mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,763
- 35,205
Kuna nini huko?Nenda machonga complex utawaza tofauti
Kuna nini huko?Nenda machonga complex utawaza tofauti
Hili ni somo zuri sana kwa wale wanaowaona wamachinga kuwa tatizo na kuja na mapendekezo kwamba wafukuzwe mijini.
Hongera kwa Alberto Msando kwa uwezo wako mkubwa wa kuona tatizo sio wamachinga ila miundombinu, na hongera tena kwa kutatua tatizo badala ya kulalamika na kutumia nafasi yako kuumiza hawa raia.
Hawa ndio viongozi tunaowataka Tanzania ya sasa. Viongozi wenye uwezo wa kutatua matatizo papo kwa papo na sio kuongeza matatizo
View attachment 1939651
Wale mtakaochukizwa na hili ameweka wazi kwamba alifuata taratibu ili kuondoa manenomaneno
You present your arguments as if you have never seen the insde of a modern school
ni dume hilo ila linapenda umama.Hulalagi wwe!?
au huna mume!
mida ya wanga hii
Mimi nasubiria mtu azungumzie alivyoweka ufundi wakati akishika lichupi la msanii malaya Gigi Money
Sasa na wewe unatuletea taarifa za msondo wewe kama nani? na kwanini unataka tujue taarifa ambazo hauwezi kudhibitisha,?
Nimewaletea wanaozitaka. Kama wewe huhusiki pita kimyakimya
Usiogopemmeanza campen mapema sana aiseeee
Sawa mama msando....ila hakuna la zaidi ya kutafuta kiki, kwani maeneo ya umma hayajengwi na pesa ya mtu binafsi, kipindi cha mwalimu unahojiwa hiyo pesa umeipata wapi.....
Tusubiri, logistical problems ni nyingi sana.Hili ni somo zuri sana kwa wale wanaowaona wamachinga kuwa tatizo na kuja na mapendekezo kwamba wafukuzwe mijini.
Hongera kwa Alberto Msando kwa uwezo wako mkubwa wa kuona tatizo sio wamachinga ila miundombinu, na hongera tena kwa kutatua tatizo badala ya kulalamika na kutumia nafasi yako kuumiza hawa raia.
Hawa ndio viongozi tunaowataka Tanzania ya sasa. Viongozi wenye uwezo wa kutatua matatizo papo kwa papo na sio kuongeza matatizo
View attachment 1939651
Wale mtakaochukizwa na hili ameweka wazi kwamba alifuata taratibu ili kuondoa manenomaneno
Tusubiri, logistical problems ni nyingi sana.
Wanapatikanaje hao wasiofuata maslahi ili tuachane na hawa wachumia tumbo waliojazana kwa wateuliwa na wachaguli/wapora chaguzi?Hivi maslahi binafsi ni mishahara,posho,marupurupu au rushwa?Wale wanaodhani kila anayeteuliwa anafuata maslahi binafsi wajifunze kwamba wapo wanaoteuliwa kuwahudumia wananchi
Usiogope
Hata wewe unaweza anza saidia wahitaji waliokaribu nawe, na kama hiyo ndio kampeni basi kazi iendelee maana ina faida kwa wananchi
Kwani taarifa za kuchukua mkopo mmetuwekea hadharani kama nani?Kawaombe na wewe mkopo ujengee wamachinga utajua taratibu zilizofuatwa.
Kwani unataka msando akuwekee taarifa hadharani wewe ukiwa nani? Una msaada wowote kwenye marejesho? Au unataka akuridhishe nafsi yako tuu???
Waja mna taabu sana
Kupata hizo hela ambazo ni kidogo sana ni aspect moja, kufikia lengo ni aspect nyingine.Hahahahaa wakati mnatafuta hizo problems mtafute na faida pia
Waja mna mambo
Hapa sijaelewa. Amekopa kama Albert Msando au serikali ya mkoa ndo imekopa?Hata siku moja usimwamini mwanasiasa.
Kama ameamua mkopo wake liwe jambo la wazi, aweke hadharani executed term loan / loan agreement tujionee kwa macho yetu.
Na pia collateral gani ameziweka ku secure huo mkopo?
Mkopo ni wa muda gani?
Kama amekuwa guaranteed na kazi yake, vipi akitenguliwa kesho?
Aisee kumbe!ni dume hilo ila linapenda umama.