DC Alberto Msando akopa milioni106 benki ili kuwajengea wamachinga sehemu ya kufanyia biashara

Hili ni somo zuri sana kwa wale wanaowaona wamachinga kuwa tatizo na kuja na mapendekezo kwamba wafukuzwe mijini.

Hongera kwa Alberto Msando kwa uwezo wako mkubwa wa kuona tatizo sio wamachinga ila miundombinu, na hongera tena kwa kutatua tatizo badala ya kulalamika na kutumia nafasi yako kuumiza hawa raia.

Hawa ndio viongozi tunaowataka Tanzania ya sasa. Viongozi wenye uwezo wa kutatua matatizo papo kwa papo na sio kuongeza matatizo

View attachment 1939651




Wale mtakaochukizwa na hili ameweka wazi kwamba alifuata taratibu ili kuondoa manenomaneno

Kweli hakuna mtu mwembamba duniani.
 
Mimi nasubiria mtu azungumzie alivyoweka ufundi wakati akishika lichupi la msanii malaya Gigi Money

Kila mtu ana huo ujuzi ila wa kushika lichupi tofauti ni kwamba yeye alishika la Gigi Money wakati wewe unashika la chausiku

Halafu haya mambo si yalishapita swahiba!? Acha kazi iendelee
 
Sawa mama msando....ila hakuna la zaidi ya kutafuta kiki, kwani maeneo ya umma hayajengwi na pesa ya mtu binafsi, kipindi cha mwalimu unahojiwa hiyo pesa umeipata wapi.....
 
Sawa mama msando....ila hakuna la zaidi ya kutafuta kiki, kwani maeneo ya umma hayajengwi na pesa ya mtu binafsi, kipindi cha mwalimu unahojiwa hiyo pesa umeipata wapi.....

Hata sasa mnaweza kuhoji kwa kutumia channels sahihi
Maana na yeye amepita huko kabla ya kufikia maamuzi
 
Hili ni somo zuri sana kwa wale wanaowaona wamachinga kuwa tatizo na kuja na mapendekezo kwamba wafukuzwe mijini.

Hongera kwa Alberto Msando kwa uwezo wako mkubwa wa kuona tatizo sio wamachinga ila miundombinu, na hongera tena kwa kutatua tatizo badala ya kulalamika na kutumia nafasi yako kuumiza hawa raia.

Hawa ndio viongozi tunaowataka Tanzania ya sasa. Viongozi wenye uwezo wa kutatua matatizo papo kwa papo na sio kuongeza matatizo

View attachment 1939651

Wale mtakaochukizwa na hili ameweka wazi kwamba alifuata taratibu ili kuondoa manenomaneno
Tusubiri, logistical problems ni nyingi sana.
 
Wale wanaodhani kila anayeteuliwa anafuata maslahi binafsi wajifunze kwamba wapo wanaoteuliwa kuwahudumia wananchi
Wanapatikanaje hao wasiofuata maslahi ili tuachane na hawa wachumia tumbo waliojazana kwa wateuliwa na wachaguli/wapora chaguzi?Hivi maslahi binafsi ni mishahara,posho,marupurupu au rushwa?
Tunahitaji Katiba itakayojibu na kutatua changamoto zetu kitaasisi badala ya kuwa kama hisani.
 
Kawaombe na wewe mkopo ujengee wamachinga utajua taratibu zilizofuatwa.

Kwani unataka msando akuwekee taarifa hadharani wewe ukiwa nani? Una msaada wowote kwenye marejesho? Au unataka akuridhishe nafsi yako tuu???

Waja mna taabu sana
Kwani taarifa za kuchukua mkopo mmetuwekea hadharani kama nani?
 
Hata siku moja usimwamini mwanasiasa.

Kama ameamua mkopo wake liwe jambo la wazi, aweke hadharani executed term loan / loan agreement tujionee kwa macho yetu.

Na pia collateral gani ameziweka ku secure huo mkopo?

Mkopo ni wa muda gani?

Kama amekuwa guaranteed na kazi yake, vipi akitenguliwa kesho?
Hapa sijaelewa. Amekopa kama Albert Msando au serikali ya mkoa ndo imekopa?
 
Utumishi wa umma una taratibu kuhusu mikopo kwa watumishi

Your net salary must be equal or greater than 1/3 of your gross salary

Ajaribu tena huo uongo
 
Back
Top Bottom