Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,219
Write your reply...dini bwana daah nashindwa kumuoa sababu hyo na hatak kubadili dini
Ingekuwa vizuri ungeweka hapa huo mstari kutoka kwenye bibliaBiblia imeeleza fika kabisa kuwa ni marufuku kuoa Mwanamke mnayetofautiana imani.
Hamjifunzi tu kwa Samson kilichomkuta aliposhupaza shingo kumuoa Mfilisti nakati alishakatazwa na Wazazi wake?
Tafuta aliye kwenye dini yako chiefWrite your reply...dini bwana daah nashindwa kumuoa sababu hyo na hatak kubadili dini
Utanioa tu hata ukisemaje
Kuna mkristo asiyeijuia stori ya Samson?Ingekuwa vizuri ungeweka hapa huo mstari kutoka kwenye biblia
Mbona utaratibu upo? Mnafunga ndoa ya serikali mnaanza kutotoa
Unaweza kuniambia mwanadamu alijengaje dini ? Yaani historia ya dini kwa munasaba wa muanzilishi binadamu ilianza lini ?Dini hizo hizo ndio zilizojengwa na mwanadamu huyohuyo halafu unasema dini hazina tatizo?
Unaweza kulithibitisha hili ?Dini inawekwa sehem ambapo haina kosa wakati mwanadamu mwenye mapungufu na makosa kibao ndio kaijenga yeye!
Kama ni kweli hili mbona rahisi tu,una muua mjengaji.Hivi unatengaje kitu kilichojengwa na mjengaji?
Daaah !Mapenzi ni upofu bwana kwani hujui?
Achana nae tu.Mm kuna binti wa kislamu nimemkubali kweli kweli lakini sasa nikianza kufikiria kuwa tupo dini tofauti nachoka kabisa!!
Hata kupenda kuna taka elimu,yaani lazima watu wafundishwe kupenda na wanao sema mapenzi ni upofu kwa ulingano wa dini tofauti hao ni wapotoshaji na wanatakiwa kupigwa vita.Kwann iwe uasi mkuu wakati watu wanapendana?? Au kuna sheria kwamba watu wa Dini tofauti hawatakiwi kuwa na mahusiano??
Hahaaa dahUsilete Ujanja hapa badili dini umfuate Mwenzio la sivyo utamkosa.
Tatizo watu tunajiendekeza na kujidai wajuaji sana.Na kwanini umpende wa upande wa pili wakati wa upande wako wapo? Je ni wabaya au nini hukipendi toka kwao wakati ndio unaotakiwa uwe nao?
Zipo kaka.So kuna sheria za dini zinakataza kufunga ndoa na MTU tofauti na dini yako??
Watu wanakuwa wanakula kiapo kitakatifu
Hebu screen shot hiyo sheria tuzishuhudie isee ili next time niamini kuwa MTU ambaye natofautiana naye DINI nimuone kama Haramu!!Zipo kaka.
Hilo ni agano LA kale au jipya hayo maelezo yameandikwa??Biblia imeeleza fika kabisa kuwa ni marufuku kuoa Mwanamke mnayetofautiana imani.
Hamjifunzi tu kwa Samson kilichomkuta aliposhupaza shingo kumuoa Mfilisti nakati alishakatazwa na Wazazi wake?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Unajuaje kama jambo hili ni takatifu ? Je unatumia akilo kutambua hivyo au hisia ?
Hata mimi yangu haitambuiSasa kuna dini nyingine kama dini yangu haitambui "Ndoa za Bomani". Sisi unatushauri vipi ?
Nimeshaachana naye inabidi nitafute wa dini yangu IseeAchana nae tu.