Detroit welcomes Ambassador Amina Salum Ali

I am sorry yaani nilikuwa namsale lakini nashindwa, yaani chagua popote pale madudu matupu, na NPR nao wasivyo na adabu hawajamfanyia hata editing kulaleik!

Mtu mwingine anaweza kufikiri hawa NPR mbona wanaandika with errors hivi, kumbe ni accurate quotes hizo.

who was not been educated and who still facing challenges
 
Last edited:
Hiyo si lugha tu Ndugu yangu.Hebu njoo huku UK askari wa kulinda geti tu usiku anakichapa kushinda wewe. Acha ngebe zako wewe na kujitapa na hiyo English yako- kama kweli unaifahamu. Usidharau watu kwa sababu ya lugha ya Mkoloni.

Usitake kutetea mediocrity, huwezi kuwa top diplomat wa Africa Marekani ukafanya kazi ya kueleweka kama hata kiingereza lugha ya dunia inakupiga chenga, especially kama huna excuse, umekuwa waziri miaka kibao hata English course inapiga chenga? ungekuwa unatoka nchi ya watu wasioongea kiingerezxa ningeelewa, lakini Tanzania?

Ukiacha Kiingereza hata kinachosemwa ni pumba tupu, muandishi kauliza maswali ya msingi mpaka kaona anamuonea mama anaweweseka, kampa swali la kujidai -softball- umeingiaje katika siasa, anapewa "you know, you know" nyiiingi, mama anajiuma uma.

Watu kama nyie ndio mnatetea u-maimuna eti kwa national pride.Mimi sijajitapa na English, nimemuonyesha huyu mama anayejifanya kuwa top diplomat kuwa mtupu, sijasema kwamba najua English sana, ila hata mimi nisiyejua English naona huyu mama kabla ya kuingia kwenye issues anatuaibisha tu.
 
I am sorry yaani nilikuwa namsale lakini nashindwa, yaani chagua popte pale madudu matupu, na NPR nao wasivyo na adabu hawajamfanyia hata editing kulaleik!

Heheheheheee...una moyo! Maana mimi niliishia juu juu tu nikachoka. Kuna audio/ video clip yoyote yake? Youtube maybe? Unajua haya ya kusoma unayasoma na kuyasikia kwa sauti yako mwenyewe...mimi nataka nimsikie yeye.
 
Usitake kutetea mediocrity, huwezi kuwa top diplomat wa Africa Marekani ukafanya kazi ya kueleweka kama hata kiingereza lugha ya dunia inakupiga chenga, unekuwa unatoka nchi ya watu wasioongea kiingerezxa ningeelewa, lakini Tanzania?

Watu kama nyie ndio mnatetea u-maimuna eti kwa national pride.Mimi sijajitapa na English, nimemuonyesha huyu mama anayejifanya kuwa top diplomat kuwa mtupu, sijasema kwamba najua English sana, ila hata mimi nisiyejua English naona huyu mama kabla ya kuingia kwenye issues anatuaibisha tu.
Unaongea nini wewe? Kwani aliulizwa suala linalohusu kazi yake na akashindwa kulijibu. Ameulizwa suala pepe na amaetoa majibu pepe. How do u analyse Bro? Be fair.
 
Unaongea nini wewe? Kwani aliulizwa suala ,linalohusunkazinyake akashindwa kuliojibu. Ameulizwa suala pepe na amaetoa majibu pepe. How do u analyse Bro?

Kuna vitu au mambo mengine ambayo hayateteeki. Hapa wewe unalazimisha kutetea kitu kisichoteteeka.
 
Heheheheheee...una moyo! Maana mimi niliishia juu juu tu nikachoka. Kuna audio/ video clip yoyote yake? Youtube maybe? Unajua haya ya kusoma unayasoma na kuyasikia kwa sauti yako mwenyewe...mimi nataka nimsikie yeye.
Umsikie ndio iwe naini?
 
Unaongea nini wewe? Kwani aliulizwa suala ,linalohusunkazinyake akashindwa kuliojibu. Ameulizwa suala pepe na amaetoa majibu pepe. How do u analyse Bro?

The medium of communication is part of the communication, nikikupa mic mbovu uhutubie a stadium of 50,000 people you will not be able to even if you have the material.

Huyu mama kashindwa kazi kabla ya kuanza, huyu ndiye tunataka aende World Bank ku-lobby on behalf of Africa? Ataenda kukutana na ma wonk na wonkette wa CIA Paul Wolfowitz types akifungua mdomo tu akijiuma uma kiingereza kibovu watu wanamuweka pembeni anachezewa mind games anabakia kusema kama Kikwete "Wi niidi zis help, wi niidi zis help" bila kuja na compelling arguments.

