Negrodemus
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 2,318
- 679
Ni above.labda kama wamekutoa sehemu ulikua unalipwa 4.5m hawezi kukushusha ila kada tu wa ccm kawaida 3m inakuhusu
Hao madas, wakurugenzi na wakuu wa idara wa lga ndiyo wanacheza kwenye tatu point tano na kuendelea.
Jua DC yupo juu yao
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app