Mkuu hawana!Hivi hawa viongozi wanaakili timamu kweli..??
Anakunywa bia moja muda mreeeeeeeeeeeefu sana. Muda wote macho kayaelekeza mlangoni. Atasimama kucheza mziki na kukatika hata kama inapigwa reggae.Hivi bar ndio inayoweza kuthibiti biashara ya ngono?
Muuza uchi utamjuaje?
Si mpinzani kwenye siasa...I meant business competitorKwani inamilikiwa na nani kutoka upinzani maana pale ni mwisho aisee.
Kuna wanyama wakila aina mbugani paleCorner Bar ni kivutio cha watalii wa ndani...kiheshimiwe please
Mmiliki wa corner bar mwenye ni mmoja wa watu wa kijitonyama kwenye fensi kubwa sasa hiyo ngoma hapi ajiandae kuichezaMkuu hebu tueleze zaidi maana wengine ni wageni na hizi habari
Ngoja tuone mwishi utakuwaje hapo mkuuMmiliki wa corner bar mwenye ni mmoja wa watu wa kijitonyama kwenye fensi kubwa sasa hiyo ngoma hapi ajiandae kuicheza
itafunguliwa kwa order ya mahakama. biashara zingine hazizuiliki hata aje yesu au muhamadi sembuse hapiHii sio amri halali. Unawafungiaje kisa kuna machangu? Hawa vijana sijui Dr. JPM aliwaokota wapi?
Anakunywa bia moja muda mreeeeeeeeeeeefu sana. Muda wote macho kayaelekeza mlangoni. Atasimama kucheza mziki na kukatika hata kama inapigwa reggae.
Daaaa sasa anataka kuwaua njaa kina MudawoteDar es Salaam. Baada ya malalamiko kuzidi kutokana na kuwapo biashara zisizo rasmi katika baa maarufu ya Corner, sasa baa hiyo imeamriwa kufungwa.
Akiwa katika ziara ya kawaida leo (Jumamosi) mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ally Hapi amemuagiza Ofisa Biashara wa Kinondoni, Mohamed Nyasama kuifunga baa hiyo.“Hatuwezi kuvumilia vitendo hivivikaendelea kufanyika huku tukiwa kimya...
natoa agizo kesho nendeni kaifungieni hiyo baa kwa kuwa inakiuka maadili,”amesema Hapi.
Hata hivyo Nyasama amesema walishaitoza baa hiyo faini ya Sh 300,000 kwa kosa hilo.“ Mkuu hii baa ni sugu, nimeahawahi hata kuipiga faini na bado imeendelea na utaratibu huo huo wa kuruhusu kina dada kujiuza.
Kwa amri yako mkuu naanza taratibu za kuifungia leo, hadi kufikia keshoitakuwa tayari,” amesema.
Chanzo : Mwananchi Online
Dar es Salaam. Baada ya malalamiko kuzidi kutokana na kuwapo biashara zisizo rasmi katika baa maarufu ya Corner, sasa baa hiyo imeamriwa kufungwa.
Akiwa katika ziara ya kawaida leo (Jumamosi) mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ally Hapi amemuagiza Ofisa Biashara wa Kinondoni, Mohamed Nyasama kuifunga baa hiyo.“Hatuwezi kuvumilia vitendo hivivikaendelea kufanyika huku tukiwa kimya...
natoa agizo kesho nendeni kaifungieni hiyo baa kwa kuwa inakiuka maadili,”amesema Hapi.
Hata hivyo Nyasama amesema walishaitoza baa hiyo faini ya Sh 300,000 kwa kosa hilo.“ Mkuu hii baa ni sugu, nimeahawahi hata kuipiga faini na bado imeendelea na utaratibu huo huo wa kuruhusu kina dada kujiuza.
Kwa amri yako mkuu naanza taratibu za kuifungia leo, hadi kufikia keshoitakuwa tayari,” amesema.
Chanzo : Mwananchi Online
Watetea maovu chadema, watatetea