Hapo penye red,umenena vema.Naomba ikumbukwe kuwa mtu kama Halima,Mnyika,Mbatia,Magufuri,Lisu na wengine mfano wa hao ni zaidi ya kuwa mbunge wa jimbo husika kwa mchango wao uliotukuka bungeni,si busara kwa mtu mashuhuri kama Diamond kulalamika kama mtoto wa chekechea.Je hilo la barabara analilinganishaje nakwahiyo km hakukua na lami ndo na mdee kaona asiweke lami? Hebu jifungueni pingu za fikra mbn jambo jepesi hivi mnataka kuwafanya wananchi mbulula! Hata km unakipenda chama ila kikiharibu sema ukweli.
Mdee ni iron lady hilo sikatai ila kwa hili la barabara anapaswa kulaumiwa acheni siasa za maji taka! Ni bora umwambie ukweli aumie kuliko kumwambia uongo acheke! Km ndo huwa mnashauriana hivi mnampoteza mdee kwa kutanguliza uchama mbele na kujifunga macho kana kwamba hamuoni!
Halima kazi yake kelele na matusi siyo kuendeleza watu wake.
Matus ya nn kaka.. Nyie ndo mnafanya mpk serikali inafikiria kuweka sheria kali kuhusu mitandao ya kijamii...
Naona na wewe una akili za KITIMOTO KabisaWatu8 said:Diamond hana akili kabisa...
Watu wana MAJUNGU BALAA...Shardcole said:Diamond kama kasoma hii thread walahi usiku wa leo hatalala.
siyo diamond sema dayadomo akili mbof kabisa nani anamleta humu huo utumbo pelekeni fb...!hapa hapamfai kabisa.....!diamond ndio nani bandugu?
Kama ajengi yy kwa nini aliaidi ataijenga?
MICHAGGADOMO ina CHUKI sana MKUUmanga mseke said:Mdee kaishia malaya tu huyo mngumba tu
Afadhali hata wasanii wanaliona hilo.
Manispaa ya Kinondoni imekazana kuweka lami mitaa yote ya Oysterbay waliko wanene.
Huku kwetu Kawe hakuna kabisa barabara za kwenye mitaa.
Ndio maana niliwahi kusema heri Mtemvu kule Temeke anafanya mambo yanayoonekana kuliko huyu kipeperushi cha CHADEMA.
Lakini mbaya zaidi, kwa hasira za wananchi bado wataichagua CHADEMA kwa vile huku KAWE CCM haipo kusikiliza kero za wananchi na kuzishughulikia.