Detroit welcomes Ambassador Amina Salum Ali

Oh utupu haujalishi lugha. Kuna yule mama mmoja sijui mwenyekiti wa UWT...somebody Simba alieysomea eti Marekani. Unakumbuka mahojiano yake na Mwanakijiji....mimi hata sikumwelewa alichokuwa anakiongelea ingawa alikuwa anaongea Kiswanglishi
tehe tehe sophy simba....ngoja kuna video moja naitafuta kwenye makbrasha yangu ya lowasa mbona watupu wengi.....

....hakuna la maana detroit litakalofanyika utasikia tuu..zaidi ya kupiga picha na kuzituma michuzi hakutakuwa na jipya.....nasikia mwanakijiji ndio MC.....
 
tehe tehe sophy simba....ngoja kuna video moja naitafuta kwenye makbrasha yangu ya lowasa mbona watupu wengi.....

....hakuna la maana detroit litakalofanyika utasikia tuu..zaidi ya kupiga picha na kuzituma michuzi hakutakuwa na jipya.....nasikia mwanakijiji ndio MC.....

Oh yeah watupu wengi bongo...don't get me started maana list haitaisha.

Ila najua kwa uhakika Balali hakuwa mtupu. Nilimwona siku moja wakimhoji kwenye Africa Channel nikasema duh...hili lijamaa linajua linachoongelea.
 
Blueray mwangalie ndugu yako huyu anavyochekesha.
- Dilunga eti ni kweli mimi ninachekesha kuliko wewe? Hebu angalia kioo kidogo tu ndugu yangu uone kichekesho huna sababu ya kwenda mbali sana, Bwa! ha! utakiona kichekesho! Naomba nisiendelee na hili la kuchekesha ambalo ni nje ya hoja ya msingi!

Some of the greatest orators of their times anasema walikuwa hawajui kuongea lugha yao.

- wote walikuwa wanapigwa chenga na lugha mwanzoni, tena mmojawapo alienda kujifunzia jela kaundika na kusoma lugha yake mwenyewe, what a great orator! Great orators kina Obama, hawakujifunzia lugha wakiwa wamefungwa jela!

A veteran Tanzanian civil servant and politician, Ambassador Ali was born and raised on the island of Zanzibar and educated in India, where in 1979 she earned a bachelor's degree in economics, and two years later an MBA in marketing.

Respect.

FMES!
 
=Bluray;
Mmoja wa wanaotetea mediocrity, labda kwa sababu na wewe hujaweza ku appreciate gharama ya mediocrity hii, pengine kwa sababu umezama katika dimbwi la mediocrity hii na kwa hiyo huwezi kuona the difference.

- Wewe ndiye umezama ndugu yangu, uongozi bora haupimwi kwa kutumia uwezo wa ku-master lugha ya watu wengine, hapana!

Yaani mtu kukosa kukosea ni kuweza kuongoza, the definition of mediocrity, or as Nyani Ngabu would ponder on what is below mediocrity, idiocracy!

- Nyani anahusika vipi na definition ya uongozi na lugha ya English? ambayo imetumiwa na kiongozi asiyeifahamu vizuri?

Nimeeleza kuhusu China kutotumia kiingereza kama lugha rasmi na hivyo kuelewa kwangu mtu yeyote anayetoka China asiyejua kiingereza, si Tanzania.Go over that again above first before jumping to post.

- It does not make any different, M-China au Mtanzania, kutokujua English bado haina uhusiano wowote na skills za uongozi, labda uweke wazi ni vipi huyu mama hafai uongozi, amewahi kuharibu wapi na nini, lakini interview moja ya English, sijui una mantiki gani mimi sioni sababu ya kumuita huyu mama majina yote uliyomwita so far kwa sababu hakuna ulipoonyesha kwa mifano halisi kwamba hana sifa za uongozi


Nimeongea vizuri sana hapo juu kwamba hili ni zaidi ya lugha, nikaonyesha poor decision making process ya mtu, kwamba anajua kwamba hajui kiingereza lakini anang'ang'ania kuongea kiingereza hata kama alikuwa na escape route ya kusema kwamba ana promote kiswahili, mbona mikina Castro inajua kiingereza eloquently lakini kwenye mi interview always inaongea kihispania na watu wanakalimani? This is more than language, this is poor decision making and low self confidence in Africa and its languages, if not low IQ.

- Hivi kweli kuna mahali umeonyesha kwamba huyu mama kwenye hiyo interview alipewa choices za lugha akazikataa? Mbona sijapaona? Mkuu pamoja na maneno mengi ya kumchafua huyu mama, binafsi sijaona sababu ya msingi ya kumuita majina yote mabovu uliyokwisha muita, kukosea English kwenye interview ndio kisa ya majina yote haya uliyomuita so far! Labda kuna mengine hujasema mkuu!


