Chikuvi2021
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 459
- 516
-Hongera Sana Rais SSH kwa Uamuzi wa kuiagiza DAWASA kuchukua jukumu la kutoa Ankara ya huduma ya maji kwa wateja.
-Huko nyuma Ankara ya huduma ya maji zilikuwa zinatolewa na kampuni moja ya Africa ya Kusini na Serikali ilikuwa inalipwa fedha nyingi kama commission.
-Uamuzi huu umetoa ajira kwa vijana wengi wa kitanzania wanao soma mita na kufanya matengenezo madogo madogo ya miundombinu ya maji.
-DAWASA walianza kutoa Ankara ya maji (wenye tarakimu 12 badala ya Ankara za awali ambazo zilikuwa na tarakimu 13,) kuanzia Mwezi August 2022.
-Pamoja na dhamira njema ya Rais wetu, lakini watendaji wa DAWASA au Hazina, ambao walisimamia mchakato wa kuhama kutoka kwenye mfumo wa makaburu kuja kwenye mfumo wa utoaji Ankara wa Serikali,hawakuna waangalifu au makini.
-Matokeo yake DAWASA hawawezi kuona data au Ankara za miaka ya nyuma.
-Wateja wengi hawakuingiziwa taarifa sahihi kwenye akaunti zao wakati DAWASA walipohamia kwenye mfumo mpya.
-DAWASA wanashindwa kuona (to access) bili za July 2022 kurudi miezi ya nyuma.
-Kampuni ya Africa kusini wameondoka na taarifa zetu za mapato (billing software yao).
-DAWASA kama wanataka taarifa za mapato kwa miaka ya nyuma, inabidi waombe taarifa hizo kutoka kampuni ya Africa kusini.
-Mwezi November 2022 (Kulikwa hakuna maji kwa jiji la Dar es Salaam na viunga vyake lakini Wateja wamepewa Ankara kubwa Sana( mwezi huo mitambo ilizimwa).
- Mimi ninatumia wastani units 15 za maji kwa mwezi, lakini mwezi November 2022 DAWASA wametuma Ankara ya shs110,850 sawa na units 66wakati mwezi November 2022 hatukuwa na maji.
-Nimetoa taarifa DAWASA Temeke , lakini wanipatie statement of account kwa mwaka 2022 ( January 2022 mpaka December 2022), lakini wameniambia hawawezi ku-access taarifa za kuanzia January 2022 mpaka July 2022
-Best practice, whenever you want to migrate from one billing system to another billing system,the old billing information should retained for future use.
-best practice require the accounting or financial data should be retained for at least 7 years for future use.
Ushauri
1). Serikali (DAWASA) ifuatilie taarifa zetu za mapato (Billing data) toka Kampuni ya Africa kusini.
2).CAG afanye ukaguzi maalum(Special Audit to establish Over/understatement opening balance) kujua usahihi wa taarifa za mapato za miaka ya nyuma.
3). Serikali ipatiwe saver au taarifa zilizohifadhiwa kwenye server,kwa maana ni mali yetu watanzania.
-
-Huko nyuma Ankara ya huduma ya maji zilikuwa zinatolewa na kampuni moja ya Africa ya Kusini na Serikali ilikuwa inalipwa fedha nyingi kama commission.
-Uamuzi huu umetoa ajira kwa vijana wengi wa kitanzania wanao soma mita na kufanya matengenezo madogo madogo ya miundombinu ya maji.
-DAWASA walianza kutoa Ankara ya maji (wenye tarakimu 12 badala ya Ankara za awali ambazo zilikuwa na tarakimu 13,) kuanzia Mwezi August 2022.
-Pamoja na dhamira njema ya Rais wetu, lakini watendaji wa DAWASA au Hazina, ambao walisimamia mchakato wa kuhama kutoka kwenye mfumo wa makaburu kuja kwenye mfumo wa utoaji Ankara wa Serikali,hawakuna waangalifu au makini.
-Matokeo yake DAWASA hawawezi kuona data au Ankara za miaka ya nyuma.
-Wateja wengi hawakuingiziwa taarifa sahihi kwenye akaunti zao wakati DAWASA walipohamia kwenye mfumo mpya.
-DAWASA wanashindwa kuona (to access) bili za July 2022 kurudi miezi ya nyuma.
-Kampuni ya Africa kusini wameondoka na taarifa zetu za mapato (billing software yao).
-DAWASA kama wanataka taarifa za mapato kwa miaka ya nyuma, inabidi waombe taarifa hizo kutoka kampuni ya Africa kusini.
-Mwezi November 2022 (Kulikwa hakuna maji kwa jiji la Dar es Salaam na viunga vyake lakini Wateja wamepewa Ankara kubwa Sana( mwezi huo mitambo ilizimwa).
- Mimi ninatumia wastani units 15 za maji kwa mwezi, lakini mwezi November 2022 DAWASA wametuma Ankara ya shs110,850 sawa na units 66wakati mwezi November 2022 hatukuwa na maji.
-Nimetoa taarifa DAWASA Temeke , lakini wanipatie statement of account kwa mwaka 2022 ( January 2022 mpaka December 2022), lakini wameniambia hawawezi ku-access taarifa za kuanzia January 2022 mpaka July 2022
-Best practice, whenever you want to migrate from one billing system to another billing system,the old billing information should retained for future use.
-best practice require the accounting or financial data should be retained for at least 7 years for future use.
Ushauri
1). Serikali (DAWASA) ifuatilie taarifa zetu za mapato (Billing data) toka Kampuni ya Africa kusini.
2).CAG afanye ukaguzi maalum(Special Audit to establish Over/understatement opening balance) kujua usahihi wa taarifa za mapato za miaka ya nyuma.
3). Serikali ipatiwe saver au taarifa zilizohifadhiwa kwenye server,kwa maana ni mali yetu watanzania.
-