Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
Afisa Biashara agome kuwafungia. Amuache DC afanye mwenyewe na kesi imuhusu mwenyewe personallyWakienda Mahakamani mjiandae kushindwa kesi na kuwalipa fidia.
Afisa Biashara agome kuwafungia. Amuache DC afanye mwenyewe na kesi imuhusu mwenyewe personallyWakienda Mahakamani mjiandae kushindwa kesi na kuwalipa fidia.
Wanajua kuchoma nyama sana.
Pole...Makahaba wanaojiuzia katika bar hio rasmi wanaisoma namba. DC Hapi usingekua wa chama cha majambazi ningekupongeza.
Umeongea usichokijua ndugu.Hivi bar ndio inayoweza kuthibiti biashara ya ngono?
Muuza uchi utamjuaje?
Acha uboya ww hao Malaya wanauzia nje ya bar tena wala sio eneo lakeUmeongea usichokijua ndugu.
Mwenye bar kama hataki Malaya kwenye bar yake huwakuti. Wenye bar ndio huwaruhusu Malaya wawepo ili Malaya wakiume wajazane pale
Hata mimi ningempongeza,ila kwa kuwa wanabadilika badilika, kesho wataifungua tenaMakahaba wanaojiuzia katika bar hio rasmi wanaisoma namba. DC Hapi usingekua wa chama cha majambazi ningekupongeza.
Machangu ni "sewage system ya human waste" (mfumo wa maji taka)Machangudoa ni muhimu kwasabau wanapunguza vitendo vya uhalifu na ubakaji, pia ni tendo muhimu kwa afya na akili