Originally kila mtu alikuwa hajui lugha yoyote, whats your point? hivi kweli unaweza kuwaweka hao eloquent speakers and world acclaimed thinkers kwenye sentensi moja na huyu joker Amina Salum Ali ambaye hata kwao Tanzania/Zanzibar anajulikana amebebwa tu kwa "uswahiba" na Mwinyi?

- Marcus Garvey na Malcom-X, katika nykati mbali mbali za maisha yao walikuwa hawawezi kui-master lugha ya English, infact X alikwenda kujifunzia jela, sasa ninaamini kama interview zao zilizofanyika kabla hawajai-maste hii lugha, utakuta makosa mengi sana ya lugha, lakini haihusiki in anyways na skills za uongozi wao ambazo wengi tunaziheshimu sana leo.

- Alikuwa amebebwa kwa uswahiba wake na Mwinyi, sawa yataje maksoa yake kiuongozi alipokuwa waziri na balozi wa jamhuri, kwani Mwinyi ndiye aliyemchagua kuwa balozi wa AU huko UN? Mkuu hiyo process ya uchaguzi unaifahamu vizuri?



Hudhani? hudhani? Unakuja na vitu vya kudhani dhani hapa? Nikikwambia mimi sidhani kama wewe ni mtu bali kuna bot tu linatype upande wako utajisikiaje? Usilete mambo ya kudhani dhani, no research no right to speak, do some reasearch first, Google is your friend (GIYF). Toa source hapa, we are not talking about accents either.Na hata kama hajui kiingereza yule katoka Ujerumani, kiingereza si lugha rasmi ya Ujerumani.Kiingereza ni luha rasmi ya Tanzania, either ongea Kiingereza au Kiswahili, ukiwa hujui zote wewe ni bogus, ukijua Kiswahili halafu utake kujionyesha unajua Kiingereza kama balozi Ali wewe ni bogus. Mbona hujasema kuhusu alivyoibutcher historia ya OAU hapo juu? Au nayo ni lugha hiyo?

- Hapa umesema maneno mengi sana kukimbia kivuli chako tu, unamuonea huyu mama bila sababu ya msingi, interview moja amekosea English basi ndiyo sababu ya kumshusha hadhi balozi wa Africa katika UN? Eti alibebwa na Mwinyi mpaka huko UN?

- I mean ninaomba kukubali kutokubaliana, kwamba wewe unaona hii interview moja ni sababu nzito ya kumuhukumu huyu mama kiuongozi, lakini mimi ninasema hivi hii interview haiwezi kuwa sababu yangu kumpima kiongozi wa dunia kama huyu mama kuhusu uwezo wake kiuongozi, ninahitaji more than makosa yake kilugha katika this interview!

Respect.

FMES!
 
Ambassador Amina Salum Ali

1. Ambassador Amina Salum Ali is the Permanent Representative of the African Union to the United States. As the African Union Ambassador to the U.S.,

2. Ambassador Ali speaks on behalf of the African Union and its Member States on the African Union's strategies to, accelerate socio-economic integration of the continent, promote peace and stability, build partnerships between African governments and all segments of civil society, in particular women and youth, as well as the private sector based on a common vision of a united, strong and prosperous Africa.

3. One of the major functions of her office is to support the African Diplomatic Corps in their efforts to consolidate and strengthen partnership with both the Executive and Legislative Branches of the U.S. Administration, including building political constituencies to advance the goals and objectives of the African Union as well as organizing the African Diaspora to contribute towards Africa's socio-economic development.

4. Ambassador Ali's mandate also consists of informing American popular opinion about Africa and the African Union, as well as articulating Africa's key concerns and priorities. In building political constituencies in Washington, Ambassador Ali works towards nurturing and sustaining bilateral and multilateral relationships, with the U.S. Congress and Agencies, the Bretton Woods Institutions and the Organization of American States.

5. A veteran Tanzanian civil servant and politician, Ambassador Ali was born and raised on the island of Zanzibar and educated in India, where in 1979 she earned a bachelor's degree in economics, and two years later an MBA in marketing.

6. She has held various ministerial positions in the Tanzanian government, the most recent of which was minister of state in the office of the chief minister in Zanzibar and was also a long-serving member of Parliament. Ambassador Ali has also served as a board member of various institutions such as the Tanzania Telecommunication Company and Mzumbe University in Morogoro. In addition, she established various capacity-building institutions including the Institution of Finance Administration and the Presidential Fund for Self-Reliance.


