Dini inaleta matabaka kwenye mahusiano

Dini inaleta matabaka kwenye mahusiano

Mapenzi ni upofu bwana kwani hujui?
Najua ndio maana hata mimi nakupenda wewe![emoji39][emoji39][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Unaona haya sasa?

Dini hizo hizo ndio zilizojengwa na mwanadamu huyohuyo halafu unasema dini hazina tatizo?

Dini inawekwa sehem ambapo haina kosa wakati mwanadamu mwenye mapungufu na makosa kibao ndio kaijenga yeye!

Hivi unatengaje kitu kilichojengwa na mjengaji?
Dah! Chief sijaelewa hata kidogo ulichojaribu kunielewesha!
 
Najua ndio maana hata mimi nakupenda wewe![emoji39][emoji39][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Sasa si unaona? [emoji12]
 
Ukishaishi na mwanamke zaidi ya miezi 6 kisheria ni mke wako. Weka imani pembeni zaeni watoto wakiwa watu wazima watachagua imani yao.
Weka hicho kifungu cha sheria kilichoweka wazi hayo, kuwa ukikaaa na mwanamke zaidi ya miezi 6 ni mke wako! Mnajibebesha dhima tupu!
 
Tanzania kuna Dini kuu mbili yaani kuna dini ya kikristo na uislamu...
Linapokuja kwenye maswala ya mahusiano huwa kuna matabaka au changamoto pale watu wawili wenye dini tofauti na wanapendana...
Watu wanaweza kuwa katika mahusiano ya kimapenzi lakini linapokuja kwenye swala la ndoa huwa ni changamoto kwani kuna upande unaweza ukapinga kabisa hilo swala.
Natamani Dini zote zingekuwa zinashirikiana katika kila jambo hasa kwenye mahusiano kusingekuwa na kipingamizi na ingewezekana iwekwe utaratibu ambao endapo watu wenye Dini tofauti wakiwa wanapendana na wanahitaji kuishi pamoja basi zifuatwe.
Leo hii unakuta mkristo anampenda mtu wakislamu au muislamu anampemda mkristu lakini unakuta MTU wakati mwingine anashindwa akiAnza kufikiria vikwazo vya hapo mbeleni!!

Natamani Kweli kusiwe na matabaka ambayo tunakutana nayo....I hope kuna watu walishakutana na hivi vikwazo na wanaendelea kuumia!!!
Mimi nilikutana nayo, kwa kweli inaumiza yule msichana mwenye asili ya kiarabu amekataa kuolewa mpaka hii leo. Tujitafakari !!
 
Hiki kikwazo ni Kikubwa mnooo na kimeshanikuta..... Watu mnapendana inatokea changamoto ya dini mnaachana
 
Sasa si unaona? [emoji12]
Nakupenda hadi naumwa! Ila sio kwa kukuoa maana kwa utashi tulionao kila mmoja wetu atataka afuate upande wake kwa kuona ndio yuko sahihi zaidi, balaa litaanzia pale tutakapopata watoto, kila mmoja atapenda watoto wafuate upande wake, hii haiwi?! dhahiri bali kwa siri. Balaa zaidi ni pale tutakapoachana kila mmoja atang'ang'ania watoto ni wake na kutaka wafate upande wake kwa kuona ndio yuko sahihi, bado kwenye maswala ya mirathi na mambo mengine. Kwanini tu nisimpende mtu wa upande wangu, kiasi kwamba hata kama tukiachana watoto bado wako upande wetu, mirathi pia itafanyika kwa mujibu wa upande wetu pamoja na mambo mengine yote yatafanywa kwa mujibu wa imani yetu??
 
Back
Top Bottom