DC Hapi aagiza baa maarufu Jijini Dar, Corner bar ifungwe!

Hao wanamtafutia pesa nyingi za haraka mwenye hiyo bar.

Atawadai mahakamani gharama za kufungiwa biashara yake na atashinda.
Haiko hivyo dada Faiza. Biashara zina taratibu/masharti yake. Mengi yanakiukwa huku mitaani, sema maofisa biashara na afya wanafumbia macho. Kama yafanyikayo yanafanana na yale ninayoyaona SUGAR RAY pale SOKOTA TEMEKE ni vyema viongozi wenye DHAMANA na MAMLAKA wakachukua hatua. Vinginevyo kuna siku wazazi na wakazi wastaarabu watajichukulia sheria mkononi. Yaani ni UCHAFU dada yangu FAIZAFOX!!
 
Haiko hivyo dada Faiza. Biashara zina taratibu/masharti yake. Mengi yanakiukwa huku mitaani, sema maofisa biashara na afya wanafumbia macho. Kama yafanyikayo yanafanana na yale ninayoyaona SUGAR RAY pale SOKOTA TEMEKE ni vyema viongozi wenye DHAMANA na MAMLAKA wakachukua hatua. Vinginevyo kuna siku wazazi na wakazi wastaarabu watajichukulia sheria mkononi. Yaani ni UCHAFU dada yangu FAIZAFOX!!

Kama taratibu zimefatwa ni sawa lakini kwa sababu zilizotolewa humu, wanamtafutia pesa za ziada tu.

Mimi ningefurahi sana bar zote zifungwe, bar ni baa.
 
Hiyo bar inapatikana maeneo gani..?
Mbona inatudhalilisha jamani?
Utakuwa unaishi Chato au Nyakware........ Fika Dar utalii wa ndani. Usiseme joto joto, foleni foleni, usafiri shida shida wakati watu wamejaa hapa. Wao hawapati hizo shida????
 
Kama taratibu zimefatwa ni sawa lakini kwa sababu zilizotolewa humu, wanamtafutia pesa za ziada tu.

Mimi ningefurahi sana bar zote zifungwe, bar ni baa.
Baa zikifungwa wadau watakufa kwa 'arosto' na pia serikali itakosa mapato!
 
Kazi rahisi tu wakubali kufunga then wafungue kwa jina lingine kabisaaa simple tu mbonaaaa....
 
jaman mm naomba kuuliza uwanja wa fisi uko wapi?? yan hili jina linanitariza mno ..je ni uwanja kama uwanja wa wazi na kama n manzese n upande upi??
 
Inayojiuza ni bar au watu? kwanini wasiwakamate wanaojiuza? kwanini na ile mitaa maarufu ya machangudoa isifungwe? mwenye bar akisema ni chuki binafsi DC atakataaje?
Umeonae?na hao watu wanaosemekana wanajiuza ukiwakuta na wenyewe wanakunywa na kula palepale ni wateja
 
Dar es Salaam. Baada ya malalamiko kuzidi kutokana na kuwapo biashara zisizo rasmi katika baa maarufu ya Corner, sasa baa hiyo imeamriwa kufungwa.

Akiwa katika ziara ya kawaida leo (Jumamosi) mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ally Hapi amemuagiza Ofisa Biashara wa Kinondoni, Mohamed Nyasama kuifunga baa hiyo.“Hatuwezi kuvumilia vitendo hivivikaendelea kufanyika huku tukiwa kimya...

natoa agizo kesho nendeni kaifungieni hiyo baa kwa kuwa inakiuka maadili,”amesema Hapi.

Hata hivyo Nyasama amesema walishaitoza baa hiyo faini ya Sh 300,000 kwa kosa hilo.“ Mkuu hii baa ni sugu, nimeahawahi hata kuipiga faini na bado imeendelea na utaratibu huo huo wa kuruhusu kina dada kujiuza.


Kwa amri yako mkuu naanza taratibu za kuifungia leo, hadi kufikia keshoitakuwa tayari,” amesema.

Chanzo : Mwananchi Online

Sijaelewa ni vipi mwenye bar anaendesha hiyo biashara? Je anatkiwa awe polisi kukamata wanaohisiwa kufanya biashara? Viongoz wetu na matamko bila kufanya upembuzi
 
Si watahamia baa zingine,, kwa hiyo watafunga baa zote? Mi nilidhani kwa vile wameshajua hao watu wapo pale wangeenda kuwavizia na kuwakamata kuliko kufunga baa. Kwani kuna tangazo la watu kujiuza pale?
 
Naamini wengi wanaotetea hawajui hata hiyo bar ikoje au wanapenda maovu ya humo.
Hapana mkuu, binafsi naijua vema jiografia ya eneo husika. Kuna baa nyingi eneo Hilo, ila zimemezwa Na jina la corner bar, Kuna night club mbili pale, Kuna gesti bubu Kama tatu hivi maalumu kwa biashara ya ngono (tena ziko umbali unaozidi mita 500 kutoka corner bar). Malaya wamesambaa kuanzia Sinza mori-kupitia shule ya mapambano-bamaga. Kituo kikubwa Ni eneo ilipo corner bar, barabara zile mbili (ya mbele Na nyuma ya corner bar), kuelekea ziliko gesti bubu. Na hawa Malaya wamegawana maeneo kwa vigezo vya bei wanazotoza. Polisi wanapita kwa doria Kila siku wanaishia kuchukua posho. Malaya akidai Hana kitu wanamuachia kwa makubaliano ya kumt**ba, Na pia kukamatwa mwisho Mara moja Tu, Sasa kufunga baa moja isiyo Na gesti ya kufanyia biashara ya Ngono tatizo litabaki pale pale. DC ashirikishe serikali ya mtaa Na ku-deal zile gesti bubu kwanza Na pia nnidhamu ya polisi wetu. Karibia 95% ya hao Malaya wanajiuza kwa kusimama barabarani Na sio ndani ya hiyo corner bar.
 
Sijui nikisema Tanzania kuna idadi kubwa ya misukule nitaeleweka vibaya? Au nitafunguliwa mashtaka?
 
Back
Top Bottom