mwaikambo_jr
Member
- Sep 18, 2013
- 22
- 7
Hivi majukumu ya mbunge kwa serikali ni yapi? Wewe kama mbunge wakati unakuja kuomba kura ulituahidi nini; na yale ambayo ulituahidi yasipotekelezwa nani wa kwanza napaswa kwenda kumshika shati?
kwenye mguu upi mkuu
Kwanza analipa kodi au anataka ajengewe barabara kwa hela za wanaume wenzake?
Kwanini alitoa ahadi kwa wananchi kuwa katika ubunge wake huu atahakikisha barabara inajengwa? Ikiwa alijua yeye sio serikali in the first place!
Kwanza wewe ni mwongo hakumlaumu Halima yeye alichisoma kuwa kule anakokaa porini au msituni barabara iendayo huko ni mbovu hata gari lake kufika ni inshu,akasihi serikali na mbunge wake Halima walitazame kipande icho cha barabara kwenda porini au msitni alikojenga Diamond na muziki wake!
Kwa nini aliahidi kuwaletea wananchi wa madale barabara ya lami ikiwa anajua kuwa hana kampuni ya ujenzi?Halima Mdee ana kampuni ya ujenzi wa barabara?
Siku tukijua nani wa kumwajibisha nchi yeru itasonga mbele.
Kwa sasa adui ujinga bado anatutesa
Mtu kaishia Form2 B unategemea atakuwa na ufahamu? Yeye aendelee kunyoa viduku na kucheza na bongo movie tu, ufahamu hana
sioni tatizo maaana ili ni tatizo la kila kona ya nchi sio kawe peke yake
Kwani kuna mtanzania hata mmoja ambae halipi kodi? X6 yake ulimlipia kodi wewe? Au akienda kununua vitu ile VAT huwa unamlipia wewe? Jielimishe kwanza mwana bodi
Kwani kuna mtanzania hata mmoja ambae halipi kodi? X6 yake ulimlipia kodi wewe? Au akienda kununua vitu ile VAT huwa unamlipia wewe? Jielimishe kwanza mwana bodi
Halima Mdee ana kampuni ya ujenzi wa barabara?
Siku tukijua nani wa kumwajibisha nchi yeru itasonga mbele.
Kwa sasa adui ujinga bado anatutesa