Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,510
Yamesemwa mengi hapo umeona English tu, vipi kuhusu hiyo piece of misinformation? Vipi kuhusu hiyo undiplomatic conundrum kuhusu Wa-Sahrawi? Mbona watetezi wanatetea tu bila kujaribu kupangua hizi points?
Tatizo la huyu maza sio lugha. Watu sijui kwa nini wanashindwa kuelewa hilo