Balozi Amina Salum Ali amesema hana mpango wa kuendelea kutia nia ya kugombea urais kwani Rais Samia Suluhu Hassan anatosha

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,110
49,824
Huyu alimgaragaza Mzilankende kutoka Chato hadi ikapidi Wakuu wa Kitengo wapindue Meza 🤣🤣🤣

Huyu hakuikotwa from no where kama yule mwingine Bali alikuwa Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Afrika (AU) huko United Nations Marekani.

Sio mwingine Bali ni Balozi Amina Salum Ally ,Wana ccm na Wazalendo wa Chato wanamuelewa sana huyu Kwa kile alichomfanyia Mzilankende.

====
Amina-Salum-Ali-1.jpg

ZANZIBAR; MWANASIASA mkongwe visiwani Zanzibar, Balozi Amina Salum Ali amesema hana mpango wa kuendelea kutia nia ya kugombea urais kwani Rais Samia Suluhu Hassan anatosha.

Mwanasiasa huyo aliyezaliwa Unguja Oktoba 24, 1957, alichukua fomu ya urais wa Zanzibar mwaka 2000 na mwaka 2015 fomu za kuomba kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Balozi Amina anasema aliomba kugombea urais ili kuvunja mfumo wa kuwa na marais wa jinsi moja.

“Mimi niligombea urais wa Zanzibar, akateuliwa Karume (Amani Abeid). Michakato yote ilikuwa migumu,” anasema Balozi Amina.

Aliongeza: “Sigombei tena, sasa yupo mama (Rais Samia Suluhu Hassan). Anafanya kazi vizuri. Tunamuunga mkono. Tunasifu kazi yake inaonekana,” alisema wakati anazungumza katika mahojiano maalumu na waandishi wa magazeti ya HabariLEO na Daily News yaliyofanyika nyumbani kwake Mbweni, Unguja.
 
Huyu alimgaragaza Mzilankende kutoka Chato Hadi ikapidi Wakuu wa Kitengo wapindue Meza 🤣🤣🤣

Sio mwingine Bali ni Balozi Amina Salum Ally ,Wana ccm na Wazalendo wa Chato wanamuelewa sana huyu Kwa kile alichomfanyia Mzilankende.

====
View attachment 2763764
ZANZIBAR; MWANASIASA mkongwe visiwani Zanzibar, Balozi Amina Salum Ali amesema hana mpango wa kuendelea kutia nia ya kugombea urais kwani Rais Samia Suluhu Hassan anatosha.
-
Mwanasiasa huyo aliyezaliwa Unguja Oktoba 24, 1957, alichukua fomu ya urais wa Zanzibar mwaka 2000 na mwaka 2015 fomu za kuomba kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
-
Balozi Amina anasema aliomba kugombea urais ili kuvunja mfumo wa kuwa na marais wa jinsi moja.
-
“Mimi niligombea urais wa Zanzibar, akateuliwa Karume (Amani Abeid). Michakato yote ilikuwa migumu,” anasema Balozi Amina.
-
Aliongeza: “Sigombei tena, sasa yupo mama (Rais Samia Suluhu Hassan). Anafanya kazi vizuri. Tunamuunga mkono. Tunasifu kazi yake inaonekana,” alisema wakati anazungumza katika mahojiano maalumu na waandishi wa magazeti ya HabariLEO na Daily News yaliyofanyika nyumbani kwake Mbweni, Unguja.
-
We do not need this gender again to sit at the sanctuary house.

Alimgalagaza JPM kwa lipi kama sio mtindio wa ubongo ni nini?
 
Alimgalagaza kwenye kura za Halmashauri kuu
Baada ya kumgalagaza kilimsadia nini huyu ajuza wako na kwanini asiteuliwe kama alikuwa na vigezo?

Mtu eti ni balozi lakini akiwa anaongea anasitasita kama anakigugumizi halafu uwe na rais mwenye upungufu huo wamekosekana wenye uwezo miongoni mwa mamilioni ya Watanzania wengine?

Hatumtaki hata kumsikia kama amekutuma kupima upepo kwamba wanajukwaa watapendekeza vipi umenoa peupe
 
Baada ya kumgalagaza kilimsadia nini huyu ajuza wako na kwanini asiteuliwe kama alikuwa na vigezo?

Mtu eti ni balozi lakini akiwa anaongea anasitasita kama anakigugumizi halafu uwe na rais mwenye upungufu huo wamekosekana wenye uwezo miongoni mwa mamilioni ya Watanzania wengine?

Hatumtaki hata kumsikia kama amekutuma kupima upepo kwamba wanajukwaa watapendekeza vipi umenoa peupe
Roho mbaya tuu ya Wanaume kama mnavyomfanyia fitina Samia Kwa sasa.
 
Huyu alimgaragaza Mzilankende kutoka Chato Hadi ikapidi Wakuu wa Kitengo wapindue Meza

Sio mwingine Bali ni Balozi Amina Salum Ally ,Wana ccm na Wazalendo wa Chato wanamuelewa sana huyu Kwa kile alichomfanyia Mzilankende.

====
View attachment 2763764
ZANZIBAR; MWANASIASA mkongwe visiwani Zanzibar, Balozi Amina Salum Ali amesema hana mpango wa kuendelea kutia nia ya kugombea urais kwani Rais Samia Suluhu Hassan anatosha.
-
Mwanasiasa huyo aliyezaliwa Unguja Oktoba 24, 1957, alichukua fomu ya urais wa Zanzibar mwaka 2000 na mwaka 2015 fomu za kuomba kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
-
Balozi Amina anasema aliomba kugombea urais ili kuvunja mfumo wa kuwa na marais wa jinsi moja.
-
“Mimi niligombea urais wa Zanzibar, akateuliwa Karume (Amani Abeid). Michakato yote ilikuwa migumu,” anasema Balozi Amina.
-
Aliongeza: “Sigombei tena, sasa yupo mama (Rais Samia Suluhu Hassan). Anafanya kazi vizuri. Tunamuunga mkono. Tunasifu kazi yake inaonekana,” alisema wakati anazungumza katika mahojiano maalumu na waandishi wa magazeti ya HabariLEO na Daily News yaliyofanyika nyumbani kwake Mbweni, Unguja.
-
Upumbavu wako unazidi kujidhihirisha kila uchao, you asss hole...
 
Back
Top Bottom