maji eneo la banana ukonga mtasambaza lini majumbani maana tunayaona yanamwagika tu barabarani ila tukienda dawasco tabata kuomba kutuunganishia maji wanasema hawana miundo mbinu huku ya bomba ndogo la kuwaaunganisha watu mitaani kwao.
Hivi mpo serious na biashara au mnasubiri mpaka mheshimiwa rais aje awashtue.
Hivi mpo serious na biashara au mnasubiri mpaka mheshimiwa rais aje awashtue.