Ambassador Ali and dignitaries posed


Dr. Quartey and other African leaders posed with Ambassador Ali


Her Excellency; Amina Salum Ali offering her address


Councilwoman Blackwell posing with her gift from Ambassador Ali


Dr. Sam Quartey also welcoming the Ambassador to Philadelphia


Nii Ayitey Boafo, Presidential Aide welcoming the Ambassador and all presents to invest in Ghana


(From L-R) - Dr. Sam Quartey, Ambassador Ali and Nii Ayitey Boafo posed


Ambassador Ali and Mr. CNN
 
5. A veteran Tanzanian civil servant and politician, Ambassador Ali was born and raised on the island of Zanzibar and educated in India, where in 1979 she earned a bachelor's degree in economics, and two years later an MBA in marketing.

- Kwa hiyo mnyonge mnyongeni, lakini huyu mama kumbe ana mpaka Masters ya uchumi? Shule kasoma India labda huenda ndio sababu anapitwa na English, labda onyehseni mapungufu yake kiuongozi, tuyaone! Lakini shule ameenda huyu mama.

William.
 
Balozi wa AU hajui historia ya OAU na anaipotosha, halafu watu bado wanamtetea tu.Halafu ndiyo tunategemea vitu vikubwa wakati kufanya vidogo tu ambavyo watoto wa shule ya msingi wanatakiwa kuwa wanavijua mabalozi hawa wanapotosha.

Hivi leo mtoto wa shule ya msingi akim-quote huyu mama na kubishana na walimu wake kuhusu nani alianzisha OAU tutamlaumu huyu mtoto?
 
huyu mama ni kilaza hakuna cha English wala nini mtu yeyote anayemtetea anachangia kuaibisha nchi yetu .kuna watu wengi competent wangepewa hiyo nafasi
 
wabongo sijui niseme ushamba au nn! Yaani mtu kama hajui english imekuwa tabu, mbona wachina wamesoma lkn wengi wala hawajui english ni kichina kwenda mbele.
Kuna wakati niliumwa nikiwa USA, hivyo nikalazwa hospital, kuna shifti nikapata huduma toka kwa nurse (RN )mwenye asili ya china, yaani huyo nurse wala hatukuelewa maana english kwake ilikuwa ngumu, anavyonielekeza dawa mie wala simpati hadi nurse mwingine akaja ndio nikapata huduma. Nilishangaa imekuwaje huyu nurse aajiliwe na wakati lugha tabu kwake.
nimetoa mfano huo ili baadhi ya watu wenye fikra kwamba kuongea english ndio kusoma waondokane nao. English ni kama lugha nyingine tu, hata huko wanakoongea hiyo lugha wala sio wote wamesoma tena wengine hata skul hawajaenda au wameishi njiani japo wanaongea english maana ndio lugha yao ya mawasiliano.
 
wabongo sijui niseme ushamba au nn! Yaani mtu kama hajui english imekuwa tabu, mbona wachina wamesoma lkn wengi wala hawajui english ni kichina kwenda mbele.
Kuna wakati niliumwa nikiwa USA, hivyo nikalazwa hospital, kuna shifti nikapata huduma toka kwa nurse (RN )mwenye asili ya china, yaani huyo nurse wala hatukuelewa maana english kwake ilikuwa ngumu, anavyonielekeza dawa mie wala simpati hadi nurse mwingine akaja ndio nikapata huduma. Nilishangaa imekuwaje huyu nurse aajiliwe na wakati lugha tabu kwake.
nimetoa mfano huo ili baadhi ya watu wenye fikra kwamba kuongea english ndio kusoma waondokane nao. English ni kama lugha nyingine tu, hata huko wanakoongea hiyo lugha wala sio wote wamesoma tena wengine hata skul hawajaenda au wameishi njiani japo wanaongea english maana ndio lugha yao ya mawasiliano.

Yamesemwa mengi hapo umeona English tu, vipi kuhusu hiyo piece of misinformation? Vipi kuhusu hiyo undiplomatic conundrum kuhusu Wa-Sahrawi? Mbona watetezi wanatetea tu bila kujaribu kupangua hizi points?
 
Aaah, unataka kuchomeka "Waafrika ndivyo walivyo"?.Baadhi ya waafrika ndivyo walivyo, nepotism over merit, factionalism over competency, favoritism over ability.

Blame it on Mwinyi who gave him a start, as a matter of fact even the onset of Kikwete's career was launched by Mwinyi.So blame Mwinyi and his cronies, and the Tanzanians who nominated and elected such incompetent nincompoops, including the much revered Nyerere.

Agenda za siri hizoooo, yameanza kwa Mwinyi yanaishia kwa Kikwete, duh, Nyerere, Mkapa wako wapi? Wacheni hizo, tumesha wastukia.
 
Yamesemwa mengi hapo umeona English tu, vipi kuhusu hiyo piece of misinformation? Vipi kuhusu hiyo undiplomatic conundrum kuhusu Wa-Sahrawi? Mbona watetezi wanatetea tu bila kujaribu kupangua hizi points?

