danhosnoop
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 2,721
- 10,523
Nimekusoma mkuuSio kila siku wapo, wenyewe wanajua kutegesha mingle zao.
Wapo sana pale .!
Nimekusoma mkuuSio kila siku wapo, wenyewe wanajua kutegesha mingle zao.
Wapo sana pale .!
Kauze na wewe Wa kwakoKwani hiyo biashara ya kuuza mwili ni kosa gani kisheria!
Na wewe ukifungua ya kwako wembe utakuwa ni ule ule tu, tutaipiga piniHivi hawa viongozi wanaakili timamu kweli..??
Wawahi wakasajili wanachama wapya hapoWatetea maovu chadema, watatetea
Hahahahahahahah..., koooooooooot.!MAHOJIANO MAHAKAMANI YATAKUWA HIVI:
WAKILI: Unaweza kuiambia mahakama umri na elimu yako?
DC: Nina umri wa miaka 29. Nimesoma hadi darasa la saba na kisha nikajiendeleza hadi ngazi ya cheti katika chuo cha chama Kivukoni.
WAKILI: Je, kuna sheria yoyote inayoharamisha biashara ya kuuza uchi katika nchi hii?
DC: Hapana
WAKILI: Kama ndivyo, je wauza uchi wakikamatwa na polisi hufunguliwa kesi gani?
DC: Hufunguliwa kesi ya uzururaji.
WAKILI: Je, mliwahi kumkamata mmiliki wa bar hii ndugu (anamtaja jina) akizurura na mlimchukulia hatua gani?
DC: Hapana. Hatujawahi kumkamata akizurura, hivyo hatuwezi kumfungulia mashtaka.
WAKILI: Unaweza kuiambia mahakama huyu mteja wangu mmefikisha hapa kwa kosa gani la jinai alilotenda?
DC: Tumemfikisha mahakamani kwa kuwa tulikuta watu wakizurura kwenye bar yake.
WAKILI: Kwanini hamkuwakamata wao badala ya kumkamata mmiliki wa bar?
DC: (huku akikuna kichwa) KIMYA!!!!!!!!!!
WAKILI: Je, ni nani mwenye jukumu la kuwakamata na kuwafungulia mashtaka wazururaji?
DC: Ni polisi na kisha kuwafikisha mahakamani.
WAKILI: Nikikuambia kwamba elimu yako ni ya kutiliwa mashaka sawa na ya ndugu Bashite nitakuwa nimekosea?
DC: Utakuwa sahihi kabisa mheshimiwa. Unachosema ni........
....INTERUPTION....wakili wa serikali anasimama na kumzuia DC asiendelee kujibu swali hilo lakini wakili wa utetezi anapinga na mahojiano yanaendelea.....
WAKILI: Je, kuna kifungu chochote kinachotamka kwamba mtu anaweza kushtakiwa na kufungwa kwa kosa au makosa yaliyotenwa na mtu au watu wengine?
DC: Hapana.
Maswali kutoka upande wa utetezi yanafungwa na baada ya siku tano hakimu anasoma hukumu.
*********************************************
HAKIMU: Baada ya kupitia hoja za pande zote mbili nimejiridhisha kwamba mtuhumiwa hana kosa lolote kisheria hivyo upande wa mashtaka (DC na wapambe wake) wanaamriwa kulipa gharama za kesi, pamoja na fidia ya Tsh 1.2 bilioni kwa kuvuruga biashara ya ndugu (anamtaja jina).
Koooooooooooooooooti!!!!!!!!!!!!!!!!
Sheria zetu hazisapoti biashara ya kuuza mwili... Ndo maana wanakamata wafanya biashara hiyo.Kwani hiyo biashara ya kuuza mwili ni kosa gani kisheria!
Vinafanana kweli ati!Yaleyale ya mwanafunzi kupata mimba, alafu mzazi anakwenda jela......
Sheria zimekaa kimya, that means haitahesabika kuwa ni kosa kumkumbatia mtu kwa makubaliano, tena faraghani (katiba inaelekeza kuwa kila mtu anastahili kuheshimiwa akiwa faragha)Sheria zetu hazisapoti biashara ya kuuza mwili... Ndo maana wanakamata wafanya biashara hiyo.
Unatakiwa uuze mwili wa ng'ombe sio wa binadamu brooKwani hiyo biashara ya kuuza mwili ni kosa gani kisheria!
Umesoma shule ya koromije unadhani utafauluje?Unatakiwa uuze mwili wa ng'ombe sio wa binadamu broo
HahahahahaUmesoma shule ya koromije unadhani utafauluje?
Lazima ufeli.
Maamuzi ya kukurupuka! ..tulisema vijana vijana, wengi naona hata uwezo wa kutafakari mambo bado kabisa, wanakurupuka!Hii sio amri halali. Unawafungiaje kisa kuna machangu? Hawa vijana sijui Dr. JPM aliwaokota wapi?
Angejua hawa Dada wanavyopunguza stress asingeongea hivyo au amesoma seminari nini
Kuuza mwili usiku kuna mwaffect vipi MTU asiyekuwepo? Haya mambo huwa hayana mtendewa. Mwenye mwili wake ana Uhuru nao ili mradi hajamdhuru MTU. Halafu hii siyo nchi ya kidini.Na wewe ukifungua ya kwako wembe utakuwa ni ule ule tu, tutaipiga pini
Naona uko kwenye siku zako.Watetea maovu chadema, watatetea