Utake usitake mawasiliano ni muhimu sana katika diplomacy, na kama wewe unajifanya una uzalendo huyo Mwinyi mwenyewe ambaye ni gwiji la Kiswahili kashakuambieni "Kiingereza ni kiswahili cha dunia"

Balozi Ali ameshindwa sio tu kuongea kiingereza, bali pia ameshindwa kutumia option ya kuongea Kiswahili, lugha inayoheshimika sio tu Afrika, bali kimataifa pia.Kwa kushindwa kutumia option ya kutumia lugha anayoielewa vizuri na ambayo hana shida nayo, amejionyesha kuwa matatizo yake si ya lugha tu, bali hata ya decision making process, ama sivyo angepatiwa mkalimani na kuongea kiswahili, mbona Fidel Castro anakataa kuongea kiingereza kila mara, na anaongea Kihispania na kutafsiriwa, na mara nyingine mtafsiri akikosea anamkosoa, si kwamba hajui kiingereza, basi tu kaamua.

Lakini sie tunaona huonekani msomi mpaka uongee kiingereza, hata kama hukijui na unaaibisha.Kama kuna mtu anayeikweza lugha ya mkoloni ni balozi Amina Salum Ali, na wala si mimi.
 
Hiyo si lugha tu Ndugu yangu.

Usidharau watu kwa sababu ya lugha ya Mkoloni.

Sidhani kama tatizo la balozi ni lugha tu. Lugha yake haianzi hata kuelezea ujumla wa utupu unaomsibu. Hebu tutafsirie kwa Kiswahili hiki alichojibu hapa tuone labda ni mashudu kwenye lugha ngeni tu. Kajibu nini hapa:

National Public Radio: Another region I wanted to talk with you about is Darfur... many people feel that the joint UN peacekeeping force has not been effective in stemming the violence. What would be more effective, in your view? What would make a difference?

Ambassador ALI:
We should try to find an African solution to African problems. But at the end of the day, if you don't reel in power, the troops who are in Darfur, you just can't - clearly cannot see implementations so soon, you know?
 
The medium of communication is part of the communication, nikikupa mic mbovu uhutubie a stadium of 50,000 people you will not be able to even if you have the material.

Huyu mama kashindwa kazi kabla ya kuanza, huyu ndiye tunataka aende World Bank ku-lobby on behalf of Africa? Ataenda kukutana na ma wonk na wonkette wa CIA Paul Wolfowitz types akifungua mdomo tu akijiuma uma kiingereza kibovu watu wanamuweka pembeni anachezewa mind games anabakia kusema kama Kikwete "Wi niidi zis help, wi niidi zis help" bila kuja na compelling arguments.

Utake usitake mawasiliano ni muhimu sana katika diplomacy, na kama wewe unajifanya una uzalendo huyo Mwinyi mwenyewe ambaye ni gwiji la Kiswahili kashakuambieni "Kiingereza ni kiswahili cha dunia"

Balozi Ali ameshindwa sio tu kuongea kiingereza, bali pia ameshindwa kutumia option ya kuongea Kiswahili, lugha inayoheshimika sio tu Afrika, bali kimataifa pia.Kwa kushindwa kutumia option ya kutumia lugha anayoielewa vizuri na ambayo hana shida nayo, amejionyesha kuwa matatizo yake si ya lugha tu, bali hata ya decision making process, ama sivyo angepatiwa mkalimani na kuongea kiswahili, mbona Fidel Castro anakataa kuongea kiingereza kila mara, na anaongea Kihispania na kutafsiriwa, na mara nyingine mtafsiri akikosea anamkosoa, si kwamba hajui kiingereza, basi tu kaamua.

Lakini sie tunaona huonekani msomi mpaka uongee kiingereza, hata kama hukijui na unaaibisha.Kama kuna mtu anayeikweza lugha ya mkoloni ni balozi Amina Salum Ali, na wala si mimi.
Sasa unaongea nini . unaona unajikanyaga wewe mwenyewe. Omba upate bahati ya kusoma na wanafuzi kutoka China. Unaelewa jinsi gani lugha hizo unazozitukuza wewe kuwa si muhimu. Muhimu ni maarifa siyo lugha, Balozi huyo dada angekuwa ameulizwa kwa Kiswahili na akajilkanyaga kujibu sawa ungemponda, lakini? Kama unaukubali mfani kama huo wa akina Castro kwa nini huyo Mhoji huko asitumie kiswahili kumhoji Amina.
 
Sasa unaongea nini . unaona unajikanyaga wewe mwenyewe. Omba upate bahati ya kusoma na wanafuzi kutoka China. Unaelewa jinsi gani lugha hizo unazozitukuza wewe kuwa si muhimu. Muhimu ni maarifa siyo lugha, Balozi huyo dada angekuwa ameulizwa kwa Kiswahili na akajilkanyaga kujibu sawa ungemponda, lakini? Kama unaukubali mfani kama huo wa akina Castro kwa nini huyo Mhoji huko asitumie kiswahili kumhoji Amina.

Again unashindwa kutofautisha Mchina ambaye kwao kiingereza si lugha rasmi na huyu mama ambaye kwao Zanzibar wamekijua kiingereza tangu ukoloni.