Blueray cheki hii clip kuanzia dakika ya 27 Mama ako kwenye panel discussion anasoma vihotuba vya minutes za mikutano iliyopita ya AU badala ya kuchangia mawazo yake. Anaandika vi notes vyake halafu ana stuggle kuvisoma maskini. Mpaka ile kushukuru kupewa mic anasoma vi notes.

Halafu skip nenda at 1hr 14min anajibu swali kuhusu Zimbabwe. Kasema "it is not easy" mara mia nne. Unajua yale maneno ya Kikwete Kikwete "I want to assure our partners and brothers...empower the people" kibaaaao. (Don't stream it directly, select "launch in external player" so you can have fast forwarding features and such.)
 
Last edited:
Hayo yanayomponda huyu Mama hata kiswahili hayajui na yana usongo na wa-swahili kuwa viongozi wala si ki-ingereza chake wala si kisomo chake, lakini hayajuwi kuwa uongozi hauji kwa kusoma au kujuwa ki-ingereza au kutokukosea, kiongozi bora ni yule anayeyaona makosa (kabla hayajatokea) na au akajuwa namna ya kuyatatuwa kabla hayajaleta madhara.

Tuambie ni lipi alilofanya likasababisha madhara ya aina yeyote ile katika uongozi wake? lakini ya lugha au ya kuchapia wakati wa kuongea hayana msingi kuwa si kiongozi bora.

Tumeyaona ya nyerere, alikuwa eloquent kama yeye hakuna, lakini mengi aliyoyatolea uamuzi yalileta madhara makubwa kwa wananchi na mpaka ma-Rais wote waliomfata wakaya/wanaya kwepa yale aliyoyaona yeye kuwa ya maana. Au hamuoni hilo?
 
Hayo yanayomponda huyu Mama hata kiswahili hayajui na yana usongo na wa-swahili kuwa viongozi wala si ki-ingereza chake wala si kisomo chake, lakini hayajuwi kuwa uongozi hauji kwa kusoma au kujuwa ki-ingereza au kutokukosea, kiongozi bora ni yule anayeyaona makosa (kabla hayajatokea) na au akajuwa namna ya kuyatatuwa kabla hayajaleta madhara.

Tuambie ni lipi alilofanya likasababisha madhara ya aina yeyote ile katika uongozi wake? lakini ya lugha au ya kuchapia wakati wa kuongea hayana msingi kuwa si kiongozi bora.

Tumeyaona ya nyerere, alikuwa eloquent kama yeye hakuna, lakini mengi aliyoyatolea uamuzi yalileta madhara makubwa kwa wananchi na mpaka ma-Rais wote waliomfata wakaya/wanaya kwepa yale aliyoyaona yeye kuwa ya maana. Au hamuoni hilo?

Hamna input, talk much ain't sayin nothing.
 

Tuambie ni lipi alilofanya likasababisha madhara ya aina yeyote ile katika uongozi wake? lakini ya lugha au ya kuchapia wakati wa kuongea hayana msingi kuwa si kiongozi bora.

Balozi kazi yake ni kubeba ujumbe wa nchi, kushawishi agenda za kimataifa, kupiga domo. Huyu Mama hata ile kushukuru kupewa microphone anasoma vi notes, sauti haitoki, kama hapo kwenye panel discussion ya Woodrow Wilson Center lazima walitushangaa, walijiuliza huyu mwanamke ndo Africa wamemtuma awawakilishe?
 
Ze pesoni hu medi asi leni in kiswahili ini primari skuu hedi plani tu meki fani of asi and meki asi luku idioti.

Ifu yukei noti spiki o raiti inglisi like mi go ahedi endi spiki kiswhili endi let ze mastazi of inlishi trasileti

izi zi wumeni a prodakti ofu UPE laiki mi?? EEH!?
 
acheni kujishusha jamani;yaaaaani mnakaa tu huko kama wakimbizi mkisikia mwenzenu kauwa hakuna kelele mnakimbilia kwenye misosi tu....dem
 
Historia hiyo hapo juu halafu unaomba historia, nina mashaka na uwezo wako wa kusoma au umadhubuti na utovu wa jitihada wako.

Inaelekea hujafuatilia mjadala, naomba usome upya, mimi sikuleta historia, huyo "balozi" bomu ndiye kaleta historia katika kukwepa jibu, turns out hata historia yenyewe haijui. Aibu kila sehemu, mwanzo mlisema namsakama lugha si haki kwa vile yeye si muingereza, turns out hata historia ya AU na mzami wake OAU haijui.
Mimi nakushangaa sana na huo ujuaji wako. Unakazania sana historia. Hivi huwa mnafanya interview ili mpate muelezwe historia?. Hiyo ni Journalism gani? Hivi ndio vitu vya kujadili -karibu uwanja uko wazi.
 
Back
Top Bottom