Diamond si anasema kwamba JK ni rafiki yake sana kiasi kwamba, majuzi JK amempigia simu akiwa Marekani na kumwuliza anavaa saizi gani ya koti, ili amletee zawadi ya koti!!!???? Kama JK ni rafiki yake kihivyo, kwa nini JK asimtafutie kiwanja sehemu zenye barabara za lami kama Oyster Bay, au akamjengea barabara ya lami kwenda Madale? Urafiki au unafiki ??????