iko sehm gani namimi nikapate bia uku naangali kitu roho inapenda..Mida hii Nimepita corner Bar nimekuta watu wanapiga bia Kama kawaida. Nitapita tena usiku kuona Kinachoendelea na nitakuja na mrejesho. Sidhani kama hili agizo litatekelezeka!!!
Africa sana mwenge.. Au bamagaiko sehm gani namimi nikapate bia uku naangali kitu roho inapenda..
asante sa hv natoka makumbusho ngoja nipite paleAfrica sana mwenge.. Au bamaga
Mida hii Nimepita corner Bar nimekuta watu wanapiga bia Kama kawaida. Nitapita tena usiku kuona Kinachoendelea na nitakuja na mrejesho. Sidhani kama hili agizo litatekelezeka!!!
Nahitaji msaada wa ufafanuzi juu ya ushiriki ama uhusika wa bar: kama inahusika, maeneo yafuatayo nayo yapewe tuzo sawia: mlimani city, baa za buguruni, kwasokota, mbagala, name themWatetea maovu chadema, watatetea
Lumumba hamuwezi kukaa hata siku moja bila kusema Chadema , kama ni sera mlishaishiwa na karibu ujira wenu utashitishwa hahahah vijana wa lumumba bhana.Watetea maovu chadema, watatetea
Mkuu Kama Una mpango wa kutembelea eneo hilo hata usithubutu, Mimi mwenyewe wakati nasoma kozi ya labor economics: Compensating wage differentials and job amenities (health insurance and job market), biashara ya ukahaba ikawa case study, sasa Mimi Si nikataka kufanya study tour pande hizo!, bahati nzuri kabla sijatia ngwara zangu huko niona documentary you tube inayohusu uwanja wa fisi,Kuna clip inaonesha jamaa mmoja mgeni mitaa hiyo anatindiliwa mtama wa maana mchana kweupee Na kupururwa nguo zote Na watu wengine wanaendelea Na shughuli zao Kama kawaida, nikaapa huko sintakanyaga japokuwa wanadai eti siku hizi kumestaarabika. Bado sijashawishika!. Waswahili wanasema "Mjaa Asili, Haachi Asili!".jaman mm naomba kuuliza uwanja wa fisi uko wapi?? yan hili jina linanitariza mno ..je ni uwanja kama uwanja wa wazi na kama n manzese n upande upi??
Kilichopo si uongozini utawala Mkuu.Sijawai kuona uongozi kama huu