hahahaaaaa raha sana kuzaliwa Tanzania utadhani tupo Hollywood kumbe ndio maisha ya kweli tunaishi! GAMEONYaleyale ya mwanafunzi kupata mimba, alafu mzazi anakwenda jela......
Mheshimiwa Taylor9119 tafauti na watalii wa ndani vilvile uchumi wa kinondoni utaporomoka kutokana na maneneo yanayotinga twenty four seven ndani ya jiji ni pamoja na pale pale.
hivi bar inahusikaje na biashara za ngono? kwani mmiliki wa bar ndiye anayewauza hao akina dada? amri za kipuuzi kama hizi zisifumbiwe macho hata kidogo. yeye mwenye bar anauza bia na sio uchi. pesa zinazotokana na uuzaji nyuchi zinachukuliwa na wauza nyuchi wenyewe. sasa hapa mmiliki wa bar anahusikaje? akina bashite kumbe wapo kila kona katika nchi hii.Dar es Salaam. Baada ya malalamiko kuzidi kutokana na kuwapo biashara zisizo rasmi katika baa maarufu ya Corner, sasa baa hiyo imeamriwa kufungwa.
Akiwa katika ziara ya kawaida leo (Jumamosi) mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ally Hapi amemuagiza Ofisa Biashara wa Kinondoni, Mohamed Nyasama kuifunga baa hiyo.“Hatuwezi kuvumilia vitendo hivivikaendelea kufanyika huku tukiwa kimya...
Natoa agizo kesho nendeni kaifungieni hiyo baa kwa kuwa inakiuka maadili,”amesema Hapi.
Hata hivyo Nyasama amesema walishaitoza baa hiyo faini ya Sh 300,000 kwa kosa hilo.“ Mkuu hii baa ni sugu, nimeahawahi hata kuipiga faini na bado imeendelea na utaratibu huo huo wa kuruhusu kina dada kujiuza.
Kwa amri yako mkuu naanza taratibu za kuifungia leo, hadi kufikia keshoitakuwa tayari,” amesema.
Chanzo: Mwananchi
![]()
Unawezaje kuthibitisha hili kisheria? Je, mwenye bar ndiye anayewalazimisha kujiuza? Hata kama ndiye, je mimi nikikushawishi wewe uende kuiba siku ukikamatwa mimi ndiye nitakayeenda jela badala yako wewe MWIZI? Unapobishania haya mambo ya kisheria ni vizuri ukajirudishia akili kwanza.Umeongea usichokijua ndugu.
Mwenye bar kama hataki Malaya kwenye bar yake huwakuti. Wenye bar ndio huwaruhusu Malaya wawepo ili Malaya wakiume wajazane pale
Hi serikali ya .....italipa fidia miaka mingi sana,samaki,vivuko,madawa ya kulevya,ee mungu nusuru watu wako maana taifa linaangamiaLissu kuna hela huku corner bar. Zungukia utengrneze mazingira.
Hii sio amri halali. Unawafungiaje kisa kuna machangu? Hawa vijana sijui Dr. JPM aliwaokota wapi?
Waliokuwa wanajiuza huko Sina wametawanyika ktk machimbo mengine.
Keezy pub kimara ndiyo usiseme
N.k
Sio kila siku wapo, wenyewe wanajua kutegesha mingle zao.Mkuu nlikua sijui kama 'kez pub' pale baruti/kona wapo pia. Nna mda mrefu kidogo sijaenda, ngoja niende kesho nkajionee mwenyewe. Ila kez pub weekend huwa ina amsha amsha ya hatari