DC Hapi aagiza baa maarufu Jijini Dar, Corner bar ifungwe!

DC Hapi aagiza baa maarufu Jijini Dar, Corner bar ifungwe!

Basi na QBar,Maisha Club,Mango,Meeda,Masai nazo zifungwe au bar hizi hazipo Kinondoni
 
Nipo mitaa hii sahivi, imefungwa kweli. Imebidi niingie zangu durban hapa kumalizia jumapili
 
Gwajima jamani apunguze laana zake maana Watendaji wa mkulu wanazidi kumchafua tu... I wish i could be his advise.

Fanya ubabe ila Watu wanataka Maisha Mazuri na Bora, Maji,Elimu,Usafiri,Ajira,Afya,Chakula nafuu. baada ya hapo iba tesa yaani chochote utakachotaka hakuna atakayekusumbua wala dhihaka Tutakuita Kiongozi uliyetukuka... otherways bado tu vivuli na bado hatujawa watu.
Watanzania hawahitaji sana Siasa bora bali Maisha bora. Ukitaka Kutukuzwa wape wananchi hayo ila kwa ubabe utachokwa na regacy yako itafutwa kama ya Obama inavyofutwa kila uchwao. na siku zinavyosonga Obama hatotamkwa tena... Zigo aliloacha halistahimili kubebwa. Give the Power to your People. and God will bless you automatic na sio kwa kubegging people wakuombee. my advice
 
Nimeshangaa hakuna aliyeomba kuweka picha ya baa hiyo hapa! Inaoneokana inafahamika vizuri!
=====
Biashara yote haramu lazima ikomeshwe kwa namna yoyote ile!
 
awamu hii ya magufuli serikali italipa sana fidia za mahakamani kutokana na kukurupuka

time will tell
 
Utasikia wamefunga na barabara maana nazo "zinawezesha biashara" ya kuuza miili. Baadae utasikia anatengua maamuzi na anaenda mbali zaidi na kutenga mtaa mmoja kuwa "red-light district" ya jiji.
 
Nani kasema ukifungia baa ndio umetokomeza biashara ya ukahaba? Mbona mbinu za kutokomeza ukahaba zipo nyingi tu?? Kufungia baa si mwisho wa ukahaba na haiwezi kua good decision. (Just thinking out loud)
 
Inayojiuza ni bar au watu? kwanini wasiwakamate wanaojiuza? kwanini na ile mitaa maarufu ya machangudoa isifungwe? mwenye bar akisema ni chuki binafsi DC atakataaje?
Mbona hili halijaenda Meeda Bar? Au siku hizi pale biashara hii haipo tena?
 
Natoa agizo kesho nendeni kaifungieni hiyo baa kwa kuwa inakiuka maadili,”amesema Hapi.
.
Nafikiri kuna haja ya kutoa semina elekezi kwa Ali Happy, Ummy Mwalimu, Hamisi Kigwangala na Harrison Mwakyembe juu ya mikapa iliyopo kikatiba kati ya sheria za kimahakama na sheria za kimaadili. Sio kazi ya serikali kusimamia maadili yaliyo nje ya sheria za kimahakama. Naongelea moral laws vs civil laws. Kuingiza ulokole, na wakati mwingine ulokole wa Kiswahilina, katika shughuli za kiserikali ni kosa.

Katika sheria kuna kanuni inaitwa DDE, yaani doctrine of double effect. Mmiliki wa Kona Bar hana lengo la kuraghabisha biashara ya ngono, bali hilo ni lengo muambata. Ni vivyo hivyo, kwa vituo vile arobaini vilivyofungwa na Ummy Mwalimu. Vituo hili vilikuwa na lengo la kuzuia maambukizi, na wala sio kuraghabisha ulawiti. Hivi ndivyo sheria ya jinai kuhusu mauaji bila kukusudia.

Ummy Mwalimu ni lawyer, Mwakyembe bi lawyer, na hivyo wanayafahamu haya. Wasipoondolewa kwenye nyadhifa zao wataivuruga nchi. JPM asiruhusu akili ndogo kuendelea kuongoza akili kubwa...
 
Kufa kufaana dogo anajua mwenzie akitumbuliwa anapata shavu anachokifanya sasa ni nitoke vipi
 
Ivi ni kipengele gan cha kutoa lesen kinachomtaka mwenye baa kuhakikisha wadada hawajiuzi sehem yake ya biashra au hawa ndo akina Bashite
 
Corner Bar ni kivutio cha watalii wa ndani...kiheshimiwe please
Mheshimiwa Taylor9119 tafauti na watalii wa ndani vilvile uchumi wa kinondoni utaporomoka kutokana na maneneo yanayotinga twenty four seven ndani ya jiji ni pamoja na pale pale.
 
Naomba zifungiwe Bar za Element ,Wantashi , Jolly , Gorverners , four ways ya Kakaa, Breakpoint makaburini otherwise hakutakuwa na standard hapo.Kwa DC anayehusika na eneo la chang'ombe kuna hii Bar kama unatoka maduka mawili kuja keko magurumbasi bahati mbaya nimeisahau jina
 
Naomba zifungiwe Bar za Element ,Wantashi , Jolly , Gorverners , four ways ya Kakaa, Breakpoint makaburini otherwise hakutakuwa na standard hapo.Kwa DC anayehusika na eneo la chang'ombe kuna hii Bar kama unatoka maduka mawili kuja keko magurumbasi bahati mbaya nimeisahau jina
next door pale hata ukienda na mume wako ukikaa vibaya wanamuiba
 
awape na chupi za chuma...maana lile duka linatembea anywhere anytime anauza..ww huoni kuna magroup ya whatsap ya wauza ****...hii biashara tokea enzi za pilato ilikua inafanyika...bora angaike na mambo ya maendeleo..sio kumfungia mtu bar yake utasema yy ndo amewaleta wanawake hao hapo...inabdi ule mtaa mzima ufungwe km ni hvyo
 
Back
Top Bottom