Anayechagua lugha ni balozi, si VOA, VOA wana wataalam wa lugha nyingi tu, ikiwemo Kiswahili -Kina Mwamoyo Hamza and them- angetaka kuhojiwa Kiswahili angepelekewa journalist anayejua Kiswahili, lakini kwa ujuaji wake na kutaka kukitukuza kiingereza kaamua kuking'ang'ania kiingereza asichokijua, matokeo yake anashindwa kujieleza hata kwenye siasa aliingiaje.

Halafu kuna watu bado wanamtetea, is it any wonder hatuendelei kweli? Kama mtu bogus kama huyu naye anaweza kutetewa.

But then again people voted and will vote for Kikwete, so what's the difference?
 
Tatizo ni kwamba sisi hatuna meritocracy, Nyerere, arguably the most meritorious president Tanzania ever had -which is not to say much by the way because our standards are so low- aliendelea kuchaguliwa year in year out hata baada ya kudidimiza uchumi.

Rais wa pili tumempa loser aliyejiuzulu mwenyewe kazi serikalini.

Mkapa zaidi ya propaganda na highfallutin' English hana merit yoyote.

Huyo Kikwete is worse than the semi-literate Mwinyi.

Kwa hiyo hawa marais wenyewe wanachaguliwa kwa sababu zisizohusiana na merit, wanachaguliwa kichama chama tu, kwa hiyo hata teuzi zao/ mapendekezo yao yanaangalia zaidi loyalty kuliko merit.Ni bora kuweka jinga lililo loyal kuliko a bright independent person who may shake things up. Wakubwa wenyewe hawajiamini.Matatizo.
Nimependa ujasiri wako wa kumnanga Amina kwa lugha hiyo mbovu. nashangaa kwa kumsamehe Martin (Mhoji). Hivyo napo hapo kuna professionalisation yoyote. Si bora watoto wa Dar School of Jsm wanauliza vizuri tena kwa lugha nzuri kumshinda yeye? Shilingi iangalie pande zote.
 
Sidhani kama tatizo la balozi ni lugha tu. Lugha yake haianzi hata kuelezea ujumla wa utupu unaomsibu. Hebu tutafsirie kwa Kiswahili hiki alichojibu hapa tuone labda ni mashudu kwenye lugha ngeni tu. Kajibu nini hapa:

National Public Radio: Another region I wanted to talk with you about is Darfur... many people feel that the joint UN peacekeeping force has not been effective in stemming the violence. What would be more effective, in your view? What would make a difference?

Ambassador ALI:
We should try to find an African solution to African problems. But at the end of the day, if you don't reel in power, the troops who are in Darfur, you just can't - clearly cannot see implementations so soon, you know?

Watu wanafikiri kampeni za CCM Mkunazini hizi. Longo longo nyiiingi hamna substance.
 
Nimependa ujasiri wako wa kumnanga Amina kwa lugha hiyo mbovu. nashangaa kwa kumsamehe Martin (Mhoji). Hivyo napo hapo kuna professionalisation yoyote. Si bora watoto wa Dar School of Jsm wanauliza vizuri tena kwa lugha nzuri kumshinda yeye? Shilingi iangalie pande zote.

wewe mu expose huyo Martion, unajuaje kama mimi nimeona makosa yake?
 
Watu wanafikiri kampeni za CCM Mkunazini hizi. Longo longo nyiiingi hamna substance.
Ah. sasa nimekupata Bwana. Kumbe nongwa zote hizo sababu Amina ni Mzanzibari - haya Bwana nikuache na ghadhabu zako. Kumradhi yakhe.
 
Ah. sasa nimekupata Bwana. Kumbe nongwa zote hizo sababu Amina ni Mzanzibari - haya Bwana nikuache na ghadhabu zako. Kumradhi yakhe.

Na Nyerere, Mkapa na Kikwete niliowalima hapo juu nao ni Wazanzibari vile vile eenh?

Unacheza!
 
wewe mu expose huyo Martion, unajuaje kama mimi nimeona makosa yake?
Mimi sina tabia kama yako. Najua Kiingereza ni lugha tu sawa na Kifaransa, sawa na Ki-mandarin, sawa na Kiswahili, sawa na Kiarabu.
 
Mimi sina tabia kama yako. Najua Kiingereza ni lugha tu sawa na Kifaransa, sawa na Ki-mandarin, sawa na Kiswahili, sawa na Kiarabu.

Ambacho kama hukijui na ukajifanya unakijua on an international podium una expose sio kutojua kiingereza bali pia poor decison making process na low IQ yako, kwa kutumia lugha usiyoijua wakati una option ya kutumia lugha unayoijua.

Angeweza kutumia Kiswahili poa tu (kiswahili ni moja ya lugha rasmi za AU) mbona Chissano kahutubia AU kiswahili? Hii ingeweza kuwa njia nzuri tu ya ku promote Kiswahili.

Lakini waapi, na mie nimo kwenye kiingereza, hata kama madudu!
 
Back
Top Bottom