Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,937
Anatakatisha pesa zake huwajui mawakili wa Arusha wana utajiri ambao huwezi kuutolea maelezo.Hata siku moja usimwamini mwanasiasa.
Kama ameamua mkopo wake liwe jambo la wazi, aweke hadharani executed term loan / loan agreement tujionee kwa macho yetu.
Na pia collateral gani ameziweka ku secure huo mkopo?
Mkopo ni wa muda gani?
Kama amekuwa guaranteed na kazi yake, vipi akitenguliwa kesho?