Aleykum bebi 😍😍😍 nakuona tu unavyotiririka.[emoji3][emoji3] yule mbona mdogo wangu
Kumbe umebeba mafaili ya mtu mwengine mama! Nice to know..Sawa ngoja nianze kudelete mafaili yako moyoni mwangu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Dini ni kichaka kinachotumika kuharibu future za mahusiano ya wengi
Mi ndo maana Dini nimewaachia wenye Dini zao mi nibaki na Mungu tu.Tanzania kuna Dini kuu mbili yaani kuna dini ya kikristo na uislamu...
Linapokuja kwenye maswala ya mahusiano huwa kuna matabaka au changamoto pale watu wawili wenye dini tofauti na wanapendana...
Watu wanaweza kuwa katika mahusiano ya kimapenzi lakini linapokuja kwenye swala la ndoa huwa ni changamoto kwani kuna upande unaweza ukapinga kabisa hilo swala.
Natamani Dini zote zingekuwa zinashirikiana katika kila jambo hasa kwenye mahusiano kusingekuwa na kipingamizi na ingewezekana iwekwe utaratibu ambao endapo watu wenye Dini tofauti wakiwa wanapendana na wanahitaji kuishi pamoja basi zifuatwe.
Leo hii unakuta mkristo anampenda mtu wakislamu au muislamu anampemda mkristu lakini unakuta MTU wakati mwingine anashindwa akiAnza kufikiria vikwazo vya hapo mbeleni!!
Natamani Kweli kusiwe na matabaka ambayo tunakutana nayo....I hope kuna watu walishakutana na hivi vikwazo na wanaendelea kuumia!!!
Hakina ulazimaUzinifu wakati ni ndoa halali kabisa. Mie sijawahi kuwaza kama dini itakuwa kikwazo kwangu kuoa.
Ukioa kanisani hupewi cheti cha serikali kwani?
Tatizo tukiwaomba mthibitishe hili huwa mmashindwa,sasa vipi mnaegemea kwenye madai tu na si Elimu ?Aliyeanzisha dini sijui aliwaza Nini?
Mungu hana dini. Ni mawazo ya wanadamu tuView attachment 1185620
Unawezaje kuwa na Mungu bila ya Dini ?Mi ndo maana Dini nimewaachia wenye Dini zao mi nibaki na Mungu tu.
Mbona matabaka yapo tu hata kama wanandoa hawana dini? Mmoja akiwa anatumia kilevi na mwingine hapana, tayari ni tatizo. Au kama mmoja anataka aheshimiwe zaidi ya mwingine ni tatizo pia, achilia mbali nani anaweza kuchelewa kufika nyumbani na nani akichelewa anapata kichapo au nani ana kazi (kipato) na nani hana. Hivyo, hata kama kusingekuwa na hizo dini mbili, bado binadamu tulivyo tungekuwa na matabaka tu.Tanzania kuna Dini kuu mbili yaani kuna dini ya kikristo na uislamu...
Linapokuja kwenye maswala ya mahusiano huwa kuna matabaka au changamoto pale watu wawili wenye dini tofauti na wanapendana...
Watu wanaweza kuwa katika mahusiano ya kimapenzi lakini linapokuja kwenye swala la ndoa huwa ni changamoto kwani kuna upande unaweza ukapinga kabisa hilo swala.
Natamani Dini zote zingekuwa zinashirikiana katika kila jambo hasa kwenye mahusiano kusingekuwa na kipingamizi na ingewezekana iwekwe utaratibu ambao endapo watu wenye Dini tofauti wakiwa wanapendana na wanahitaji kuishi pamoja basi zifuatwe.
Leo hii unakuta mkristo anampenda mtu wakislamu au muislamu anampemda mkristu lakini unakuta MTU wakati mwingine anashindwa akiAnza kufikiria vikwazo vya hapo mbeleni!!
Natamani Kweli kusiwe na matabaka ambayo tunakutana nayo....I hope kuna watu walishakutana na hivi vikwazo na wanaendelea kuumia!!!
Kwani mpenzi wewe wa upande ule mwingine?hii itatufaa sana kichuna wangu [emoji7][emoji7][emoji7]
Sisi wa upande huu huwa hatupo committed kwenye imani yetu, huu ni ukweli mchunguSasa kama ni hivyo kwanini wengi kati ya walalamikaji ni kutoka upande wenu? Ambao wanalalamikia kuhusu wadada wa kutoka upande wetu?! Hivi wanawapenda kweli au wanaendeshwa na tamaa tu kwa kuona dada zetu wametulia na wao akili zao za uovu Inawatuma kuwahatibia future zao???
[emoji15][emoji15][emoji2817][emoji2817][emoji24][emoji24][emoji24]Kwani mpenzi wewe wa upande ule mwingine?
[emoji12][emoji12]Assalam Aleykum bebi [emoji7][emoji7][emoji7] nakuona tu unavyotiririka.
Ungeniuliza kwanza mafaili ya nini babaKumbe umebeba mafaili ya mtu mwengine mama! Nice to know..
Umeona eeeeh Balaa tupu..... Yaani kwetu daaah [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Huhuhu we utakuwa na wazazi wenye itikadi kali na hasa kama wote ni dini moja mambo huwa magumu zaidi.
Mwendo wa Rakaa 5 deile..😁Umeona eeeeh Balaa tupu..... Yaani kwetu daaah [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
😂😂😂😂😂 haya mama nipange sasa!Ungeniuliza kwanza mafaili ya nini baba
Mafaili ya nyimbo tulikuwa tunapanga kutoa album[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya mama nipange sasa!