Na kwann pia wananchi wanachangishwa pesa kuunganishiwa maji? Tukija ofisini kwenu mnatoa visingizio vya vifaa hakuna itachukuwa mda mrefu mno kupatikana. Mtu aingie mfukoni kununua marola ya mipira konektaz sijui makitu gani huko....kwann inakuwa hivi?
Unanunua mipira na migarama mingine ili upate maji wanakufungia af maji enyewe wanakua wanatoa mara 2 kwa mwezi tena kwa nusu saa